Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Haahaa😊😊Na huyo ndio alilambishwa asali kwa kisu akaumwaga wino 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahaa😊😊Na huyo ndio alilambishwa asali kwa kisu akaumwaga wino 😂
Boys 2 menHao mtu tatu ndani ya track moja ni Nani na Nani?
Shilole ndio huwa anaachia ziwa shem
Sawa chawa.Yaani humu kweli wapumbavu wapo wengi sana kufurahia upumbavu sasa hapo mnatukanwa nanyinyi mnafurahi eti wimbo mzuri kawageuza hmna akili nanyi mmekubali
Unasemea wananchi gani? Wale alio ua au wale alio wapiga risasi?JPM pekee alikuwa wa wananchi.
WatanzaniaUnasemea wananchi gani? Wale alio ua au wale alio wapiga risasi?
Na chuchu au?Shilole ndio huwa anaachia ziwa shem
Mi nananiliu.....ðŸ¤
Hii haipigwi. Hadi sasa sijaisikiaHii ngoma inapigwa kweli huko redioni??
hahahahaha kwanini mkuu?Huyu mwamba harudi tena bongo
Angekuwa na mpango wa kurudi angeshanza mapambio dhidi ya namba moja na kampuni yake, lakini ndo kwanza ameliamsha dude upya.hahahahaha kwanini mkuu?