Nisaidieni wanajamiiforum wenzangu nipate kibarua chochote, hali yangu ni ngumu sana mpaka nimekata tamaa ya kuishi

Nisaidieni wanajamiiforum wenzangu nipate kibarua chochote, hali yangu ni ngumu sana mpaka nimekata tamaa ya kuishi

mwalimu kuja kufukuzwa sio rahisi kama mdau anavyotaka kutuaminisha.


kuna wadau walipiga mimba wanafunzi na wengine walidakwa wanawapiga pampu kabisa... waliyumbishwa kidogo tu na leo wapo kazini na wengine walimu wakuu kwa sasa.


kuna wajuba walichana pepa la std 7 wakaliuza, wakatiwa ndani na msonde akawatukana kwa kila tusi, lakini walikaa benchi miaka miwili Leo wapo mzigoni.


na kuna wana walitafuna pesa ya miradi ya serikali, wakahojiwa maswali makali sana na tiss, takukuru na kuswekwa lupango kama mwezi. lkn wajuba walikuwa wapole tu na hawakurudisha hata chenji na Leo wapo kazini!??



wewe kuuguza mama, ungemleta kwako na Hm wako akaja kumuona nakwambia ungemuuguza milele na madaraja unapanda, unaitwa semina na kazi maalumu zingine lakin class huingii.



hadi jana 19.03.2022 hadi Uhuru hakuna mwalimu alifukuzwa kwa kuonewa.... hata aliyekuwa na makosa makubwa alikuwa pia na kiburi sana tena sana.



NB: ualimu ni kazi ambayo una uhakika wa kusitaafu bila onyo.
 
Mkuu mtoa tangazo, mimi bado hujanishawishi kwanini uliacha kazi yako ya ualimu. Hata kama ulikua unaishi chumba kimoja na sebule, mke na watoto 2 kwa jinsi ya kumuuguza mama na ugumu wa kulea familia.....ungekubali hata kulala chini mama alale kitandani ila kazi iendelee kuwepo.

Kwa sababu kuacha kazi huku una familia na una mgonjwa na wote wanakutegemea na hauna kazi hivi ulitarajia muishi vipi? Supposedly mama yako bado yuko hai....leo hii ungeishi vipi?
Kuna kitu kilikupa "JEURI" ya kuacha kazi au ULIFUKUZWA.
Tuambie ukweli.
Nasisitiza hapo hapo utatulaumu bure lakini lazima tuseme ukweli inawezekana uliamua kuacha kazi ukaona ualimu hauna hela mambo yameyumba umerudi pole sana
Naona huruma lakini sina budi kuusema ukweli,mchongo ukipatikana utatafutwa
 
.....Serikalini watu hawafukuzwi kazi kirahisi hivyo....... Mkuu kauli yako hiyo sio mara zote ni sahihi.... yapo Mazingira watu wanapoteza kazi kirahisi tu Serikalini....
Ni kweli!! Kwenye mashirika ya umma kidgo yapo seriousness na issue Kama hizo... LKn kwenye serikal za mitaa kuna uzembe Huwa unafanyika kias kwamba MTU Kama Huyu akiamua kurudi inawezkana, coz unakuta hakn mchakato wowote ulë uliofanyika, hivyo wakiona amerud wengi maboss Huwa wanaamua kumsamehe na kumfuatisha baadhi ya michakato, Ili apate tena Ajira yake.ila inachukua muda MTU kupta salary yake...hta Miaka miwil, so anayeamua kurudi kiukwel awe amejipanga kufanya Kazi bila malipo Kwa mudamrefu. Kitu Kwa MTU mwenye familia na demand kubwa inakuwa ngumu.
 
Back
Top Bottom