Mhhhhhh, labda useme kigoma mpaka bujumbura ndo kuna umbali ila kigoma - manyovu mpakana na Burundi mbona karibu sanaHapana, Kigoma haipo Burundi, kutoka Kigoma hadi Burundi ni karibu km 230, usafiri wa gari unachukua karibu masaa manne.
Muhange na Muhange juu ni vijiji viwili vilivyoko takriban kilometa 46 magharibi mwa mji wa Kakonko mkoani Kigoma, hapo Muhambwe ndio mpakani na Burundi ambako katika kipindi cha miaka mingi kumekuwa na soko linalowavutia wafanya biashara kutoka Burundi na Tanzania.
View attachment 1988429
Kijiji cha Muhambwe, mpakani
Si kweli, Wala wamanyema hawawezi kujifanya ni Wakongo labda huyo mmanyema awe ni mtu aliyewahi kuishi Congo na anakifahamu Kicongo. Kuhusu Khalifa Hamisi bado sijapata mtririko wa nasaba yake ilivyo.Je ni kweli kuwa wamanyema wakija Dar hujifanya wakongo na wakienda Kigoma hujifanya watu wa pwani? Je ni kweli kuwa Khalifa Hamis ni Mrundi anayetumia uislam kuishi Tanzania?
Umeshazungumzia uchawi nasio zindiko. Maana uchawi huo hata kama ni zindiko utakufanya uwe kwenye orodha ya wachawi na kufanya vitu vingine vya kumkufuru MUNGU.Ulinzi Kwa mil 10?.
Nazungumzia kutokea Kigoma MjiniMhhhhhh, labda useme kigoma mpaka bujumbura ndo kuna umbali ila kigoma - manyovu mpakana na Burundi mbona karibu sana
Wilaya nyingi za kigoma ni wakristo,waislam wapo ujiji na kigoma mjini zaidiMkoa wa Kigoma asilimia kubwa ni dini ya Kiisilamu, haswa kwa mijini
Kwanini wenyeji wakigoma wengi ni wafupi na wamekomaa mtu ana miaka40 ila anaonekana kama miaka 28Mwitongo hotel, Kigoma, Tanzania
View attachment 1988335
Karibuni Kigoma,
Mkoa wa Kigoma uko magharibi mwa. Umepakana na Burundi na Mkoa wa Kagera upande wa Kaskazini, mikoa ya Shinyanga na Tabora upande wa mashariki na Mkoa wa Rukwa upande wa kusini. Magharibi umepakana na Ziwa Tanganyika penye mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
View attachment 1988349
Uliza chochote kuhusu Kigoma, utajibiwa.
Hapa ndipo mnapo fail wabongo mnataka kumjua mtu in detail mna ukabila saana!!Je ni kweli kuwa wamanyema wakija Dar hujifanya wakongo na wakienda Kigoma hujifanya watu wa pwani? Je ni kweli kuwa Khalifa Hamis ni Mrundi anayetumia uislam kuishi Tanzania?
Ahsante, nilikuwa silifahamu hiloWilaya nyingi za kigoma ni wakristo,waislam wapo ujiji na kigoma mjini zaidi
Sio wote, ni baadhi ya watu kutokana na maeneneo husika au familia zao zilivyo, Kwa mfano wapo waha ni wafupi na weusi na pia wapo waha ni warefu, na hivyo hivyo kuna wamanyema wafupi weusi, na pia wapo warefu weusi.Kwanini wenyeji wakigoma wengi ni wafupi na wamekomaa mtu ana miaka40 ila anaonekana kama miaka 28
Wazungu wanapatikana kwenye mashirika mbalimbali ya kutoa misaada ukiwa huko unaweza kuwapata, lakini waarabu wanapatikana UjijiVipi madem wa kizungu na kiarabu wanapatikana wapi kwa kigoma?
kwanini huko ujiji ndo kunaongoza kwa uchawi?Wilaya nyingi za kigoma ni wakristo,waislam wapo ujiji na kigoma mjini zaidi
Hapana, hakuna uhatari wowote kwasababu panafikika na watu wanaishi, hakuna wanyama wakali kwamba wanaweza kuleta hatari yoyote. Pako vizuri panafika hakuna hatari yoyoteNasikia Ujiji na mwandiga ni sehemu hatari sana,,,ni kweli?
Hayo mashirika yako wapi? Ujiji auWazungu wanapatikana kwenye mashirika mbalimbali ya kutoa misaada ukiwa huko unaweza kuwapata, lakini waarabu wanapatikana Ujiji
watu wanasema kule uchawi ni sawa na mziki...ni part of lifeHapana, hakuna uhatari wowote kwasababu panafikika na watu wanaishi, hakuna wanyama wakali kwamba wanaweza kuleta hatari yoyote. Pako vizuri panafika hakuna hatari yoyote
Waarabu wa biashara ya utumwa walikaa sana pale,uchawi wa ujiji ni wa majini ya kiarabukwanini huko ujiji ndo kunaongoza kwa uchawi?
Kwasababu hawataki Dharaukwanini huko ujiji ndo kunaongoza kwa uchawi?
AlaaWaarabu wa biashara ya utumwa walikaa sana pale,uchawi wa ujiji ni wa majini ya kiarabu
Naskia ile reli ya kigoma watumwa walijengeshwa kwa mikono ni kweli?Waarabu wa biashara ya utumwa walikaa sana pale,uchawi wa ujiji ni wa majini ya kiarabu