Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Sidhani mkuu, sema personally sijawahi kufañya survey zao maana naona malipo madooogo sana.
Sema sizan Kam online market zna tija kwa Sasa matapeli weng,wanaofaidik ni weny ujuz binafs na wako kweny carrier kitambo,Bora tuendelee na physical tu biashar za kawaida mtaani
 
Ukitapeliwa unakuwa hujafanya background research watu wanaingia daily na wanakukala ela nzuri. Nna mfano wa mtu mmoja humu kaingia mwaka jana na kaona matunda mazuri sana ambayo huwezi amini. And she still making more tham a million kila mwezi kuptia huko.
Ni juhudi + bahati pia.
Sasa ndio Mana nkakwambia watu binafsi yey anawapanga kikundi kuhusu sharing faida kubwa anabeba yey wengne mnabak mnalia na block mnakula
 
Sasa ndio Mana nkakwambia watu binafsi yey anawapanga kikundi kuhusu sharing faida kubwa anabeba yey wengne mnabak mnalia na block mnakula
Hapangi mtu anafanya kazi mwenyewe hapangi mtu yeye ni jeshi la mtu mmoja. Mimi mwenyewe nafanyaga kazi zangu mwenyewe labda zinazohitaji kushirikisha watu kama female voice recording hapo ndipo naweza tafta mtu
 
Hapangi mtu anafanya kazi mwenyewe hapangi mtu yeye ni jeshi la mtu mmoja. Mimi mwenyewe nafanyaga kazi zangu mwenyewe labda zinazohitaji kushirikisha watu kama female voice recording hapo ndipo naweza tafta mtu
Basi uyo anafanya Kam kazi na ni bize kweli Ila wabongo wakisikia online marketing anatak atumie daika Mbili na jero yake apate faida kesho asubuhi tuna safari ndefu kwa kweli
 
Basi uyo anafanya Kam kazi na ni bize kweli Ila wabongo wakisikia online marketing anatak atumie daika Mbili na jero yake apate faida kesho asubuhi tuna safari ndefu kwa kweli
Anafanya kazi amejiriwa hiyo ni part time job. Na hata hafanyi kazi za marketing online anafanua shughuli nyingine nyingine ila amededicate muda wake na anatoa kazi nzuri.
Watu wanapiga pesa nzuri tu mbona sema sio kwenye issue za survey
 
Anafanya kazi amejiriwa hiyo ni part time job. Na hata hafanyi kazi za marketing online anafanua shughuli nyingine nyingine ila amededicate muda wake na anatoa kazi nzuri.
Watu wanapiga pesa nzuri tu mbona sema sio kwenye issue za survey
Kazi gani na sites/app gani Mkuu?
 
Anafanya kazi amejiriwa hiyo ni part time job. Na hata hafanyi kazi za marketing online anafanua shughuli nyingine nyingine ila amededicate muda wake na anatoa kazi nzuri.
Watu wanapiga pesa nzuri tu mbona sema sio kwenye issue za survey
Aisee yuko vzur 1 year carrier nnaomba connection za class za izo legal investment site na ikiwezekan marketing
 
Hafanyi kwenye site anatafta individual clients anakuwa anafanya nao moja kwa moja na malipo wanamlipa moja kwa moja via wire au paypal.
Ishu za voice over / voice recording , hii kazi inahitaji uzingatie kitu gani zaidi??, vipi kuhusu accent za watu ?
 
Tatz ujuzi mkuu wabongo wabinafsi Sana atakupa data juu juu na ukiona ivo ujue anakuingiza kingi yey alifeli au kuliwa kweny iyo system so sad
Upwork wako serious sana kama hiyo ya data entry wanataka uwe na MS Excel certificate ambayo ni $150,kama mhasibu uwe na CPA yaani wamebase kwenye Professionalism kuna watu wanapiga $25+/hrs
 
Upwork wako serious sana kama hiyo ya data entry wanataka uwe na MS Excel certificate ambayo ni $150,kama mhasibu uwe na CPA yaani wamebase kwenye Professionalism kuna watu wanapiga $25+/hrs

Mkuu mimi sight nnazoziamni sana ni upwork, freelancer na fiverr japo naona siku hizi kuna matapeli lakini kama unatumia akili sawa sawa ni rahisi kujua yupi genuine yupi tapeli. Na ukifuata utaratibu wao huwezi tapeliwa.
Hao client wengine unakutana nao tu juu kwa juu au ukifanya kazi na huyu anakulink na huyu siku upo unashangaa email hyo hapo watu wanataka uwasaidie.
Muhimu ni kuhakikisha mtu akikupa kazi unaifanya vzuri kabisa.
Mimi kuna mama nafanyaga nae kazi za subtitling. Nmeanza naye kufanya subtitling wakat sikuwah kufanya ila ndani ya week aliniambiaga mimi nimekuwa top ya list ya subtitlers wake. Mwaka wa tatu sasa akiwa na kazi ataniuliza mimi kwanza kama nna muda ndo awafuate wengine. Ila halipi pesa nyng kama wengine ila nampenda kwasababu ana kazi nyingi na zikiwepo unakuwa na uhakika wa kutengeneza 30-40$ kila sku kwa week nzma au zaidi.
Hivyo ukipewa kazi ifanye kwa uwezo wako wote.
Shukran sna kwa madini mkuu
 
Back
Top Bottom