Nipeni Urais wa Tanzania muone namna gani CCM wametuchelewesha!

Nipeni Urais wa Tanzania muone namna gani CCM wametuchelewesha!

Nitafanya mambo matano muhimu.

1. Kuufanya Arusha kuwa Mji wa Taasisi za Kimataifa Afrika ambapo Taasisi zote za kimataifa zitapewa maeneo ya kujenga Ofisi zao na Makazi ya Wafanyakazi wao Arusha- Kupitia hili nina uhakika wa kuingiza fedha nyingi sana za kigeni pamoja na kutengeneza ajira za uhakika kwa Watanzania wengi sana.

2. Kuifanya Dar es Salaam kuwa Mji wa Biashara kweli na Dodoma Ofisi na Makazi ya Serikali tu. Kwenye hili kila kitu cha Kibiashara na maeneo makubwa mazuri ya starehe yatajengwa Dar.

Dodoma kutakuwa na Ofisi za Wizara, Ikulu, Bunge na Mahakama tu. Hakuna taasisi itakuwa na Ofisi Dodoma bali Ofisi za Taasisi zitagawanywa mikoa mbalimbali ikiwemo Dar, Mwanza, Mbeya, Kigoma, Lindi, Iringa, Kilimanjaro, Tanga na Njombe ili kuleta uwiano katika vichocheo vya maendeleo sehemu mbalimbali.

3. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji kuelekea kusini, katikati na kaskazini mwa Afrika kupitia Bandari zake na reli. Hapa nitaweka miondombinu ya uhakika ya reli za umeme na barabara za uhakika kwenye njia zote za mipaka ya kuingia na kutoka Tanzania.

4. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha Utalii na Uwekezaji Afrika. Kila kivutio cha utalii kinachopaswa kuwepo Tanzania kitawekwa.

Mwisho nitaivunja Wizara ya Ardhi na kuajiri vijana wapya ambao watafanya zoezi na kuipima na kuipanga nchi nzima.

Kabla ya yote haya nitaanza na Katiba Mpya.

Mungu nisaidie!
Unaomba Urais apewe tapeli la JF? Kweli?
 
Hatukupi, hakuna sehemu uliyosema utawasaidia vipi wananchi wawe na kipato kizuri na uwakika wa kupata chakula na huduma nzuri za afya, ili upate nguvu kazi za kufanya hayo yote kwa kuwatumia hao wananchi???
 
Kichwa Cha Thread Oops
Muulize Wankyo Ramadhan Nyegese
Alisema Naomba Rais SSH Alipe Nafasi Ya IJP Kwa Muda Mfupi Ninyooshee Nchi Halafu Ampe Cheo Mtu Mwingine


Tanzania Nzima Inajua Kilichompata Mpaka Kesho Anasikiliza Cheo Bombani Tu, Alipata Msukosuko Ndani Ya Geshi Hana Hamu
Nyota Zimekuwa Nzito Mabegani Mwake
 
Hatukupi, hakuna sehemu uliyosema utawasaidia vipi wananchi wawe na kipato kizuri na uwakika wa kupata chakula na huduma nzuri za afya, ili upate nguvu kazi za kufanya hayo yote kwa kuwatumia hao wananchi???
Kwa akili zako hayo yote unadhani hayatainua kipato cha mwananchi? Au sera zimeenda sana shule maana mmezoea kupewa sera za kudanganywa danganywa na maneno mepesi mepesi tu!
 
Kwa akili zako hayo yote unadhani hayatainua kipato cha mwananchi? Au sera zimeenda sana shule maana mmezoea kupewa sera za kudanganywa danganywa na maneno mepesi mepesi tu!
Kwahiyo watakula hayo majengo?? Wewe hata balozi wa nyumba kumi hatukupi, uvivu tu wa kulima..!
 
Unatumia kile ulichobarikiwa kujenga na Kupata vile ambacho hauna.

Tanzania bado hatujafika uchumi wa kujenga Majengo kama ya Dubai. Haya yaliopo tuu hakuna wakaaji.

Haya masoko ya Kisiasa yaliyojengwa Kwa mamilioni ya pesa unajua yanaingiza faida Kiasi gani?

Nenda Soko la Morogoro Mjini, pale, njoo hapa Magomeni, nenda pale Tandale,

Boresha kwa kiwango kikubwa maeneo yanayogusa watu wengi kwa wakati Mmoja, ili kuboresha maisha yao.

Hiyo itakusaidia kuinua uchumi wa nchi na kujenga miundombinu kama ya Dubai.

Mradi wa Bwawa la umeme ✅
Mradi wa SGR ✅
ATCL ✅½

Huwezi tumia mabilioni ya pesa kuanzisha mradi utakaotumia mabilioni Mengi ya pesa kuuendesha wakati Watumiaji WA huo mradi ni 5%
Nani kakwambia nahitaji kufanya hayo yote kwa fedha za Serikali?

Au huelewi maana ya PPP anayohubiri kila siku Kafulila?
 
Nitafanya mambo matano muhimu.

1. Kuufanya Arusha kuwa Mji wa Taasisi za Kimataifa Afrika ambapo Taasisi zote za kimataifa zitapewa maeneo ya kujenga Ofisi zao na Makazi ya Wafanyakazi wao Arusha- Kupitia hili nina uhakika wa kuingiza fedha nyingi sana za kigeni pamoja na kutengeneza ajira za uhakika kwa Watanzania wengi sana.

2. Kuifanya Dar es Salaam kuwa Mji wa Biashara kweli na Dodoma Ofisi na Makazi ya Serikali tu. Kwenye hili kila kitu cha Kibiashara na maeneo makubwa mazuri ya starehe yatajengwa Dar.

Dodoma kutakuwa na Ofisi za Wizara, Ikulu, Bunge na Mahakama tu. Hakuna taasisi itakuwa na Ofisi Dodoma bali Ofisi za Taasisi zitagawanywa mikoa mbalimbali ikiwemo Dar, Mwanza, Mbeya, Kigoma, Lindi, Iringa, Kilimanjaro, Tanga na Njombe ili kuleta uwiano katika vichocheo vya maendeleo sehemu mbalimbali.

3. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji kuelekea kusini, katikati na kaskazini mwa Afrika kupitia Bandari zake na reli. Hapa nitaweka miondombinu ya uhakika ya reli za umeme na barabara za uhakika kwenye njia zote za mipaka ya kuingia na kutoka Tanzania.

4. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha Utalii na Uwekezaji Afrika. Kila kivutio cha utalii kinachopaswa kuwepo Tanzania kitawekwa.

Mwisho nitaivunja Wizara ya Ardhi na kuajiri vijana wapya ambao watafanya zoezi na kuipima na kuipanga nchi nzima.

Kabla ya yote haya nitaanza na Katiba Mpya.

Mungu nisaidie!
Hujui dunia, mpaka apo ,umeisha kuwa kama jiwe,
 
Kwahiyo watakula hayo majengo?? Wewe hata balozi wa nyumba kumi hatukupi, uvivu tu wa kulima..!
Mmezoeshwa vitu vyepesi sana ndo mana mambo makubwa namna hii huwezi kuyaelewa.

Ni tatizo la ufahamu na upeo tu!
 
Hujui dunia, mpaka apo ,umeisha kuwa kama jiwe,
Nilivyozunguka Duniani haya ndo mambo ya muhimu niliyojifunza yaliyozifanya nchi tulizokuwa nazo sawa kiuchumi miaka ya 60 kutuzidi kwa kasi ya radi hadi saivi zinatupa misaada
 
Nitafanya mambo matano muhimu.

1. Kuufanya Arusha kuwa Mji wa Taasisi za Kimataifa Afrika ambapo Taasisi zote za kimataifa zitapewa maeneo ya kujenga Ofisi zao na Makazi ya Wafanyakazi wao Arusha- Kupitia hili nina uhakika wa kuingiza fedha nyingi sana za kigeni pamoja na kutengeneza ajira za uhakika kwa Watanzania wengi sana.

2. Kuifanya Dar es Salaam kuwa Mji wa Biashara kweli na Dodoma Ofisi na Makazi ya Serikali tu. Kwenye hili kila kitu cha Kibiashara na maeneo makubwa mazuri ya starehe yatajengwa Dar.

Dodoma kutakuwa na Ofisi za Wizara, Ikulu, Bunge na Mahakama tu. Hakuna taasisi itakuwa na Ofisi Dodoma bali Ofisi za Taasisi zitagawanywa mikoa mbalimbali ikiwemo Dar, Mwanza, Mbeya, Kigoma, Lindi, Iringa, Kilimanjaro, Tanga na Njombe ili kuleta uwiano katika vichocheo vya maendeleo sehemu mbalimbali.

3. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji kuelekea kusini, katikati na kaskazini mwa Afrika kupitia Bandari zake na reli. Hapa nitaweka miondombinu ya uhakika ya reli za umeme na barabara za uhakika kwenye njia zote za mipaka ya kuingia na kutoka Tanzania.

4. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha Utalii na Uwekezaji Afrika. Kila kivutio cha utalii kinachopaswa kuwepo Tanzania kitawekwa.

Mwisho nitaivunja Wizara ya Ardhi na kuajiri vijana wapya ambao watafanya zoezi na kuipima na kuipanga nchi nzima.

Kabla ya yote haya nitaanza na Katiba Mpya.

Mungu nisaidie!
Pesa ya kuendeshea hayo mambo Yote utaitolea wapi au utataifisha RASILIMALI ZA NCHI nijibu hapo ukijibu nitapata mwanga
 
Mmezoeshwa vitu vyepesi sana ndo mana mambo makubwa namna hii huwezi kuyaelewa.

Ni tatizo la ufahamu na upeo tu!
Uongozi sio karama yako ndio nyie mtaishia kuvamia makamu wenu usiku na pajama 😹
 
Nitafanya mambo matano muhimu.

1. Kuufanya Arusha kuwa Mji wa Taasisi za Kimataifa Afrika ambapo Taasisi zote za kimataifa zitapewa maeneo ya kujenga Ofisi zao na Makazi ya Wafanyakazi wao Arusha- Kupitia hili nina uhakika wa kuingiza fedha nyingi sana za kigeni pamoja na kutengeneza ajira za uhakika kwa Watanzania wengi sana.

2. Kuifanya Dar es Salaam kuwa Mji wa Biashara kweli na Dodoma Ofisi na Makazi ya Serikali tu. Kwenye hili kila kitu cha Kibiashara na maeneo makubwa mazuri ya starehe yatajengwa Dar.

Dodoma kutakuwa na Ofisi za Wizara, Ikulu, Bunge na Mahakama tu. Hakuna taasisi itakuwa na Ofisi Dodoma bali Ofisi za Taasisi zitagawanywa mikoa mbalimbali ikiwemo Dar, Mwanza, Mbeya, Kigoma, Lindi, Iringa, Kilimanjaro, Tanga na Njombe ili kuleta uwiano katika vichocheo vya maendeleo sehemu mbalimbali.

3. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji kuelekea kusini, katikati na kaskazini mwa Afrika kupitia Bandari zake na reli. Hapa nitaweka miondombinu ya uhakika ya reli za umeme na barabara za uhakika kwenye njia zote za mipaka ya kuingia na kutoka Tanzania.

4. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha Utalii na Uwekezaji Afrika. Kila kivutio cha utalii kinachopaswa kuwepo Tanzania kitawekwa.

Mwisho nitaivunja Wizara ya Ardhi na kuajiri vijana wapya ambao watafanya zoezi na kuipima na kuipanga nchi nzima.

Kabla ya yote haya nitaanza na Katiba Mpya.

Mungu nisaidie!
Cha msingi muda ukifika msitoe tu fomu ya mgombea mmoja.
 
Back
Top Bottom