Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
- Thread starter
-
- #121
Sio eti tutapendana mbele ya safari😅Ni either unampenda au humpendi
Km una mixed feelings usiolewe nae. 🙌🤣Km hutampenda Utaliwa uko nje na mwingine unaempenda mpk ushangae
Atatangulia yeyeLabda anataka kukuingiza cha vilema
35 mbona mingi sana kwa mwanamke ni 28 tu shughuli inaisha.Ukifiksha miaka 35 utahitaj yoyote anaepumua kikubwa n mwanaume saiv tamba Mama
Ni miaka mingi aisee🙂↔️Mtu kukufuatilia miaka yote hiyo atakuwa ana nia ya dhati
Kama unataka future nenda ulaya🙂↔️Tanzania story nyingi huwa ni za mapenzi, hivi hatuwezi kuzungumzia mambo mengine ya msingi, yanatufanya tuishi na kufikiria future yetu! Kila siku mapenzi mapenzi! Hii nchi hatari sana
Love is blindTanzania story nyingi huwa ni za mapenzi, hivi hatuwezi kuzungumzia mambo mengine ya msingi, yanatufanya tuishi na kufikiria future yetu! Kila siku mapenzi mapenzi! Hii nchi hatari sana
Nijue kwanza msimamo wako. Unataka ndoa au hutaki? Na huyo Jamaa unamuangalia kama future hubby au una options zingine?Naweza kukubali uamuzi ukawa sio sahihi na naweza kukataa.uamuzi ukawa si sahihi ndo maana nimekuja Jf
[emoji57]Hatukuwai fanya mapenzi adi Leo hhii
Ukipenda huwezi kuona futureLove is blind
He's a 10/10Nijue kwanza msimamo wako. Unataka ndoa au hutaki? Na huyo Jamaa unamuangalia kama future hubby au una options zingine?
Naam ahamue tu kuolewa na huyo jamaa,vinginevyo akifikisha tu thirty,atahitaji yoyote yule alimradi ni mwanaume.Kakupenda.
Kwani kuna wanawake wangapi mtaani wenye kiu ya kweli kwa mahusiano ya ndoa, hajawaona, kwanini wewe tu, haujiulizi?
Wee endelea na msimamo wako huo usio na mashiko, akichoka kukufuatilia, upendo wake kwako utadrop na kufanya maamuzi mengine.
Mtu mzima mwenyewewewe ni mtu mzima toa ushauri huyu ni kama binti yako!, unataka akina kenzy tumbebe tukamtofoetofoe...??
Muda wote huo wewe hujapata wa kwako? Ushauri wangu: Unataka mpaka likupate jambo gani ili ujue huyu ni tapeli? I mean kitendo cha kukuficha kuwa ana mtoto huoni ni jambo serious sana sana na ni red flag ambayo hutakiwa kuipuuza?Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
🤣🤣Mtu mzima mwenyewe
DuhMuda wote huo wewe hujapata wa kwako? Ushauri wangu: Unataka mpaka likupate jambo gani ili ujue huyu ni tapeli? I mean kitendo cha kukuficha kuwa ana mtoto huoni ni jambo serious sana sana na ni red flag ambayo hutakiwa kuipuuza?