Ninyi wakurya wa Nyamongo kwa nini mnaua Daktari kijana kama huyu?

Kuna mahali nimeskia alikua anasimamia vituo vitatu, je hilo lina ukweli?

Kama ni kweli, je Kati ya hivyo vituo hakuna kilichopo uelekeo wa huko alipokua anaenda huo usiku?
Alikuwa anasimamia kituo kimoja isipokuwa vingine alikuwa akienda kwa dharula. Lakini usiku wa tukio hakuwa kikazi. Japo naona wizara ya afya wametoa ripoti kwamba alikuwa akielekea kazini jambo ambalo sio kweli. Ukifika nyamongo ukasema alikua anaenda kazini usiku ule watakushangaa mno.
 
Mkuu samahani kaa hutojali. Unaweza ukataja maeneo ambako hayo matukio yalitokea? Maana mgodini watu kupigwa risasi na askari sio issue kabisa na huemda umeenda nyamongo wakati matukio ya risasi yamepungua kwa kiasi kikubwa sana
 
Alikuwa anasimamia kituo kimoja isipokuwa vingine alikuwa akienda kwa dharula. Lakini usiku wa tukio hakuwa kikazi.

Nilichotaka ni kufahamu tu kama kuna kituo chochote anachokisimamia (anaenda kwa dharula) kipo uelekeo aliopatwa na mauti.

Suala la kuwepo kikazi sisi naamini hatuwezi kuthibitisha ama kupinga kwasababu tunafahamu daktari yupo kazini muda wote.
 
Mwanza ni unlimited au Arusha
Duuu!!!


Gharama zitakua kubwa sana alaf kuagiza maku usiyoijua ni bonge la kamar inaweza ikawa tofaut na mikato yako


Bora kutafuta mgeni mwenzako muangalie namna ya kubadilishana virus
 
Aiseeee hakuna kazi za watu records management huko jaman wakuu nafaa njaa mwaka wa kumi bila hata ajira
 
Nilichotaka ni kufahamu tu kama kuna kituo chochote anachokisimamia (anaenda kwa dharula) kipo uelekeo aliopatwa na mauti.

Suala la kuwepo kikazi sisi naamini hatuwezi kuthibitisha ama kupinga kwasababu tunafahamu daktari yupo kazini muda wote.
Mazingira ya safari ndio yanathibitisha hakuwa anaenda kazini mkuu. Na mkewe ambaye ndiye waliishi nae angelikuwa na nguvu ya kusema angesema
 
Kwanza pole kwa familia ila jamii hii hautakiwi kuishi kinyonge kabisa,pia mademu usiweke uhusiano nao ni vema kupiga siku moja afu ukasepa ila vijana wa mkoa wa mara wana wivu sana sio wa ku share kwenye mahusiano kabisa.
 
Ww ni mkurya???
Basi tuseme baadhi yao sio wote mfano mm kila mwaka nafanya biashara ya viazi kule kabwe a bunchali tena nalala vijijini kwa wakuriya nakula ugali na kuku samaki sangara sato
 
Hakuna tukio liliniuma huko TARIME kama Wakurya kumuua huyu Mwalimu asiyekuwa na hatia yoyote

Tena kwa kumchoma Mkuki shingoni

Sasa nani atakayehitaji kwenda kufanya kazi huko?
View attachment 2612898
Ilikuwaje akauwa bila kosa?Ina maana hao jamaa walikuwa wana shida gani nae?
 
Toka taarifa ya tukio hadi kuaga
Basi hauwezi ukawa na taarifa sahihi za tukio la kuuawa, kwa sababu haujalishuhudia.

Hilo la kuuawa umehadithiwa kama ilivyo mimi na ukweli utategemeana na muhadithiaji ambaye na yeye hawezi kuwa na taarifa sahihi isipokuwa kama alishuhudia tukio likitekelezwa.
 
 

Attachments

  • IMG_9905.MP4
    8 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…