Nipo tayari kuwekeana pesa na mtu anayebisha Lissu hatashinda. Anayebisha tuwekeane Laki tano tano

Nipo tayari kuwekeana pesa na mtu anayebisha Lissu hatashinda. Anayebisha tuwekeane Laki tano tano

Wakuu!

Retired FUSO Tlaatlaah
Ambaye yupo tayari aweke Laki mbili Mimi naweka Laki tano.
Lisu akishindwa unachukua Laki tano.
Akishinda nachukua hiyo Laki Mbili.

Aliyetayari kwa Mchezo aniambie tucheze. Mwisho tarehe 15

Nasubiri
Hiyo hela laki tano lofa wewe na maskini mkubwa huna nani abeti na maskini kama wewe

Huwezi lipa

Lisu hashindi
 
Wakuu!

Retired FUSO Tlaatlaah
Ambaye yupo tayari aweke Laki mbili Mimi naweka Laki tano.
Lisu akishindwa unachukua Laki tano.
Akishinda nachukua hiyo Laki Mbili.

Aliyetayari kwa Mchezo aniambie tucheze. Mwisho tarehe 15

Nasubiri
Naomba utaratibu wa kuweka hiyo hela na makabidhiano niko tayari Mtibeli
 
Wakuu!

Retired FUSO Tlaatlaah
Ambaye yupo tayari aweke Laki mbili Mimi naweka Laki tano.
Lisu akishindwa unachukua Laki tano.
Akishinda nachukua hiyo Laki Mbili.

Aliyetayari kwa Mchezo aniambie tucheze. Mwisho tarehe 15

Nasubiri
Namuunga mkono na nataraji atashinda ila nawaza expectations tulizonazo kwake huenda akashindwa kuzitimiza na hapo ndipo mtihani utakuwa mkubwa kwake plus lazima apate shida sana kutoka kwa serikali ya ccm.
 
Wakuu!

Retired FUSO Tlaatlaah
Ambaye yupo tayari aweke Laki mbili Mimi naweka Laki tano.
Lisu akishindwa unachukua Laki tano.
Akishinda nachukua hiyo Laki Mbili.

Aliyetayari kwa Mchezo aniambie tucheze. Mwisho tarehe 15

Nasubiri
sina haja kumdhulumu mwanachi na mTanzania yeyote kwa mambo ambayo ni bayana kabisa, kwmba huyo muungwana hachaguliki?

kwanini nikudhulumu pesa yako kiurahisi namna hiyo, pesa uloitafuta kwa jasho na ugumu mkubwa sana hasa katika kipindi hiki ambapo watoto wamefungua shule na wanahitaji mahitaji muhimu ya shule ikiwa ni pamoja na ada?

Infact,
kimaadili, viongozi wa wananchi haturuhusiwi kufanya michezo ya ubashiri au upatu.

sina haja kusisitiza jambo hili la wazi kabisa kwamba huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi hwezi kumshinda huyo mzalendo na mwamba wa kaskazini.

ni vizuri ukachukua hili kwasababu ni muhimu zaidi gentleman. :HAhaa:
 
Ambaye yupo tayari aweke Laki mbili Mimi naweka Laki tano.
Lisu akishindwa unachukua Laki tano.
Akishinda nachukua hiyo Laki Mbili.
Mkuu mtibeli utaliwa hela zako bure.

Kuna kalamu za maajabu (magic pens) zimeandaliwa na zitatumika kupigia kura. Hizi kalamu huwa zinafutika.

I know you know the consequences.
 
Back
Top Bottom