Nissan Dualis zitajiondoa zenyewe sokoni

Yaani mjapani atengeneze gari mwaka 2008 aitumie miaka 16 akuuzie leo wewe ukampelekee fundi maiko wa yombo dovya akatengeneze shoti kwa kuvuruga system ya umeme uje umlaumu mjapani kweli??
Swali jepesi, mbona kuna toyota, bmw ya mjerumani, na nyingine nyingi zinatengenezwa na hawa mafundi uchwara na haziwaki moto?
 
Hapo kwa BMW ngoja ninyamaze maana mpaka sasa ni majanga. Ila tatizo kubwa ni yale kutoka Singapore, ni majanga matupu.
 
Unasema nyingi zimeweka moto je mliagiza mpya je mmenunua kwa wakala wa nissani au used japan au singapore

Je zikifika mnaweka spair sahihi

La mwisho nunua gari jipya kwa nissani uke kulalamika watakuja jipya nissani wenyewe...... sasa umenunua magari ya kajamba nani beforwad unalalamika mkuu
 

Sawa taasisi ipi wana Scania?

Dualis a.k.a mtungi wa oryx
Moto
Sanahani sijawahi kumiliki au kununua au kutumia gari inaitwa NISSAN DUALIS.. Ila mimi ni mdau kwenye hiyo sekta na nilichoandika ndio uhalisia kwa ground
Ishu ya kununua mpya au used sheria ya nchi yetu imeruhusu kwa masharti ya gari kufanyiwa ukaguzi
Nadhani umechangia kwa kusoma heading na si maudhui
 
Swali kwako, mbona tunanunua used na limetembea km lak 2 halikuungua? kama tatizo ni kuungua kwanini lisingeungua huko huko
Tumia akili kiduchu, bongo asilimia kubwa tunatumia used, kina dualis, patrol, ist, outlander, alphard na ndugu zao wengine, wote wametoka japan hawajaungua, lakini kuja bongo mmoja anaungua, na ukizingatia mafundi wa dualis ndio wa alphard,probox ndio wa patrol na gari nyinginezo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…