Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Wote leteni niwashikie msije kudhulumiana
Hawajitokezi mbona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote leteni niwashikie msije kudhulumiana
Hawana pesa, tufanye waeke laki lakiHawajitokezi mbona
Hawana pesa, tufanye waeke laki laki
huo ndo ubishi wenye mana , sio kidomodomo wazi
Hata mie huwa napendaga ubishi.wa ivi. Si una uhakika weka hela Sasa Mana hela ndio wewe acha kujiumiza kuongea ama kupiga kelele. Pia inaonyesha mtu Yuko committedhuo ndo ubishi wenye mana , sio kidomodomo wazi
Je'wakitoka draw ya gg?
Mbowe kama atashinda ni kwa bao la mkono, na atakigharimu chama
Bora lofa ambaye sio FISADI na mla RUSHWA.Hiyo hela laki tano lofa wewe na maskini mkubwa huna nani abeti na maskini kama wewe
hakuna pahala LISu nimesema hashindiHata mie huwa napendaga ubishi.wa ivi. Si una uhakika weka hela Sasa Mana hela ndio wewe acha kujiumiza kuongea ama kupiga kelele. Pia inaonyesha mtu Yuko committed
January hii tutaona mengi
Lissu akishinda kashinda na akishindwa kashinda
Niliomba tufanye hivyo Ila hukunujibu mpaka Sasa ,nahitaji utaratibu wa makabidhiano na pia vigezoHawajitokezi mbona