Nisaidieni kuzimua ubongo wa huyu mwanamke

Ww sema unataka kujipachika mxiewww.!! Hebu acha mapenzi ya watu tafuta kimeo chako uhangaike nacho 🤣🤣🤣
,Sasa ndo unifyonze dadangu?
Mi wifi yako yupo sema huyu mwenzenu kama anateseka kwa kujitakia nataman azinduke
 
wewe mwenyeo utakua unamlia taiming huyo.
Hisia zake za mapenzi na mtu mwengine wewe zinakuhusu nini
 
Huyo mwanamke ata akiambiwa na huyo bwana ake ampe nyuma atampa na ataliwa mku.... then ataachwa na Bado ataendelea kumlilia Tena akili matope
Naamini siku jamaa akiomba nyuma ndo siku akili za dada zitafunguka,asingekubali na asingerudi tena kwa jamaa.Usiulize nimejuaje lakini mkuu
 
Ni kweli usemacho mkuu
 
Achana naye huyu.Halafu acha kumsikiliza akiwa anaongea stori zake za ajabu.Kuna siku atakusimulia jinsi jamaa anavyommaliza..
 
Mpushi afanye kile ambacho nafsi yake inataka ili akakome. Mwambie amrudie mshikaji tena msaidie mbinu za kumrudia ili jamaa akamnyooshe vizuri. Baada ya hapo sasa mnaweza kuelewana.
 
Sio huyo mkuu
 
Majoka ya kibisa kama wewe ndio wa kupewa mastori ya hivyo. Yaani mimi na boo langu uanze kunipa stori za mwanaume mwingine? Huwezi, kwa sababu kabla hujafanya hivyo nimeshakukaza
 
Focus na masuala yako mkuu, hao walipokutana hukuwepo, Leo hii uajitia mshauri mkuu, anyway umemshauri aachane na huyu bwana wake, wewe ndio utakuwa naye? Je wanapokuja kupatana tena aibu inakuwa kwa Nani?
Nakuelewa sana mkuu sema mwenyewe kaomba ushauri hajui afanyaje amsahau huyo mtu wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…