Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

Rlax jooh fanya kam hakuna lilotokea mi siku moja kulikuwa ba shereh chuo nililewa sana siku iyo ndo walinijuwa real of me kesho yake wakawa wananitania hata sikujali ,siku ingine nikalew nikaongea na mtu sijui nilimshauri nn kesho yake ananishukuru sana kwa ushauri na kunisifia mi nina akili sana hakujuwa kama nimelewa kabsa ila niliongea nae lisaa lizima sikumbuk nilimshauri nini
 
Kama hauja amka na kesi au malalamiko shida yako nini sasa!? tena hauna hata ngeu na unasalimia wote uliokua nao wanaitika fresh na wanacheka, hiyo ndiyo pombe Sasa kama umempenda swaga zake endelea nayo kama haujazipenda swaga zake ikaushie..
 
Mlevi halaumiwi wewe ndo unajishuku tu mkuu, Tena ulikunywa siku iyo hawajawahi kukuona before wala hawakuwazi bali wewe ndo unawawazq.
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Piga tena tungi ukawaombe msamaha
 
Mlevi halaumiwi wewe ndo unajishuku tu mkuu, Tena ulikunywa siku iyo hawajawahi kukuona before wala hawakuwazi bali wewe ndo unawawazq.
Ahsante mkuu kwa ushauri
 
Mlevi halaumiwi wewe ndo unajishuku tu mkuu, Tena ulikunywa siku iyo hawajawahi kukuona before wala hawakuwazi bali wewe ndo unawawazq.
Ahsante mkuu kwa ushauri
 
Rlax jooh fanya kam hakuna lilotokea mi siku moja kulikuwa ba shereh chuo nililewa sana siku iyo ndo walinijuwa real of me kesho yake wakawa wananitania hata sikujali ,siku ingine nikalew nikaongea na mtu sijui nilimshauri nn kesho yake ananishukuru sana kwa ushauri na kunisifia mi nina akili sana hakujuwa kama nimelewa kabsa ila niliongea nae lisaa lizima sikumbuk nilimshauri nini
Thanks joh
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Utajua mwenyewe kazi kufakamia mabia ya bure. Pumbavi zako
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Potezea waambie siku ile niliamua kujiachia na kupanda juu ya meza,hivyo waendelee kukuelewa kwa namna walivyokuelewa tangu mwanzo.Waachane na ya le ya kupanda juu ya meza.
 
Relax mkuu.
Kawaida sana hizo kwa watu wa pombe.....punguza kujilaumu na kujihukumu kwa vitu vidogo kama hivi.
Wewe kausha vitu vidogo namna hiyo vinakusumbua! Sasa wale wanaojinyea hadharani na kesho Wala hawamaindi na Kila mtu anapotezea, Inaonesha unaishi na watu wajinga sana wasiojishughulisha na mambo Yao wanahangaika na umbea TU!
 
Wewe si ndiye umetumbuliwa kwa kumtukana mkuu wa mkoa wa tabora na maafisa wengine wa serikali kisa ulikua tungi?
 
Pole sana mkuu, na wacha nikupe hizi njia mbili, zitakusaidia sana.

Njia namba uno: Itabidi uendelee kulewa ili hao uliowakosea uendelee kuwakosea hadi washangae kiasi cha kuona si jambo la kawaida bali inawezekana kuna jambo limekupata na hapo wataanza kukufuata kwa upole ili wakupe ushauri wa hapa na pale kwa lengo la kukusaidia uondokane na hiyo hali.

Na wewe utajifanya kuzingatia ushauri wao then utakaa Kaa baadae utaacha utaona wote uliowakosea wanakupa pole kwa changamoto zilizokupata na hapo heshima yako itakua haijaguswa ila wataanza kulaumiwa watu walioko katika ulimwengu wa giza ilihali wao wenyewe hawana taarifa zozote na tatizo lako. 😅😅😅.

Njia ya pili jifanye haukumbuki chochote kilichotokea baada ya kulewa ila urudi uanze kuwaomba msamaha watu wote ambao walikua karibu na wewe wakati huo wa kulea uwaambie haujui kilichotokea baada ya kulewa ila kwakua unajijua wewe huwa pombe hazikufai kwa maana ukilewa huwa unaongea mambo mengi yasiyofaa(kuropoka, yaani unakua kiropo ropo), kwahiyo unawasiwasi inawezekana kuna jambo lolote la ajabu ulilifanya iwe la kukufedhehesha wewe au watu wengine kwa hali ya kutokujua basi unawataka wakuwieladhi kwa maana haikua dhamira yako, na isitoshe wanajua the really you ukoje.

Fanya hivyo kazini na kwa majirani zako hapo mtaani kwenu then acha yaliyopita yapite na maisha yaendelee kwa maana mwisho wa siku wewe ni binadamu tu na kimsingi hakuna mwanadamu aliyemkamilifu.
Hiyo namba 1 uwe na bahati waje kukusaidia, ukiwa na wabishi mpaka unafukuzwa kazi kwa ulevi
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Kunywa tena ujiliwaze.
 
Kama ulivyoandika kwenye maelezo yako, bila shaka uliugua ukichaa kwa muda.
Nijuavyo mlevi akilewa vilivyo anakuwa hana hata nguvu za kuongea na kutukana matusi.
Wewe ulikuwa na kumbukumbu hata za kuwataja unaowapenda!!
Mlevi husimuliwa aliyofanya siku ya tukio, siyo mlevi asimulie siku hiyo ilikuwaje.
 
We acha tu mkuu kuna siku hangover ilinipiga ikaunga na malaria juu kwa juu oya unalala unaona kama unaelea angani afu ilikuwa hangover ya cocktail kvant value kiwingu bia oya ile hangover ata mwanasheria angekuja ningesain sinywi pombe tena ila nilinyuti kwa muda gari ikawaka tena
Hii ni HANGOVER ndio inakusumbua. Sisi wanywaji huwa tuna msemo wetu unasema katika kila mning'inio (hangover) kuna ahadi ya kutokunywa tena pombe. Kwa hiyo ni swala la muda tu
 
Back
Top Bottom