Nipeni ushauri: Mke wangu ameninunia kwa miezi saba sasa. Navumilia tu hata sijui mwisho wake

Hujapata wa kufanana nae, vunja hiyo ndoa na huyo sio chaguo sahihi!
Wa kufanana nae ndio huyo anaegongwa nje miezi 7 sijachoviya ningeanzisha timbwili tatizo vijana wanaoa mijamke iliyowazidi umri inaowaona km watoto mwanamke hakikisha umemzidi umri wa kutosha gepu liwe hata miaka 10 angalau sasa hii ya kupishana miaka 2/3 ni mbaya mnaonana wote mna mamlaka wote wakubwa hakuna wa kumsikiliza mwenzie

Mimi namzidi zaidi ya miaka 11 but still anasumbua kingese ila najua jinsi ya kumtuliza simpi anachotaka akitaka anarudi kwenye mstari watoto inabidi wawahi shule usiwacheleweshe watoto shule

Huyo umekosea sana miaka 4 ilibidi tayari awe na injini 4 zinazomsumbua sumbua huyu kanya pale huyu kakojoa huyu anataka uji huyu anabomoa remote yule kaangusha TV yule kakojolea makochi yule pale kabamizana wenzie huko nje kaumizwa yule kaangukiwa na meza yule kaoga rangi yaan inabidi usumbufu usumbufu wa watoto uwe mwingi mwingi halafu kidume ukija unaweka mambo sawa lazima akutazame usoni
 
Kwa kifupi alikubali kuolewa na wewe sio kwasababu alikupenda ilikuwa tu aolewe, inaonekana kuna aliyenpenda zaidi na huyo ndie anamtia kiburi, so kuna anaempenda zaidi yako, chakufanya piga chini endelea na maisha yako, atakutegeshea mtoto wa pili baada ya hapo atakusema mazima
 
Ilibidi ampige mimba mfululizo
 
Fact
 
Hongera umetambua thamani ya ndoa yako ndomana upo hapa kuomba ushauri wenzio hawalioni hilo,me kuomba msamaha/kutambua makosa yake sio kuwa dhaifu bali ni kuwa matured,ni maombi yangu mkeo afungue moyo wake na arudishe mapenzi upya mlee familia yenu kwenye misingi imara
 
Mkuu usipovunja hiyo ndoa itakuua! Tafuta mwanamke mwingine anza naye upya halafu hayo mengine yatajitatua taratibu. Jambo la msingi ni kuhakikisha michongo yako inaenda na usikose kusimama juu kiuchumi muda wote. Kama kuna mali zitapotea acha zipotee. Kuhusu watoto wewe nimesema hakikisha uchumi wako uko imara,watoto wataenda sawa tu. Kwani jamaa zetu waliokufa watoto wao hawataishi?

Usiwe soft kiasi hicho mkuu,utakufa soon kwa dipression!
 

Unakwama sana, Mwanamke baada ya kumkosea Mungu, Mungu alisema tamaa yake itakuwa kwa mwanaume na mwanaume atamtawala!

Sasa mwanamke utawaliwa na mtu anayemtamani, na kwa maana hiyo yupo mwanamme anayemtawala mke wako maana anamtamani!

Puuza hiyo taka taka itakuja kukuua, una mtoto mmoja tu sio kesi sio issue, tafuta mchepuko huko, pangishia nyumba, mle taratibu!

Ukimpuuza huyo mwanamke for one week, usiongee, usile chakula chale, rudi Saa 7 usiku, usigombane, usimjibu chochote, ataanza lia lia!

Mnawapa sana promo hawa viumbe, hawana maana yeyote mkiwapuuza, yanatesa sana hayo matakata yasipokuwa na nidhamu!
 
Hajisikii maana yake kuna sehemu anafurahi na kujisikia
 
Unataka talaka uende wapi???
 
Noma sana na kiufupi hayo mambo ni mazito kwakoo huwezi fanya chochote.
 
Viumbe wa hovyoo sana ukiwazingatia aisee utapotezaa vingi.. Jamaa mtoto mmoja sio kesi sanaa kuhusu mali asamehee tuu japo avumilie maana hawa Nyoka hashindwi kumleta mwanaume ndani ya nyumba mliojenga wote.
 
Fukuza hicho kimeo wewe, miezi 7 huyo anagongwa vizuri tu akirudi ananuna.
Hizo mbinu tu, mwanaume huwezi kutoa maamuzi huku unagongewa humo ndani.
Mali kitu gani.
Peleka kwao huko kabisa na aseme anachotaka hukohuko aendelee na life yake.
Mtoto atakuja tu au piga mwingine mimba sahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…