Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo hela laki tano lofa wewe na maskini mkubwa huna nani abeti na maskini kama wewe
Ili ubishi uwe WA hela
Naomba utaratibu wa kuweka hiyo hela na makabidhiano niko tayari Mtibeli
Namuunga mkono na nataraji atashinda ila nawaza expectations tulizonazo kwake huenda akashindwa kuzitimiza na hapo ndipo mtihani utakuwa mkubwa kwake plus lazima apate shida sana kutoka kwa serikali ya ccm.
sina haja kumdhulumu mwanachi na mTanzania yeyote kwa mambo ambayo ni bayana kabisa, kwmba huyo muungwana hachaguliki?

Sasa povu la nini weka hela na yeye aweke kama huna hela kaa pembeni siyo umfokee.Hiyo hela laki tano lofa wewe na maskini mkubwa huna nani abeti na maskini kama wewe
Huwezi lipa
Lisu hashindi
Mkuu mtibeli utaliwa hela zako bure.Ambaye yupo tayari aweke Laki mbili Mimi naweka Laki tano.
Lisu akishindwa unachukua Laki tano.
Akishinda nachukua hiyo Laki Mbili.
Duh!...mmeamua kuuweka uchaguzi wa Chadema kwenye mikeka ?
Hiyo hela laki tano lofa wewe na maskini mkubwa huna nani abeti na maskini kama wewe
Huwezi lipa
Lisu hashindi
Tumpe Mshana, mwite Mshana, tuma 500;000, na Mimi natuma!!!!