DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Njombe bossUpo mkoa gani? Check masoko tusuply Kwa bei nafuu kuliko hiyo, wanawapiga sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njombe bossUpo mkoa gani? Check masoko tusuply Kwa bei nafuu kuliko hiyo, wanawapiga sana.
Wewe tuwasiliane in private, kama una link hao wanawapiga sana.Njombe boss
Hakuna shida mkuuWewe tuwasiliane in private, kama una link hao wanawapiga sana.
1988 kijana wangu wa kwanza Nyau Ambivert88 alipozaliwaMwaka gani?
Kama utakuwa unaendesha bajaji hyo bas nunua mkuuGari ni muhimu... Ila haliingizi chochote. Zaidi ya kukumaliza tu.
Bajaji ikipiga mishe vizuri kwa wiki naweza kuwa naweka kibindoni 150K na dereva anajilipa vizuri.
Ushauri wenu.. MONEY IN A BANK.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwalimu hana pesa ya kuhudumia gari mkuu.. labda awe amejiwekeza vizuri..
Watu wananunua magari wanayaacha home.
Huyo matola kanunua PhD na yeye?Docta Matola PHD...😂😂
TOA USHAURI..
Naona mkuu unakuja na negative views vile ww ilivyokufanya!!Kama utakuwa unaendesha bajaji hyo bas nunua mkuu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwahio unafikiri kwasababu wewe umeondoka huku bongo mambo yamesimama?!!Damnwtf? Yani Bajaj ishafika million 7 wakati nilipoondoka bongo ilikuwa laki tisa!
Ukinunua Bajaj, dereva atakuwa msumbufu kuleta hiyo 150k per wiki, atakuomba uwe unamvumilia.Gari ni muhimu... Ila haliingizi chochote. Zaidi ya kukumaliza tu.
Bajaji ikipiga mishe vizuri kwa wiki naweza kuwa naweka kibindoni 150K na dereva anajilipa vizuri.
Ushauri wenu.. MONEY IN A BANK.