Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Hapo huyu jamaa anamaanisha nn , mm nimemuelewa kwa namna fulani kuhusu yaliyompata mwendazake ila wana forum wenye kuuelewa zaidi huu mstari tunaomba muudadavue zaidi tafadhali maana ni mstari wenye tafasiri zaidi ya moja , hapo kaonyesha ukomavu wa fasihi kwa kuiachia hadhira ijiamulie kuelewa tafasiri ionavyo yenyewe,

" Wakamlisha asali kwa kisu akaramba akamwaga wino , tangulia na dereva barua utaikuta chamwino....."

Hapo kwenye tangulia na dereva barua utaikuta chamwino, nn kimefumbwa hapo ,
 
Hapo huyu jamaa anamaanisha nn , mm nimemuelewa kwa namna fulani kuhusu yaliyompata mwendazake ila wana forum wenye kuuelewa zaidi huu mstari tunaomba muudadavue zaidi tafadhali maana ni mstari wenye tafasiri zaidi ya moja , hapo kaonyesha ukomavu wa fasihi kwa kuiachia hadhira ijiamulie kuelewa tafasiri ionavyo yenyewe,

" Wakamlisha asali kwa kisu akaramba akamwaga wino , tangulia na dereva barua utaikuta chamwino....."

Hapo kwenye tangulia na dereva barua utaikuta chamwino, nn kimefumbwa hapo ,
...Ni sentensi inayoonyesha Ukomavu Mkubwa wa Fasihi ! Kazi Kwetu...!
 
...Ni sentensi inayoonyesha Ukomavu Mkubwa wa Fasihi ! Kazi Kwetu...!
Hapo huyu jamaa anamaanisha nn , mm nimemuelewa kwa namna fulani kuhusu yaliyompata mwendazake ila wana forum wenye kuuelewa zaidi huu mstari tunaomba muudadavue zaidi tafadhali maana ni mstari wenye tafasiri zaidi ya moja , hapo kaonyesha ukomavu wa fasihi kwa kuiachia hadhira ijiamulie kuelewa tafasiri ionavyo yenyewe,

" Wakamlisha asali kwa kisu akaramba akamwaga wino , tangulia na dereva barua utaikuta chamwino....."

Hapo kwenye tangulia na dereva barua utaikuta chamwino, nn kimefumbwa hapo ,
Bado hujasema umeelewa Nini
 
Askofu hakuiba uchaguzi, wananchi walimpigia kura, aliyeongeza kura bandia ni wasiojulikana.

Pia sadaka ni AMRI, tumelazimishwa Kutoa SADAKA. Ilipo SADAKA ya mtu, ndipo ulipo moyo wa Mtu.

Uwe Wa Giza au wa Nuru, SADAKA lazima.

Usipotoa sadaka, usitegemee hatua yoyote maishani.

Usipotoa SADAKA ikateketezwa madhabahuni, Utateketea wewe.

Elfu kumi Yako ni shukrani tu, Mungu alimchinja mwana wake wa pekee kama sadaka ya Ukombozi wa Dunia nzima.

Siasa zibaki mahala pake, ya Mungu tumwachie Mungu.

Ukiona watafaidi watumishi, peleka sadaka Yako Kwa wajane na yatima.

Ameen.
Roma kakutach unafikilia wahumini wasipo kupa sadaka utakula nini biashara nyingine hizi nuksi kweli kweli
 
Amesema yeye sio CCM Wala CHADEMA,
Kuchagua ANDAZI kwenye ushairi ni KUCHAGUA shibe yake...[emoji1787][emoji1787][emoji23]
Mbona kajibu....KASEMA DJ KASIMAMISHA MZIKI..... CHADEMA WANAKATA MAUNO[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Kwa mantiki hio,
STILL ANGE CHAGUA ANDAZI

Kwa mawazo yako unadhani ange CHAGUA CHADEMA!!??
Naasi hapa roma alimaanisha vuguvugu la mwenda zake na chadema ila ana shaangaa kuona linazidi wakati magu hayupo naisi ni hivi
 
Kuna wimbo mpya umetoka. Si mwingine ni kijana wetu, Roma Mkatoliki.

Wimbo unaitwa "Nipeni Maua Yangu" humo ndani kuna madini ya kutosha. Roma Mkatoliki kama kawaida yake katoa ya moyoni yanayoendelea katika utawala huu wa awamu ya 6. Kama kawaida kanyoosha maelezo hajapindapinda.

Hakika baada ya kuusikiliza nampa maua yake ayanuse angali akiwa hai.

Ni mstari upi umekuvutia zaidi? Tushirikishe hapa...

Hili song halina mpinzani kwa miaka mingine 100 Ijayo.
 
"Nchi gani raia akihoji mnasema anakosoa na akikosoa mnasema anatukana serikali"

"Mnatuambia tujiajiri mbona nyinyi hamkujiajiri nikupe boda yangu nawe unipe uwaziri? Nikukabidhi vyeti vyangu uangaike navyo mwezi mmoja niko pale nakungoja uje tuongee lugha moja."

Anakwambia "mi sio CCM sio Chadema, ila ukiweka CCM na andazi ntachgua andazi".[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

haya sikilizeni na nyinyi Ngoma
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Roma ft Abiud Maua yangu.

View attachment 2593023
Mbona vyuma vimekaza harafu mama anaificha Grisi?
 
Back
Top Bottom