Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Tuone kwaza tickets
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni wa hapahapa... hiyo USA labda USA river Arusha. Acha kujitutumua kifala.naleta ligi coz umekuja kichwa kichwa alaf mi ni mtoto WA mjini. Matutusa kaa nyie nawapeleka puta kitutusatusa hivyo hivyo mpk akili ziwakae sawa.
Punguza ujuajiAkienda kama mtalii au mfanyabiashara barua ya mwaliko ya nini?
kuna mambo watu mmekariri sana.
Thanks will dowww.google.com search: cheap accommodation in NY
Elewa mtu anayeenda Ku visit na anaongeza mapato ya ile nchi aendayo. Na kama unaenda Ku visit na kutalii Tu na kuondoka hakuna nchi itakua na shida na wewe.Daah yaani mtu unaenda USA usijue utafikia wapi ndio maana mnaleta mazingira magumu ya wengine kupata Visa aisee...
Go figure out dude!
hiyo "resemblance to stupidity is uncanny" umegundua wewe mgunduzi mahiri?! We hujaiga hapo? Baasi props to you mgunduzi wa "resemblance to stupidity is uncanny"Hichi kingereza mnachoiga kwenye eonii the resemblance to stupidity is uncanny
Tatizo hukujitambulisha kama mwislamu ulitegemea nini?Una mqdini lqkini ukifuatwq inbox hujibu. Kunq mengine huwez kuqndikq hapahapa lazmq mtu uende inbox
NashangaaWakati unaomba visa hukuulizwa utakapofikia? Barua ya mwaliko ulikuwa nayo? Saa nyingine acha kuota ukiwa macho.
Marekani haina makubaliano yoyote na magaidi, usilishe watu matango pori.Hapana, ukienda kwa njia ya Tabligh unakuwa na full backup ya documetation za kisheria. Tabligh ni walingania dini, ni makubaliano ya Kimataifa, madi wawe wapo kihalali. Tanzania wapo branch yao na USA wapo.
Mkuu hii ID yako ni ya muda Sana nimekua nikiona hapa JF na ni moja ya ID naziheshimu Sana.Anafurahisha genge tu, hakuna msafiri hapo.
Utapata vipi viza bila address utakayofikia?
Ulipataje invitation? Let's assume ni hotel booking, mtu wa level hizo hawezi kuja JF kuuuliza cheapest accommodation.
Chinese proverb inasema if you can't make then fake it.
Kijana anafake kujipa amani ya moyo.
baasi inywewe au sioChai inastawi sana siku hizi [emoji261][emoji261][emoji478][emoji478]View attachment 2695754
Safi ushauri mzuri. Asante.Hii ndio Swali Moja Majibu Mia Moja....,; Kweli Bongo Maneno Mingi.....
Ushauri kwa mdau jaribu kuwasiliana na Google....; Au kama vipi uliza humu kama kuna Wabongo karibu unapofikia huenda hivyo vijisenti vikawasaidia na ukapata mwenyeji (kama wataridhia)
hiyo "resemblance to stupidity is uncanny" umegundua wewe mgunduzi mahiri?! We hujaiga hapo? Baasi props to you mgunduzi wa "resemblance to stupidity is uncanny"
Humu ndani ujuaji mwingi balaa. Sasa nisaidiwe na kabisa au msikiti kwani mi sijiwezi. Km ni easy baasi nenda kanisani au msikitini kwenu kawaambie wakutaftie visaSema vijana wa siku hizi unaweza kushangaa ni kweli maana vitu vingine anaweza kupata msaada wa Kanisa...au msaada kwenye Tuta harafu hajui aanzie wapi...
[emoji478][emoji478][emoji478] tuna endelea kuinywa hapa boflo [emoji506][emoji506][emoji506]baasi inywewe au sio