Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Vingi alivyosema ni uongo tatizo lake haijui mtwara na hajatembea, eti anasema hadi huduma za kifedha ni shida!. Huyu alikuja na dar es salaam yake kichwani
 
😂😂😂 Kwanini alikuwa hawapendi wachagga walimfanyaniii? Ila ndo anachukia mpaka ukungu .... Chuki promax 😂
 
Vingi alivyosema ni uongo tatizo lake haijui mtwara na hajatembea, eti anasema hadi huduma za kifedha ni shida!. Huyu alikuja na dar es salaam yake kichwani
Nyamaza.. kwanza lako hulijui en your supporting nonsense,,get out my site
 
Mimi naungana na shemeji kusema “utazoea tu”. Itakuchukua muda ila kuna siku utashangaa umeshapazoea kabisa.
atazoea tu. mbona mpapura, mikindan maji yanatoka vizur tu. na viwanja gan unataka ? mbona kwa lipaje pako vizur na sijajua we umekaa wap shangani beach maj yanatoka vizur. kushinda njaa mtwara uongo tena wa mchana. Manda ( wali) mtwara bwana wewewee bhaa.umejaa kila mahali. kama labda huna hela kama unayo nenda police mess beach ukale pweza
 
Nyamaza.. kwanza lako hulijui en your supporting nonsense,,get out my site
Mimi nipo mtwara, acha kufanganya watu, unajifanya kushangaa stendi ya mkanaled ila hushangai jalala la mbagara, hiyo saa tatu unavyosema barabara I akuwe nyeupe wapi huko? Wahedi wewe
 
Maji yanatoka ila ni ya shida sasa unabisha nini mkuu!! Maji yenyewe yamejaa chunvi koo!
Sometime unarudi kazini usiku like saa 3 kama huna cha kupika ndani huwezi pata chakula hata cha kununua..
 
Mimi nipo mtwara, acha kufanganya watu, unajifanya kushangaa stendi ya mkanaled ila hushangai jalala la mbagara, hiyo saa tatu unavyosema barabara I akuwe nyeupe wapi huko? Wahedi wewe
Ooh please 😄 unatetea kwenu am sorry
 
Mimi nipo mtwara, acha kufanganya watu, unajifanya kushangaa stendi ya mkanaled ila hushangai jalala la mbagara, hiyo saa tatu unavyosema barabara I akuwe nyeupe wapi huko? Wahedi wewe
Mkuu mtwara ni pazuri kuliko Mbagara au ni jalala tu?
 
Sifa mojawapo ya binadamu ni kuwa na uwezo wa kuzoea mazingira, Just wait and you will adapt to your new surroundings
 
huyu aki enda shinyanga ata pigana 😆🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…