Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Roma kupitia huo wimbo wake wa dakika 7 kaonyesha kipaji kikubwa alicho nacho kwenye muziki wa TAARAB ila kilikuwa kimefichwa kwenye hiphop. NINAMPONGEZA SANA. Ninamshauri abadilike na kuachana na hiphop ili kwenda kwenye kipaji chake halisi cha muziki wa TAARAB. Huko atatoboa kirahisi na kuacha kuendelea kuwa underground kwenye hiphop. Pia ataongeza idadi ya mashabiki wake badala ya kuendelea kuwategemea wafuasi wa chama cha Mbowe kama mashabiki zake huku wakiwa hawanunui nyimbo wala ku-view you tube. Kwa sasa hakuna wimbo wa hiphop wa dakika 7 dunia nzima.
Sawa Nyoka wa kijani
 
Wakazi yupo sahihi

Nyimbo nyingi za Roma hazina mpangilio wa chorus na verses ni Kama unasikiliza nyimbo mbili tofauti kwenye battle.

Ukisikiliza nyimbo ya Roma verse yake bila chorus afu ukatudi kwa wakati mwingine ukaanza kusikiliza chorus tu unaweza ukadhani ni nyimbo nyingine tofauti.

Kiufupi nyimbo Kali kawachana Sana Wana siasa,may be wakazi kachukia sababu ni mtoto wa kwenye familia ya siasa.... jokes 😁 mlizoea nyimbo
Nyie mlizoea nyimbo za captain Komba
 
Roma si mara ya kwanza kiitikio na ngoma yake kuwa vutu viwili tofauti, ila watu wanapenda mistari yake, jumbe zake. Hip hop ni ujumbe, ujumbe ufike tu, viitikio huwa ni nyongeza.

Wakazi ni mtu ambae hata sijui anaimba nini..
 
Hiyi ndio tz yetu ndio mana nasema hv hiyi nchi shida haipo kwa watawala shida ipo kwa wananchi like wakazi, kuhusu nyimbo ya roma mi nazani wakujadili ni viongozi husika ila kama viongoz husika wamemtuma wakazi hapo sawa
 
Wakaz yupo sahihi ila Roma alicholenga yeye ni kufikisha ujumbe...wasanii wengi wanaoimba nyimbo za kukosoa huwa wanazngatia zaidi kufikisha ujumbe masuala ya chorus na mengne huwa ni ya ziada tuu
 
Wakazi yupo sahihi

Nyimbo nyingi za Roma hazina mpangilio wa chorus na verses ni Kama unasikiliza nyimbo mbili tofauti kwenye battle.

Ukisikiliza nyimbo ya Roma verse yake bila chorus afu ukatudi kwa wakati mwingine ukaanza kusikiliza chorus tu unaweza ukadhani ni nyimbo nyingine tofauti.

Kiufupi nyimbo Kali kawachana Sana Wana siasa,may be wakazi kachukia sababu ni mtoto wa kwenye familia ya siasa.... jokes 😁
Nazungumza kwa nafasi yangu ya sanaa tena senior artist.
Popote duniani hakuna kitu kinachoitwa BAD ART yaani hakuna SANAA MBAYA

Sanaa inapewa hadhi ya anayeipokea na hakuna demokrasia ya kulazimisha mtu aamini unachokiamini wewe.

Wakazi anajitahidi lakini anaruka mipaka ya asili
 
Wakazi yupo sahihi

Nyimbo nyingi za Roma hazina mpangilio wa chorus na verses ni Kama unasikiliza nyimbo mbili tofauti kwenye battle.

Ukisikiliza nyimbo ya Roma verse yake bila chorus afu ukatudi kwa wakati mwingine ukaanza kusikiliza chorus tu unaweza ukadhani ni nyimbo nyingine tofauti.

Kiufupi nyimbo Kali kawachana Sana Wana siasa,may be wakazi kachukia sababu ni mtoto wa kwenye familia ya siasa.... jokes 😁
Nyimbo zako ziko wapi?
 
ROMA amesema hana muda wa kujibizana na kauli au maoni ya Wakazi kwasababu itaonekana kama anatafuta kick ya kuongeza views au usikivu wa wimbo wake.

Awali Wakazi alimchana ROMA kuwa wimbo wake ni kawaida huku akidai Verse haziendani na Chorus pia hazina uwiano zaidi ya yeye ROMA kujisifia kwenye kiitikio.

View attachment 2594244
View attachment 2594250
maua-yangu-png.2593867

View attachment 2594253


Pia soma: Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Kwani huyo wakazi ndo nani huko darisalam? Manake huko dar huwa mnadhani sisi huku mikoani tunawajua watu Wote wa huko
 
Back
Top Bottom