Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #21
Uzoefu naonesha nchi zinachaguaga maeneo machache ili kujenga uchumi wa maeneo mengine.Itakuaje kila rais akataka kuendeleza hiyo mikoa tu
Jaribuni kufikiria na vijijini kupaendeleza .
Ile Sera ya umeme wa elfu 27 ilikuwa nzuri Sana .
DSM inahitaji kurekebisha na kujengwa barabara za kupita juu na chini, kupunguza msongamono .
Ila ukiwa rais hakikisha mnaboresha na vijijini pia na sio DSM pekee.
Nimeanza mapema sanaHee! Kwani kampeni zimeanza?
Mkuu mawasiliano ni muhimu kama zilivyo wizara au taasisi za maji,afya,makazi, kilimo nk.Mtoa mada! Unajadili jambo la msingi ila wengi watakubeza
Hizo njia ndefu ndo kila siku zimetufanya kuwa hapa tulipo na badala yake maataifa yaliyoweka vipaumbele kwenye masuala kadhaa saivi yametuzidi hadi tunajiuliza kila siku tatizo nini?Uchumi wa nchi Maskini utainuliwa kwa mambo Makuu yafuatayo;
1. Mapinduzi ya Kilimo
2. Viwanda Vidogovidogo hasa vya kuchakata na kusindika chakula na malighafi za mazao.
3. Miundombinu ya Maji kila Nyumba nchi nzima.
4. Miundombinu ya Nishati ya Umeme kila Nyumba nchi nzima.
5. Barabara Bora nchi nzima.
6. Elimu kwa vitendo kwa vijana
7. Uvamizi Kwa nchi nyingine ili kuuza bidhaa zetu kwenye nchi hizo na Kusaidia vijana wetu.
8. Kurasmisha Kazi ambazo sio rasmi na kuwaweka watu wote kwenye mfumo wa ulipaji Kodi.
9. Kuboresha Sera na Sheria za kikodi ili walipaji wawe wengi. Kodi ndogo walipaji wengi.
10. Kuweka mazingira mazuri ya utalii.
Falme ya Kiarabu wangejikita kwenye falme saba za ndani wangefika pale unapowaona leo? Hadi mnawahonga dada zetu kuwapeleka Dubai wakashangae?
Mpaka hapo umeshafeli yaani uanze kutawanya taasisi za Umma Kila Mkoa ,wewe utakuwa hazikutoshi.Nitafanya mambo matano muhimu.
1. Kuufanya Arusha kuwa Mji wa Taasisi za Kimataifa Afrika ambapo Taasisi zote za kimataifa zitapewa maeneo ya kujenga Ofisi zao na Makazi ya Wafanyakazi wao Arusha- Kupitia hili nina uhakika wa kuingiza fedha nyingi sana za kigeni pamoja na kutengeneza ajira za uhakika kwa Watanzania wengi sana.
2. Kuifanya Dar es Salaam kuwa Mji wa Biashara kweli na Dodoma Ofisi na Makazi ya Serikali tu. Kwenye hili kila kitu cha Kibiashara na maeneo makubwa mazuri ya starehe yatajengwa Dar.
Dodoma kutakuwa na Ofisi za Wizara, Ikulu, Bunge na Mahakama tu. Hakuna taasisi itakuwa na Ofisi Dodoma bali Ofisi za Taasisi zitagawanywa mikoa mbalimbali ikiwemo Dar, Mwanza, Mbeya, Kigoma, Lindi, Iringa, Kilimanjaro, Tanga na Njombe ili kuleta uwiano katika vichocheo vya maendeleo sehemu mbalimbali.
3. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji kuelekea kusini, katikati na kaskazini mwa Afrika kupitia Bandari zake na reli. Hapa nitaweka miondombinu ya uhakika ya reli za umeme na barabara za uhakika kwenye njia zote za mipaka ya kuingia na kutoka Tanzania.
4. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha Utalii na Uwekezaji Afrika. Kila kivutio cha utalii kinachopaswa kuwepo Tanzania kitawekwa.
Mwisho nitaivunja Wizara ya Ardhi na kuajiri vijana wapya ambao watafanya zoezi na kuipima na kuipanga nchi nzima.
Kabla ya yote haya nitaanza na Katiba Mpya.
Mungu nisaidie!
Sahihi kabisa.Uchumi wa nchi Maskini utainuliwa kwa mambo Makuu yafuatayo;
1. Mapinduzi ya Kilimo
2. Viwanda Vidogovidogo hasa vya kuchakata na kusindika chakula na malighafi za mazao.
3. Miundombinu ya Maji kila Nyumba nchi nzima.
4. Miundombinu ya Nishati ya Umeme kila Nyumba nchi nzima.
5. Barabara Bora nchi nzima.
6. Elimu kwa vitendo kwa vijana
7. Uvamizi Kwa nchi nyingine ili kuuza bidhaa zetu kwenye nchi hizo na Kusaidia vijana wetu.
8. Kurasmisha Kazi ambazo sio rasmi na kuwaweka watu wote kwenye mfumo wa ulipaji Kodi.
9. Kuboresha Sera na Sheria za kikodi ili walipaji wawe wengi. Kodi ndogo walipaji wengi.
10. Kuweka mazingira mazuri ya utalii.
Mji Mkuu hautaondoka Dodoma. Ila yatakuwa makazi ya Serikali yaani Ikulu, Wizara, Bunge, Mahakama na Benki Kuu tu.Mpaka hapo umeshafeli yaani uanze kutawanya taasisi za Umma Kila Mkoa ,wewe utakuwa hazikutoshi.
Mji Mkuu ni Dom na ni uamzi sahihi kabisa.
Harafu hatuhitaji Kiongozi wa kuanza upya Kila siku,tuna Dira hiyo ndio ya kufanyia kazi.
Sahihi kabisa.
Mtu anakuna anaanza hadithi za kujenga Jenga. Badala kwanza kucontrol Expenditure. Hii nchi Hela inazo nyingi ila misururu ya matumizi isiyo na kichwa Wala miguu ndio inatuleta kwenye Vicious Cycle ya umasikini
Dubai bila kujenga wangekuwa kitovu cha utalii duniani?Tatizo watu wengi wanatatua matatizo ambayo sio ya msingi kwa wananchi
Dubai bila kujenga wangekuwa kitovu cha utalii duniani?
Basi wasingeijenga vile kuwa sehemu ya utalii na leisure!Uchumi wa Dubai unategemea Mafuta.
Basi wasingeijenga vile kuwa sehemu ya utalii na leisure!
Kabisa CCM ni dudu baya sana!Nitafanya mambo matano muhimu.
1. Kuufanya Arusha kuwa Mji wa Taasisi za Kimataifa Afrika ambapo Taasisi zote za kimataifa zitapewa maeneo ya kujenga Ofisi zao na Makazi ya Wafanyakazi wao Arusha- Kupitia hili nina uhakika wa kuingiza fedha nyingi sana za kigeni pamoja na kutengeneza ajira za uhakika kwa Watanzania wengi sana.
2. Kuifanya Dar es Salaam kuwa Mji wa Biashara kweli na Dodoma Ofisi na Makazi ya Serikali tu. Kwenye hili kila kitu cha Kibiashara na maeneo makubwa mazuri ya starehe yatajengwa Dar.
Dodoma kutakuwa na Ofisi za Wizara, Ikulu, Bunge na Mahakama tu. Hakuna taasisi itakuwa na Ofisi Dodoma bali Ofisi za Taasisi zitagawanywa mikoa mbalimbali ikiwemo Dar, Mwanza, Mbeya, Kigoma, Lindi, Iringa, Kilimanjaro, Tanga na Njombe ili kuleta uwiano katika vichocheo vya maendeleo sehemu mbalimbali.
3. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji kuelekea kusini, katikati na kaskazini mwa Afrika kupitia Bandari zake na reli. Hapa nitaweka miondombinu ya uhakika ya reli za umeme na barabara za uhakika kwenye njia zote za mipaka ya kuingia na kutoka Tanzania.
4. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha Utalii na Uwekezaji Afrika. Kila kivutio cha utalii kinachopaswa kuwepo Tanzania kitawekwa.
Mwisho nitaivunja Wizara ya Ardhi na kuajiri vijana wapya ambao watafanya zoezi na kuipima na kuipanga nchi nzima.
Kabla ya yote haya nitaanza na Katiba Mpya.
Mungu nisaidie!
Chukua urais wa Tanzania tuone utakavyotuwahishaNitafanya mambo matano muhimu.
1. Kuufanya Arusha kuwa Mji wa Taasisi za Kimataifa Afrika ambapo Taasisi zote za kimataifa zitapewa maeneo ya kujenga Ofisi zao na Makazi ya Wafanyakazi wao Arusha- Kupitia hili nina uhakika wa kuingiza fedha nyingi sana za kigeni pamoja na kutengeneza ajira za uhakika kwa Watanzania wengi sana.
2. Kuifanya Dar es Salaam kuwa Mji wa Biashara kweli na Dodoma Ofisi na Makazi ya Serikali tu. Kwenye hili kila kitu cha Kibiashara na maeneo makubwa mazuri ya starehe yatajengwa Dar.
Dodoma kutakuwa na Ofisi za Wizara, Ikulu, Bunge na Mahakama tu. Hakuna taasisi itakuwa na Ofisi Dodoma bali Ofisi za Taasisi zitagawanywa mikoa mbalimbali ikiwemo Dar, Mwanza, Mbeya, Kigoma, Lindi, Iringa, Kilimanjaro, Tanga na Njombe ili kuleta uwiano katika vichocheo vya maendeleo sehemu mbalimbali.
3. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji kuelekea kusini, katikati na kaskazini mwa Afrika kupitia Bandari zake na reli. Hapa nitaweka miondombinu ya uhakika ya reli za umeme na barabara za uhakika kwenye njia zote za mipaka ya kuingia na kutoka Tanzania.
4. Kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha Utalii na Uwekezaji Afrika. Kila kivutio cha utalii kinachopaswa kuwepo Tanzania kitawekwa.
Mwisho nitaivunja Wizara ya Ardhi na kuajiri vijana wapya ambao watafanya zoezi na kuipima na kuipanga nchi nzima.
Kabla ya yote haya nitaanza na Katiba Mpya.
Mungu nisaidie!