Nisaidieni kuzimua ubongo wa huyu mwanamke

Bado matukio hayajakolea huyo atairudisha tena na atachapwa matukio mpaka akili itakaa sawa.Kwa sasa wewe jali biashara zako tu.
 
Mpe namba zangu ... mwambie turbo charging ipo .......ufundi mpaka peponi atafika akiwa duniani
 
Huyo sio mama mwenye nyumba yangu?? Ana nyumba za kupangisha,Ana Bars kadhaa,mwanaume wake Ana miaka 33,bi mkubwa anakaribia 50s,Ana wajukuu wawili,

Mwenye nyumba anapigwa,ananyanyaswa na kibenten,anadhalilishwa Hadi huruma,aliwahi kumuibia vitu vya ndani vyote,akatoroka after week akarudi kamsamehe,Mara ya mwisho months ago kampiga nusu ya kumuua,bi mkubwa kasema ITS OVER,akamfukuza ..

Last week anasema anamuonea huruma james Hana pa kukaa anadhurura,leo nimemuona James asubuhi kapitia geti la dharura..haha Maza karogwa au jamaa Ana d*ck Kama ya Podrick Payne
 
Focus na masuala yako mkuu, hao walipokutana hukuwepo, Leo hii uajitia mshauri mkuu, anyway umemshauri aachane na huyu bwana wake, wewe ndio utakuwa naye? Je wanapokuja kupatana tena aibu inakuwa kwa Nani?
 
Nini kilikusaidia kumsahau huyo mwamba mkuu?
 
Waswahili wanakwambia 'wapendanao wakigombana chukua jembe ukalime, wakipatana chukua kapu ukavune'.

Nafsi iliyopenda haishauriki. Na hapa unachohitaji hasa kusikia ni kwamba umtongoze, ummiliki wewe. Usithibutu.

Kama una thamini sana uwepo wake kwako basi kuwa rafiki wa kumliwaza pale atakapohitaji kuliwazwa, mengine muachie mwenyewe awe muamuzi. Huwezi juwa, katika kumliwaza kwako anaweza aka fall kwako na kumsahau jamaa ila USIFOSI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…