permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
"Wapinzani wanaendelea kukatika huku DJ kazima mziki."
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamwambi anarudia vilembahahahahaha kwanini mkuu?
Anasema yeye co CHADEMA wala CCM, ila akiwekewa andazi na CCM anachukua andazi. Kanifurahisha sana.Kamwambi anarudia vilemba
Rythm Of Magical AttractionRoma ndio nini?
Ngoma imetuli. Je huko marekeni alienda mwenyewe au alikimbia kama akina lema na lissuKwema humu,
Roma mkatoliki kaachia ngoma na Abiud inayoenda kwa jina la "Nipeni maua yangu." Daaah nimeisikiliza kwa kuirudia mara 3(×3), aisee mwamba Roma kaja kivingine baada ya kupotea kwa kipindi kirefu sasa amethibitisha kuwa anarudi rasmi kwenye game.
Kaeni mkao wa kula any time is tea time, tumemfanyia interview tukiwa ndani ya New York City Marekani, ni muda sasa kuinjoy vitu vikali achana na hawa wasanii wanaopapasana.[emoji2960]
@Moderator Paw futeni matusiHahaha sisi tunamkamua mkewe kiuhalisia wewe endelea kubwabwaja...bikra hata mama yako alishatolewa na mimi ndiye niliye mtoa hiyo bikra na nikamtelekeza na mimba ndio umezaliwa wewe
I see..mbeya boy chuma..Kama kawaida Roma karudia kutangaza taarifa ya habari [emoji23][emoji23][emoji23].
Mbeyaboy Chuma alimsema Magufuli na utawala wake redioni tena East Africa Radio live kwenye dakika 10 za Maangamizi, yule mwamba alijua kucheza na maneno.
Kila nikisikiliza hicho kipande nasema wangejua angekoma [emoji23][emoji23] anakwambia chuma mtoa roho israeli, chuma dikteta Adolf Hitler kweli bado akakazia Baba uliye juu we ndo! baba wa taifa, huyu baba uliyetupa hana lolote ni sifa
wewe ndio tahira kiwango cha rami... matusi yako wapi?Yaani humu kweli wapumbavu wapo wengi sana kufurahia upumbavu sasa hapo mnatukanwa nanyinyi mnafurahi eti wimbo mzuri kawageuza hmna akili nanyi mmekubali
Hili dingo ni kwa yule Mkono wa Baunsa.Askofu mfufua wafu anaiba kura za mpinzani, atashindwa kuiba sadaka kanisani.
Mimi mnisaidie, kwanini kwapa lipo karibu na bega? Binafsi, sijajua ni kwa nini?
Ile sanaa ya jamaa ni noma sana, kuna sehemu alisema sio watumishi tena ni watumwa wa umma, hii si nchi ya amani tunaishi kwa dhuluma hapo aliuponda mfumo wote wa Magufuli ambapo watumishi walianza kuogopa kila raia wakawa wanafanyakazi kinoma akaendelea _ukiwa mnyonge hauwezi ukala na kushiba wenye nguvu za ufisadi wanakula za kuiba ripoti ya CAG imekubali hii verse alafu ndio akaanza mambo ya Baba uliye juu (Nyerere) we ndo baba wa taifa, huyu baba uliyetupa (Magufuli) hana lolote ni sifa alivyo chizi akaendelea Nitawashinda Mahakamani nitawakabili Mitaani hapa akawagusa wasiojulikana alafu akaanza kuuliza niseme nisisemee? alafu ghafla akabadilisha madaI see..mbeya boy chuma..
Mimi mbona naisikiliza Mara kwa mara..njoo muone x nyumba inabomolewa lakini sikusikia hii verse..
Jiwe angemtoa korodani angeelewa hii
NCHI wameifanya MTI,
Mjenzi anauona MBAO,
Ndege ataona MAKAZI,
Mkulima ataona MAZAO,
Mganga Ataona DAWA na
Mpishi atauona KUNI
Kampiga Askofu Gwajima bonge la spana.