Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujapata kusikiliza wimbo wa Roma Mkatoliki basi hujachelewa;
1. Jeshi gani limeishindwa kumtambua Kigogo?
2. Nchi wameifanya mti.
3. Mbona mama anarudia kilemba? Afu mbona vyuma vimekaza afu mama anaificha ndizi?
4. Mimi sio CCM wala CHADEMA ilo niliweke wazi, nikiwekewa CCM na andazi mi nitachagua andazi.
5. Amjasikia remote iko Msoga?
6. Jimbo hili aliendelei kisa mlimchagua mpizani basi shinda na huu mtihani.
7. Wengine mmewaona viongozi wakazi walikuwa marapa (Mwana FA).
8. Vijana siasa ndio inaweka kila kitu safi.
9. Anayechelewesha mshafara ni ng'ombe wa mbele ila anapigwa wa nyuma ili apige kelele [emoji120]
Ujumbe Toka Kwa Roma Mkatoliki.
....... Tanzania Yangu......
View attachment 2593500
Yaan hiyo ni kombineshi.... perfect kombo....Kama umepata wasaa wa kuusikiliza wimbo Roma mkatoliki nipeni Maua yangu..Apo kwenye verse alioimba ngolo kante anampa mbappe krosi anafunga Pogba alikuua anamaanisha nn???
Ndo mpango wake boss .Anataka maisha mazuri.Anataka watoto wake wapate green cards.Anaendelea kujustify kuwa anastahili kuendelea kuishi Marekani kwa ajili ya usalama wake...Huyu mwamba harudi tena bongo
Nani aliimba hivi....??Ile sanaa ya jamaa ni noma sana, kuna sehemu alisema sio watumishi tena ni watumwa wa umma, hii si nchi ya amani tunaishi kwa dhuluma hapo aliuponda mfumo wote wa Magufuli ambapo watumishi walianza kuogopa kila raia wakawa wanafanyakazi kinoma akaendelea _ukiwa mnyonge hauwezi ukala na kushiba wenye nguvu za ufisadi wanakula za kuiba ripoti ya CAG imekubali hii verse alafu ndio akaanza mambo ya Baba uliye juu (Nyerere) we ndo baba wa taifa, huyu baba uliyetupa (Magufuli) hana lolote ni sifa alivyo chizi akaendelea Nitawashinda Mahakamani nitawakabili Mitaani hapa akawagusa wasiojulikana alafu akaanza kuuliza niseme nisisemee? alafu ghafla akabadilisha mada
Ukimsikiliza vizuri kwa kile kipindi jamaa alifanya jambo gumu sana akiwa live redioni
Mbeya boy chuma kwenye dakika 10 za maangamiziNani aliimba hivi....??
Wewe yule alijiteka mwenyewe kwa kutafuta njia ya kwenda usaUlitaka auawe na jiwe?.
Jiwe alikuwa ni mtu wa hovyo sana
Wewe ambaye hujakimbia nchi una nini zaidi ya kutegemea hao hao waosha vyombo wawatumie fedha. Hadi serikali inawazimikia kwa kujidai kuwa mwaka huu wameingiza dola bilioni moja na ushei wakati mnawafanyia mtima nyongo na kuwaonea wivu.Roma _Mkatoliki kukimbia NCHI yako na kukubali kuwa foreigner pia huo ni "UANDAZI".
Kukimbia familia yako na Kwenda Marekani kuosha vyombo pia huo ni "UANDAZI" dogo!
Tuendelee kukosoana kwa hekima ndugu zangu!Huu ni uchambuzi wangu kuhusu wimbo wa Roma_Mkatoliki!
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Roma kukimbia nchi niumaandaziWewe ambaye. hujakimbia nchi una nini zaidi ya kutegemea hao hao waosha vyombo wawatumie fedha. Hadi serikali inawazimikia kwa kujidai kuwa mwaka huu wameingiza dola bilioni moja na ushei wakati mnawafanyia mtima nyongo na kuwaonea wivu. Kama ni rahisi mwanangu jaribu uone kama utatoboa. Siyo nyie msemao kuwa ni heri kuzaliwa paka ulaya kuliko binadamu bongo tokana na ujinga na uvivu?
Kwahyo yale makovu ya kipigo Cha Roma ni alijipiga mwenyewe,au alipanga watu wamshindilie mangumi ili aonekane kapigwa? Nadhani uitumie akili Yako kidogo.Wewe yule alijiteka mwenyewe kwa kutafuta njia ya kwenda usa
Asione watu hatuna akili watu tunaelewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"Wapinzani wanaendelea kukatika huku DJ kazima mziki."
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chezea football weyeeee.Kama umepata wasaa wa kuusikiliza wimbo Roma mkatoliki nipeni Maua yangu..Apo kwenye verse alioimba ngolo kante anampa mbappe krosi anafunga Pogba alikuua anamaanisha nn???