Nitawamis sana kwaherini JF, shule zimefunguliwa naenda shule tutaonana mwezi wa tatu wakuu

Nitawamis sana kwaherini JF, shule zimefunguliwa naenda shule tutaonana mwezi wa tatu wakuu

[emoji23] [emoji1]
London baby.....
Iyagaaaaa.....

Star boy....
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habbar kinavyosomeka hapo juu

Dah inauma sana lakin ndo hivo kwaherin ndugu zangu, week ijayo yaan jumanne inatakiwa niwe nishafika shule maana shule tumefungua

Na shule ninakosoma ni bording hivyo huwa haturusiwi kuwa na simu pia hata home huwa hawaniruhusu kwenda na cm shule hivyo huwa naiacha home

Nitawakumbuka sana ndugu zangu masela zangu, bro zangu na sister zangu

Tutaonana tena mwez wa tatu maana huwa likizo fupi

Tuliogombana naomba mnisamehe sana nami nishawasamehe

Baba wa mbingun awabaliki sana panapomaajaliwa mwez wa tatu tutakuwa wote

Naomba mniombee sana nipige kitabu wakuu

Nitawakumbuka sana
View attachment 670369

By by

LONDON BOY

Msalimie walimu wako wa nidhamu, umetusumbua sana kijana wetu kwa kweli
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habbar kinavyosomeka hapo juu

Dah inauma sana lakin ndo hivo kwaherin ndugu zangu, week ijayo yaan jumanne inatakiwa niwe nishafika shule maana shule tumefungua

Na shule ninakosoma ni bording hivyo huwa haturusiwi kuwa na simu pia hata home huwa hawaniruhusu kwenda na cm shule hivyo huwa naiacha home

Nitawakumbuka sana ndugu zangu masela zangu, bro zangu na sister zangu

Tutaonana tena mwez wa tatu maana huwa likizo fupi

Tuliogombana naomba mnisamehe sana nami nishawasamehe

Baba wa mbingun awabaliki sana panapomaajaliwa mwez wa tatu tutakuwa wote

Naomba mniombee sana nipige kitabu wakuu

Nitawakumbuka sana
View attachment 670369

By by

LONDON BOY
Singo yako mbona haijatoka bado??
 
Back
Top Bottom