Hapo huyu jamaa anamaanisha nn , mm nimemuelewa kwa namna fulani kuhusu yaliyompata mwendazake ila wana forum wenye kuuelewa zaidi huu mstari tunaomba muudadavue zaidi tafadhali maana ni mstari wenye tafasiri zaidi ya moja , hapo kaonyesha ukomavu wa fasihi kwa kuiachia hadhira ijiamulie kuelewa tafasiri ionavyo yenyewe,

" Wakamlisha asali kwa kisu akaramba akamwaga wino , tangulia na dereva barua utaikuta chamwino....."

Hapo kwenye tangulia na dereva barua utaikuta chamwino, nn kimefumbwa hapo ,
 
...Ni sentensi inayoonyesha Ukomavu Mkubwa wa Fasihi ! Kazi Kwetu...!
 
...Ni sentensi inayoonyesha Ukomavu Mkubwa wa Fasihi ! Kazi Kwetu...!
Bado hujasema umeelewa Nini
 
Roma kakutach unafikilia wahumini wasipo kupa sadaka utakula nini biashara nyingine hizi nuksi kweli kweli
 
Naasi hapa roma alimaanisha vuguvugu la mwenda zake na chadema ila ana shaangaa kuona linazidi wakati magu hayupo naisi ni hivi
 
Hili song halina mpinzani kwa miaka mingine 100 Ijayo.
 
Mbona vyuma vimekaza harafu mama anaificha Grisi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…