Nipeni Urais wa Tanzania muone namna gani CCM wametuchelewesha!

Nipeni Urais wa Tanzania muone namna gani CCM wametuchelewesha!

Itakuaje kila rais akataka kuendeleza hiyo mikoa tu

Jaribuni kufikiria na vijijini kupaendeleza .

Ile Sera ya umeme wa elfu 27 ilikuwa nzuri Sana .

DSM inahitaji kurekebisha na kujengwa barabara za kupita juu na chini, kupunguza msongamono .


Ila ukiwa rais hakikisha mnaboresha na vijijini pia na sio DSM pekee.
Uzoefu naonesha nchi zinachaguaga maeneo machache ili kujenga uchumi wa maeneo mengine.

Unadhani Falme za Kiarabu hakuna sehemu nyingine zaidi ya Dubai? Unadhani Marekani hakuna maeneo mengine zaidi ya New York na Los Angeles California?

Maeneo hayo yatatumika kama chachu ya maendeleo katika maeneo mengine.
 
Uchumi wa nchi Maskini utainuliwa kwa mambo Makuu yafuatayo;

1. Mapinduzi ya Kilimo
2. Viwanda Vidogovidogo hasa vya kuchakata na kusindika chakula na malighafi za mazao.
3. Miundombinu ya Maji kila Nyumba nchi nzima.
4. Miundombinu ya Nishati ya Umeme kila Nyumba nchi nzima.
5. Barabara Bora nchi nzima.

6. Elimu kwa vitendo kwa vijana
7. Uvamizi Kwa nchi nyingine ili kuuza bidhaa zetu kwenye nchi hizo na Kusaidia vijana wetu.

8. Kurasmisha Kazi ambazo sio rasmi na kuwaweka watu wote kwenye mfumo wa ulipaji Kodi.

9. Kuboresha Sera na Sheria za kikodi ili walipaji wawe wengi. Kodi ndogo walipaji wengi.

10. Kuweka mazingira mazuri ya utalii.
 
Uchumi wa nchi Maskini utainuliwa kwa mambo Makuu yafuatayo;

1. Mapinduzi ya Kilimo
2. Viwanda Vidogovidogo hasa vya kuchakata na kusindika chakula na malighafi za mazao.
3. Miundombinu ya Maji kila Nyumba nchi nzima.
4. Miundombinu ya Nishati ya Umeme kila Nyumba nchi nzima.
5. Barabara Bora nchi nzima.

6. Elimu kwa vitendo kwa vijana
7. Uvamizi Kwa nchi nyingine ili kuuza bidhaa zetu kwenye nchi hizo na Kusaidia vijana wetu.

8. Kurasmisha Kazi ambazo sio rasmi na kuwaweka watu wote kwenye mfumo wa ulipaji Kodi.

9. Kuboresha Sera na Sheria za kikodi ili walipaji wawe wengi. Kodi ndogo walipaji wengi.

10. Kuweka mazingira mazuri ya utalii.
Hizo njia ndefu ndo kila siku zimetufanya kuwa hapa tulipo na badala yake maataifa yaliyoweka vipaumbele kwenye masuala kadhaa saivi yametuzidi hadi tunajiuliza kila siku tatizo nini?


Hvyo vipaumbele nilivyoweka hapo maximum ni 10 to 15 years Tanzania tunalinganishwa na South Korea kiuchumi
 
Nitafanya mambo matano muhimu.

1. Kuufanya Arusha kuwa Mji wa Taasisi za Kimataifa Afrika ambapo Taasisi zote za kimataifa zitapewa maeneo ya kujenga Ofisi zao na Makazi ya Wafanyakazi wao Arusha- Kupitia hili nina uhakika wa kuingiza fedha nyingi sana za kigeni pamoja na kutengeneza ajira za uhakika kwa Watanzania wengi sana.

2. Kuifanya Dar es Salaam kuwa Mji wa Biashara kweli na Dodoma Ofisi na Makazi ya Serikali tu. Kwenye hili kila kitu cha Kibiashara na maeneo makubwa mazuri ya starehe yatajengwa Dar.

Dodoma kutakuwa na Ofisi za Wizara, Ikulu, Bunge na Mahakama tu. Hakuna taasisi itakuwa na Ofisi Dodoma bali Ofisi za Taasisi zitagawanywa mikoa mbalimbali ikiwemo Dar, Mwanza, Mbeya, Kigoma, Lindi, Iringa, Kilimanjaro, Tanga na Njombe ili kuleta uwiano katika vichocheo vya maendeleo sehemu mbalimbali.

3. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji kuelekea kusini, katikati na kaskazini mwa Afrika kupitia Bandari zake na reli. Hapa nitaweka miondombinu ya uhakika ya reli za umeme na barabara za uhakika kwenye njia zote za mipaka ya kuingia na kutoka Tanzania.

4. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha Utalii na Uwekezaji Afrika. Kila kivutio cha utalii kinachopaswa kuwepo Tanzania kitawekwa.

Mwisho nitaivunja Wizara ya Ardhi na kuajiri vijana wapya ambao watafanya zoezi na kuipima na kuipanga nchi nzima.

Kabla ya yote haya nitaanza na Katiba Mpya.

Mungu nisaidie!
Mpaka hapo umeshafeli yaani uanze kutawanya taasisi za Umma Kila Mkoa ,wewe utakuwa hazikutoshi.

Mji Mkuu ni Dom na ni uamzi sahihi kabisa.

Harafu hatuhitaji Kiongozi wa kuanza upya Kila siku,tuna Dira hiyo ndio ya kufanyia kazi.
 
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anatekeleza ilaninya CCM ya 2020-2025. Tumuunge mkono.
 
Uchumi wa nchi Maskini utainuliwa kwa mambo Makuu yafuatayo;

1. Mapinduzi ya Kilimo
2. Viwanda Vidogovidogo hasa vya kuchakata na kusindika chakula na malighafi za mazao.
3. Miundombinu ya Maji kila Nyumba nchi nzima.
4. Miundombinu ya Nishati ya Umeme kila Nyumba nchi nzima.
5. Barabara Bora nchi nzima.

6. Elimu kwa vitendo kwa vijana
7. Uvamizi Kwa nchi nyingine ili kuuza bidhaa zetu kwenye nchi hizo na Kusaidia vijana wetu.

8. Kurasmisha Kazi ambazo sio rasmi na kuwaweka watu wote kwenye mfumo wa ulipaji Kodi.

9. Kuboresha Sera na Sheria za kikodi ili walipaji wawe wengi. Kodi ndogo walipaji wengi.

10. Kuweka mazingira mazuri ya utalii.
Sahihi kabisa.
Mtu anakuna anaanza hadithi za kujenga Jenga. Badala kwanza kucontrol Expenditure. Hii nchi Hela inazo nyingi ila misururu ya matumizi isiyo na kichwa Wala miguu ndio inatuleta kwenye Vicious Cycle ya umasikini
 
Mkuu, mpaka sasa umeshafanya nini na wapi tuje tuangalie tujiridhishe kuwa wewe ni mtu wa vitendo na siyo porojo tu kama tundu lisu.
Isije ikawa unataka kutuuzia mbuzi kwenye gunia, kama wanasiasa wengi walivyo
 
Mpaka hapo umeshafeli yaani uanze kutawanya taasisi za Umma Kila Mkoa ,wewe utakuwa hazikutoshi.

Mji Mkuu ni Dom na ni uamzi sahihi kabisa.

Harafu hatuhitaji Kiongozi wa kuanza upya Kila siku,tuna Dira hiyo ndio ya kufanyia kazi.
Mji Mkuu hautaondoka Dodoma. Ila yatakuwa makazi ya Serikali yaani Ikulu, Wizara, Bunge, Mahakama na Benki Kuu tu.

Ni ushamba na kukosa maarifa kujaza mataasisi yote Dodoma. Mfano nikikuuliza kulikuwa na haja gani ya Makao Makuu ya TBC kutolewa DSM utaweza kunipa jibu? Au makao makuu ya TCRA ?

Taasisi zote zitasambazwa mikoani. Hata Marekani Makao Makuu ya CIA yapo Langley State of Virginia na sio Washington DC.

Hujawahi jiuliza what if Bomu likapigwa Dodoma ambapo tunajaza maofisi ya Serikali na Taasisi zake zote kutakuwa na impact gani kwa taifa? Huoni hapo tutalazimika kuanza upya kabisa kama taifa?

Unadhani walioweka makao makuu ya Atomic Arusha, Makao Makuu ya TAWA Morogoro walikuwa vichaa hadi mnataka kujaza mataasisi yote hapo Dodoma?
 
Sahihi kabisa.
Mtu anakuna anaanza hadithi za kujenga Jenga. Badala kwanza kucontrol Expenditure. Hii nchi Hela inazo nyingi ila misururu ya matumizi isiyo na kichwa Wala miguu ndio inatuleta kwenye Vicious Cycle ya umasikini

Tatizo watu wengi wanatatua matatizo ambayo sio ya msingi kwa wananchi
 
Basi wasingeijenga vile kuwa sehemu ya utalii na leisure!

Unatumia kile ulichobarikiwa kujenga na Kupata vile ambacho hauna.

Tanzania bado hatujafika uchumi wa kujenga Majengo kama ya Dubai. Haya yaliopo tuu hakuna wakaaji.

Haya masoko ya Kisiasa yaliyojengwa Kwa mamilioni ya pesa unajua yanaingiza faida Kiasi gani?

Nenda Soko la Morogoro Mjini, pale, njoo hapa Magomeni, nenda pale Tandale,

Boresha kwa kiwango kikubwa maeneo yanayogusa watu wengi kwa wakati Mmoja, ili kuboresha maisha yao.

Hiyo itakusaidia kuinua uchumi wa nchi na kujenga miundombinu kama ya Dubai.

Mradi wa Bwawa la umeme ✅
Mradi wa SGR ✅
ATCL ✅½

Huwezi tumia mabilioni ya pesa kuanzisha mradi utakaotumia mabilioni Mengi ya pesa kuuendesha wakati Watumiaji WA huo mradi ni 5%
 
Nitafanya mambo matano muhimu.

1. Kuufanya Arusha kuwa Mji wa Taasisi za Kimataifa Afrika ambapo Taasisi zote za kimataifa zitapewa maeneo ya kujenga Ofisi zao na Makazi ya Wafanyakazi wao Arusha- Kupitia hili nina uhakika wa kuingiza fedha nyingi sana za kigeni pamoja na kutengeneza ajira za uhakika kwa Watanzania wengi sana.

2. Kuifanya Dar es Salaam kuwa Mji wa Biashara kweli na Dodoma Ofisi na Makazi ya Serikali tu. Kwenye hili kila kitu cha Kibiashara na maeneo makubwa mazuri ya starehe yatajengwa Dar.

Dodoma kutakuwa na Ofisi za Wizara, Ikulu, Bunge na Mahakama tu. Hakuna taasisi itakuwa na Ofisi Dodoma bali Ofisi za Taasisi zitagawanywa mikoa mbalimbali ikiwemo Dar, Mwanza, Mbeya, Kigoma, Lindi, Iringa, Kilimanjaro, Tanga na Njombe ili kuleta uwiano katika vichocheo vya maendeleo sehemu mbalimbali.

3. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji kuelekea kusini, katikati na kaskazini mwa Afrika kupitia Bandari zake na reli. Hapa nitaweka miondombinu ya uhakika ya reli za umeme na barabara za uhakika kwenye njia zote za mipaka ya kuingia na kutoka Tanzania.

4. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha Utalii na Uwekezaji Afrika. Kila kivutio cha utalii kinachopaswa kuwepo Tanzania kitawekwa.

Mwisho nitaivunja Wizara ya Ardhi na kuajiri vijana wapya ambao watafanya zoezi na kuipima na kuipanga nchi nzima.

Kabla ya yote haya nitaanza na Katiba Mpya.

Mungu nisaidie!
Kabisa CCM ni dudu baya sana!
 
Nitafanya mambo matano muhimu.

1. Kuufanya Arusha kuwa Mji wa Taasisi za Kimataifa Afrika ambapo Taasisi zote za kimataifa zitapewa maeneo ya kujenga Ofisi zao na Makazi ya Wafanyakazi wao Arusha- Kupitia hili nina uhakika wa kuingiza fedha nyingi sana za kigeni pamoja na kutengeneza ajira za uhakika kwa Watanzania wengi sana.

2. Kuifanya Dar es Salaam kuwa Mji wa Biashara kweli na Dodoma Ofisi na Makazi ya Serikali tu. Kwenye hili kila kitu cha Kibiashara na maeneo makubwa mazuri ya starehe yatajengwa Dar.

Dodoma kutakuwa na Ofisi za Wizara, Ikulu, Bunge na Mahakama tu. Hakuna taasisi itakuwa na Ofisi Dodoma bali Ofisi za Taasisi zitagawanywa mikoa mbalimbali ikiwemo Dar, Mwanza, Mbeya, Kigoma, Lindi, Iringa, Kilimanjaro, Tanga na Njombe ili kuleta uwiano katika vichocheo vya maendeleo sehemu mbalimbali.

3. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji kuelekea kusini, katikati na kaskazini mwa Afrika kupitia Bandari zake na reli. Hapa nitaweka miondombinu ya uhakika ya reli za umeme na barabara za uhakika kwenye njia zote za mipaka ya kuingia na kutoka Tanzania.

4. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha Utalii na Uwekezaji Afrika. Kila kivutio cha utalii kinachopaswa kuwepo Tanzania kitawekwa.

Mwisho nitaivunja Wizara ya Ardhi na kuajiri vijana wapya ambao watafanya zoezi na kuipima na kuipanga nchi nzima.

Kabla ya yote haya nitaanza na Katiba Mpya.

Mungu nisaidie!
Chukua urais wa Tanzania tuone utakavyotuwahisha
 
Back
Top Bottom