Nisaidieni wanajamiiforum wenzangu nipate kibarua chochote, hali yangu ni ngumu sana mpaka nimekata tamaa ya kuishi

Nisaidieni wanajamiiforum wenzangu nipate kibarua chochote, hali yangu ni ngumu sana mpaka nimekata tamaa ya kuishi

Mkuu mtoa tangazo, mimi bado hujanishawishi kwanini uliacha kazi yako ya ualimu. Hata kama ulikua unaishi chumba kimoja na sebule, mke na watoto 2 kwa jinsi ya kumuuguza mama na ugumu wa kulea familia.....ungekubali hata kulala chini mama alale kitandani ila kazi iendelee kuwepo.

Kwa sababu kuacha kazi huku una familia na una mgonjwa na wote wanakutegemea na hauna kazi hivi ulitarajia muishi vipi? Supposedly mama yako bado yuko hai....leo hii ungeishi vipi?
Kuna kitu kilikupa "JEURI" ya kuacha kazi au ULIFUKUZWA.
Tuambie ukweli.
 
Mkuu mtoa tangazo, mimi bado hujanishawishi kwanini uliacha kazi yako ya ualimu. Hata kama ulikua unaishi chumba kimoja na sebule, mke na watoto 2 kwa jinsi ya kumuuguza mama na ugumu wa kulea familia.....ungekubali hata kulala chini mama alale kitandani ila kazi iendelee kuwepo.

Kwa sababu kuacha kazi huku una familia na una mgonjwa na wote wanakutegemea na hauna kazi hivi ulitarajia muishi vipi? Supposedly mama yako bado yuko hai....leo hii ungeishi vipi?
Kuna kitu kilikupa "JEURI" ya kuacha kazi au ULIFUKUZWA.
Tuambie ukweli.
Natamani kuandika mengi kukuelewesha, ila nashindwa. Any way, kikubwa nimeomba msaada wakupatia kibarua. Iwe nilifukuzwa au niliacha basi tufanye ni mistakes imeshatokea. Pia sijaomba msaada wakusaidiwa pesa nomeomba kibarua ili nitumie nguvu, akili na maarifa niliyo nayo. Hata nikijielezea vp kwako km hujavutia kunisaidia itakuwa km nikupoteza muda. Sory km nitakukwaza kwa majibu haya, but kumbk mtu anapoomba msaada anahitaji faraja na kutiwa moyo ht km hutomsaidia kitu na sio kumpa maneno ya kumuumiza zaidi. Remember kwa sasa sina mzazi hata mmoja nina mke na watoto wawili wote wananiangalia mimi. Hebu jaribu kuvaa hivyo viatu vyangu ndio uje na hizo hoja zako. Asante
 
Mkuu mtoa tangazo, mimi bado hujanishawishi kwanini uliacha kazi yako ya ualimu. Hata kama ulikua unaishi chumba kimoja na sebule, mke na watoto 2 kwa jinsi ya kumuuguza mama na ugumu wa kulea familia.....ungekubali hata kulala chini mama alale kitandani ila kazi iendelee kuwepo.

Kwa sababu kuacha kazi huku una familia na una mgonjwa na wote wanakutegemea na hauna kazi hivi ulitarajia muishi vipi? Supposedly mama yako bado yuko hai....leo hii ungeishi vipi?
Kuna kitu kilikupa "JEURI" ya kuacha kazi au ULIFUKUZWA.
Tuambie ukweli.
Then km unaona huna mchango ht wa mawazo kwny thread ya mtu, its better to stay quit wala hutoonekana mjinga na sio kuleta ujuaji ht kwa yale usiyoyajua. Fatilia comments za wengine huko mwanzo nimejaribu kuwaelewesha na wameelewa we ni nani hadi nianze kukuelezea tena? Punguza ujuaji bro, hasa kwny matatizo ya mtu na pia kusaidia sio lazima!
 
Then km unaona huna mchango ht wa mawazo kwny thread ya mtu, its better to stay quit wala hutoonekana mjinga na sio kuleta ujuaji ht kwa yale usiyoyajua. Fatilia comments za wengine huko mwanzo nimejaribu kuwaelewesha na wameelewa we ni nani hadi nianze kukuelezea tena? Punguza ujuaji bro, hasa kwny matatizo ya mtu na pia kusaidia sio lazima!
Let's meet at the top, cheers🍺🍻🍻
 
Then km unaona huna mchango ht wa mawazo kwny thread ya mtu, its better to stay quit wala hutoonekana mjinga na sio kuleta ujuaji ht kwa yale usiyoyajua. Fatilia comments za wengine huko mwanzo nimejaribu kuwaelewesha na wameelewa we ni nani hadi nianze kukuelezea tena? Punguza ujuaji bro, hasa kwny matatizo ya mtu na pia kusaidia sio lazima!

Mkuu inaonekana “jeuri” na ilo litakukwamisha unapojiitaji kufanya kazi za mtu. Unapotafuta jaribu kua positive tuu hakuna sababu ya kuanza kujibu hovyo.
 
Mkuu inaonekana “jeuri” na ilo litakukwamisha unapojiitaji kufanya kazi za mtu. Unapotafuta jaribu kua positive tuu hakuna sababu ya kuanza kujibu hovyo.
Sio hivyo mkuu, tatizo aliyecomment ni km ana enjoy mtu. Swali km lake limeshaulizwa huko juu na nimeshaeleza, then anakuja anasema hajaridhika na maelezo yangu, nijielezee kiasi gani anielewe? Coz km ni kosa nililifanya na imeshatokea sio mtu unakuja unasema nilifukuzwa kazi. Sijawah kufukuzwa kazi sema nilichukua uamuzi wa kuacha kazi kutokana na stress za kuuguliwa na mzazi wangu. Asante
 
Fresh tu mi sina lolote.
Pole sana brother.
Unajua kuendesha gari?
Mambo ya magari yanatoka wapi? Hapo na ww unajiita great thinker? Nipe no yako ya whatsap nikutumie leseni yangu. Mind you, sio kila anaeomba msaada hum unaweza mu undermine vyovyote ujisikiavyo, haya ni maisha tu hata ww hujayamaliza. All the best big boss tajiri wa dunia
 
Ukituma maombi wanakukubalia, kisha wanakuandikia maneno marefuuuu na wanakwambia tuma pesa kwa ajili ya kugharamia accommodation na chakula kwenye training ya kufanya kazi itakayofanyika hotel xxx. Ha ha haa. Jamaa utapeli wao laini kweli. Ila unakuta kuna watu wanakamatika.
Wajinga hawataisha, fools will never end na wajinga ndiyo waliwao, wewe fanya chochote bongo land you must catch up fools. 😁
 
Nimpe pole jamaa kwa kuacha kazi ingawa kupata kazi ni kazi sana hasa hapa bongo land hasa kazi ya kukidhi mahitaji, uwezo wa kupata unskilled work/manual work kwa ujira mdogo upo.
 
Jifunze kuwa mkweli usaidiwe.

Serikalini watu hawafukuzwi kazi kirahisi hivyo.

Unless ufukuzwe kazi na Rais.

Sasa kama kweli Ni kumuuguza mama yako, kwanini usingemchukua na kumuuguza nyumbani kwako unqkofanyia kazi?
.....Serikalini watu hawafukuzwi kazi kirahisi hivyo....... Mkuu kauli yako hiyo sio mara zote ni sahihi.... yapo Mazingira watu wanapoteza kazi kirahisi tu Serikalini....
 
Mambo ya magari yanatoka wapi? Hapo na ww unajiita great thinker? Nipe no yako ya whatsap nikutumie leseni yangu. Mind you, sio kila anaeomba msaada hum unaweza mu undermine vyovyote ujisikiavyo, haya ni maisha tu hata ww hujayamaliza. All the best big boss tajiri wa dunia
Mkuu unaonekana bado uko na stress, ishu ndogo hivyo unajaa upepo kiasi unashindwa kujishika? Wajua kuna tunaosome comments zako na ku judge wewe ni mtu wa aina gani. Mdau akikukwaza wewe jaribu kuonyesha maturity yako katika kumjibu bila kumkosoa au kuonyesha kama unataka kushindana naye. One may picture you wrongly.
 
.....Serikalini watu hawafukuzwi kazi kirahisi hivyo....... Mkuu kauli yako hiyo sio mara zote ni sahihi.... yapo Mazingira watu wanapoteza kazi kirahisi tu Serikalini....
Serikalini Hakuna mtu mwenye boss mmoja mmoja. Sasa huyo mtu atakayekumalia mwanzo mwisho kuanzia kamati ya nidhamu, mpaka CMA mpaka ufukuzwe kazi labda umemchukulia mke wake.
 
Hayajakukuta
Serikalini Hakuna mtu mwenye boss mmoja mmoja. Sasa huyo mtu atakayekumalia mwanzo mwisho kuanzia kamati ya nidhamu, mpaka CMA mpaka ufukuzwe kazi labda umemchukulia mke wake.
 
Proffessionally mimi ni mwalimu, masomo ninayofundisha ni Kiswahili na Historia. Nilibahatika kuajiriwa serikalini mwaka 2013. Kutokana na matatizo ya kifamilia nilikazimika kuacha kazi 2019, matatizo yamekuwa yakiniandama bila suluhisho na nimejaribu kutafuta ajira sehemu mbali mbali bila mafanikio.

Kwa sasa nipo tayari kufanya kazi yoyote, iwe sheli, barmen au hata kuhudumia mahotelini nipo tayari ndugu zangu. Familia inanitegemea nikiwaangalia watoto wangu huwa najifungia ndani na kutoa machozi. Najua wapo humu wenye uwezo wa kunisaidia kwa hili. Pia kama nitamkwaza mtu nitaomba kusamehewa, kichwa na akili yangu havipo sawa kwa sasa.

Asanteni

Unaweza fundisha kiswahili online?
 
Then km unaona huna mchango ht wa mawazo kwny thread ya mtu, its better to stay quit wala hutoonekana mjinga na sio kuleta ujuaji ht kwa yale usiyoyajua. Fatilia comments za wengine huko mwanzo nimejaribu kuwaelewesha na wameelewa we ni nani hadi nianze kukuelezea tena? Punguza ujuaji bro, hasa kwny matatizo ya mtu na pia kusaidia sio lazima!
Unajipanikisha bure tu,kwa kifupi maelezo yako hayajamshawishi mtu yeyote humu kukuamini.na kwa jinsi unavyoonekana kiburi, ndio kabisaa watu hata kama tuko na michongo tunaogopa kukupa connection coz utaweza kwenda kumjibu vibaya boss.
 
Back
Top Bottom