Nisaidieni kujua kwanini huyu kaka kaniganda kwa miaka minne

Si umeshasema hauko tayari kwa Ndoa Dadangu?

Sasa haya maswali kama Jamaa anamaanisha kukuoa unatuuliza ya nini? Au unataka kubadili msimamo wako?
 
Si umeshasema hauko tayari kwa Ndoa Dadangu?

Sasa haya maswali kama Jamaa anamaanisha kukuoa unatuuliza ya nini? Au unataka kubadili msimamo wako?
Naweza kukubali uamuzi ukawa sio sahihi na naweza kukataa.uamuzi ukawa si sahihi ndo maana nimekuja Jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…