DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mzee wa no Malice to nobody nakupata
We kweli sister mkubwa, mi Hata age ya huko sijafikašš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kweli sister mkubwa, mi Hata age ya huko sijafikašš
Lakini Kama wadau walivyosema hapo juu ni Bora ungeipambinia kuiboresha hiyo Diploma if ur not employed but if ur employed unaweza rudia mtihani ili uje usome degree kupitia six so kuwa makini Sana na maamuzi yakoAmina Sana Father/Brother
Nina Mke na Mtoto mmoja MkuuUmeoa
QT huu ni mtihani wa kidato cha pili, mtu ambae amemaliza elimu ya msingi na hakuendelea secondary basi anasoma mwaka mmoja ( form 1 na form 2) kisha anasajiliwa kufanya huo mtihani.kwahiyo sasa hiyo 'QT and resitters' na ile 'PC' hua zinamaanisha nini
UmeelewekaNina fanya ujasiriamali kaka pia nilisoma DIPLOMA YA IT sema nataka kuboresha matokeo tuu wala Sina Kiherehere Cha Ajira kama wanavyowaza watu Wengi hapa.
35 December nitagonga 36yrs mkuu
Nimeitika mwanangu.Mzee shikamoo, hebu muelekeze huyu dogo wa kijiji Cha jirani yenušš¤
Natumai ata ufanyia kazi, maana utu uzima dawaš¤£š¤£.Nimeitika mwanangu.
Huyu dogo akitaka maelekezo mazuri, labda achukue pesa ya madaftari kama 40k aje hala Club Chiller ili nimshauri vizuri...š¤£
I mean no malice to nobodyMzee wa no Malice to nobody nakupata
Daaah! kama ameona elimu ndiyo itakayomtoa,arudie tu,kwani kuajiriwa endapo anataka kuajiriwa serikalini,mwisho ni miaka 45.Anayo nafasi,ana kitu.mkuu naomba Niku ulize swali, una taka urudie mtihani kwa sababu zipi?
šUboreshe matokeo tu.
šUji endeleze ki elimu
šAu Umeona elimu ndo njia pekee ya wewe kutoboa??
šIla 2008 mhhh, Miaka 13 Ime pita, hau jafika 40 kweliš¤š¤
šMimi mwenzio sijawai enda shule, but still nakomaa na mtaa.
Sio 13 ni 15mkuu naomba Niku ulize swali, una taka urudie mtihani kwa sababu zipi?
[emoji117]Uboreshe matokeo tu.
[emoji117]Uji endeleze ki elimu
[emoji117]Au Umeona elimu ndo njia pekee ya wewe kutoboa??
[emoji117]Ila 2008 mhhh, Miaka 13 Ime pita, hau jafika 40 kweli[emoji848][emoji855]
[emoji117]Mimi mwenzio sijawai enda shule, but still nakomaa na mtaa.
Barikiwa? Hiyo pole ni yako??Barikiwa sana
š³Barikiwa? Hiyo pole ni yako??