mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
We mataga mbona husemi andazi?"Siwaamini watawala, siwaamini wapinzani. Maana wanaendelea kukatika huku Dj kauzima mziki."
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mataga mbona husemi andazi?"Siwaamini watawala, siwaamini wapinzani. Maana wanaendelea kukatika huku Dj kauzima mziki."
Never! sema ni wakati wa kuyahoji maridhiano mbona yako slow sana? au wanavuta muda ili 2025 ifike?Mbowe amemezwa na maridhiano, soom cdm itaitea ccm B2
"Siwaamini watawala, siwaamini wapinzani. Maana wanaendelea kukatika huku Dj kauzima mziki."
Mimi nachagua andazi."Siwaamini watawala, siwaamini wapinzani. Maana wanaendelea kukatika huku Dj kauzima mziki."
🙏🙏Nakuunga mkono Cute Msangi lakini rekebisha kwenye matumizi ya umoja na wingi,
Umoja - Wingi
Wimbo - Nyimbo
Hata mimi aisee. Bora nichagua andazi! Ila siyo ccm.Mimi nachagua andazi.View attachment 2594425
Sina nyimboNyimbo zako ziko wapi?
Ungekuwa na AKILI kucha cha habari kkngesomeka "Roma kawaponda watawala na wapinzani""Siwaamini watawala, siwaamini wapinzani. Maana wanaendelea kukatika huku Dj kauzima mziki."
Huu ni uchochezi!Mimi nachagua andazi.View attachment 2594425
Enzi Za mpendwa wetu huu wimbo usingetoka angenyongwa hukohuko studioAmemic kutekwa
Sasa mimi si nimeunga mkono hoja lakini?Ugoro umekuingia puani naona umeanza kupiga chafya[emoji38]
Endelea kukatikaUngekuwa na AKILI kucha cha habari kkngesomeka "Roma kawaponda watawala na wapinzani"
Kwani karudi bongo?Enzi Za mpendwa wetu huu wimbo usingetoka angenyongwa hukohuko studio
Kabaki kuponda wasanii wenzie Twitter, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Roma si mara ya kwanza kiitikio na ngoma yake kuwa vutu viwili tofauti, ila watu wanapenda mistari yake, jumbe zake. Hip hop ni ujumbe, ujumbe ufike tu, viitikio huwa ni nyongeza.
Wakazi ni mtu ambae hata sijui anaimba nini..
Mwenzenu hata sijui wameridhiana nini!! Nipo nipo tuNever! sema ni wakati wa kuyahoji maridhiano mbona yako slow sana? au wanavuta muda ili 2025 ifike?