Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
"Siwaamini watawala, siwaamini wapinzani. Maana wanaendelea kukatika huku Dj kauzima mziki."
Hivi ninyi watu mnafikiri kwa kutumia masaburi au kichwa, Roma ni kiumbe gani hadi tum discus humu.
Ushaona muimbaji wa bongo skuhizi akiimba nyimbo zenye maudhui ya ki mafundisho?
Au ya kifasihi?
 
Hivi ninyi watu mnafikiri kwa kutumia masaburi au kichwa, Roma ni kiumbe gani hadi tum discus humu.
Ushaona muimbaji wa bongo skuhizi akiimba nyimbo zenye maudhui ya ki mafundisho?
Au ya kifasihi?
...endelea kukata kiuno.
 
Hata ccm wakiwekewa Anadazi hapa, ccm huku, watachagua Andazi!

Mwimbaji naye kapungukiwa kufikiri' kwa nini asingweka chama na chama, au ccm na gogo lisilolika?

Unaeekea mfano wa chakula na jitu?
 
Hivi ninyi watu mnafikiri kwa kutumia masaburi au kichwa, Roma ni kiumbe gani hadi tum discus humu.
Ushaona muimbaji wa bongo skuhizi akiimba nyimbo zenye maudhui ya ki mafundisho?
Au ya kifasihi?
Et kwa sababu wanadai kwamba aliwahi kutekwa na aliyekuwa Rais wa nchi kwa sababu et hizo hizo nyimbo zake, hivyo ndio ikampa ukubwa fulani hivi.
 
Hivi ninyi watu mnafikiri kwa kutumia masaburi au kichwa, Roma ni kiumbe gani hadi tum discus humu.
Ushaona muimbaji wa bongo skuhizi akiimba nyimbo zenye maudhui ya ki mafundisho?
Au ya kifasihi?

mbona una makasiriko sana wewe mpumbavu.

Unadhani kwa aliyoyasema roma ni ya kawaida, wewe unaweza kuyasema hadharani au kupitia hayo matter call yako.


HOVYO KABISA
 
Kigogo mbona anajulikana 😂😂😂😂
Wajanja tunamjua japo kwa sasa huyo Kigogo hatoi zile za moto moto kama enzi za Mwendazake
 
Kama kawaida Roma karudia kutangaza taarifa ya habari 😂😂😂.

Mbeyaboy Chuma alimsema Magufuli na utawala wake redioni tena East Africa Radio live kwenye dakika 10 za Maangamizi, yule mwamba alijua kucheza na maneno.

Kila nikisikiliza hicho kipande nasema wangejua angekoma 😂😂 anakwambia chuma mtoa roho israeli, chuma dikteta Adolf Hitler kweli bado akakazia Baba uliye juu we ndo! baba wa taifa, huyu baba uliyetupa hana lolote ni sifa
 
Back
Top Bottom