Rule L
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 1,846
- 2,754
Mtu anahitaji ban huyo
Unasema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasema?
HUNA AKILI, KWANI UTO WAMEVUKA?Mod wanasubiri nini?
SIO KWA SASA KUVUKA BADO, SUBIRINI MECHI YENU YA MWISHOMtu anahitaji ban huyo
Uziwako umetunzwa subiri gemu ya dar na Mungu akipenda tutashinda Ili upatiwe haki Yako.Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Mimi shabiki wa Simba ila Huwa sipendi sana wanaume wanaopenda kutoa viapo na ahadi za kipumbavu kama hizi. Ni ujinga mtupu na siyo football.
Kwangu Mimi naiona possibility ya Yanga kuvuka makundi ni 60%
Unaleta viapo vya kijinga kama vile siyo Mwanaume bhana
Kama utaendelea kutoa mawazo ya kuuheshimu mpira utakuwa umetoka kwenye mashabiki maandazi.
Mimi ndie daktari wake, kwa hali hii hamna kazi tumefanya, nitashauriana na jopo letu huyu kijana aongezewe dozi.Muda mwengine unaweza ukaanza kubishana na mtu kumbe madaktari wake wamemuachia simu waone mgonjwa wao zimerudi ama bado dozi ikung'utwe..!
Ushindi wa jana wa yanga makolo wanaumia sanAMimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Hivi unajua mpigwa na mpiga miti wote wanaitwa mashoga?Naomba adhabu ya kumpiga miti, Mimi ndo niitoe
Naona haka kamtindo kanashika kasiMimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
🤣Mimi ndie daktari wake, kwa hali hii hamna kazi tumefanya, nitashauriana na jopo letu huyu kijana aongezewe dozi.
Mkuu wangu tukishinda nitaomba huyu jamaa usimcheleweshe hata 😂😂😂 yaani ile muda mwamuzi anapiga pyee pyee pyeeee we huku unamalizia kazi yako Mkuu.Unasema?
Nakukumbusha kuwa bado ninafuatilia ahadi yako hii; zimebaki siku saba tu ule banMimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
😀😃😃😃😃😃Tarehe 18 huu ndio uzi utakaotrend kwa siku hiyo. 😃😃
Tutajaa hapa hadi ushangae mleta uzi.
Saa hii Mleta uzi ameshaanza kukosa hamu na uzi wake huko aliko. 😂😂😀😃😃😃😃😃
Umesahau Mkuu ungemtag kabisa. 😂😂Imebakia siku Moja mwanetu 😀 😃 😃 😃 😃