Meno ya Kahawia (Fluorosis) hutokea mtoto anapopata kiwango kikubwa cha fluoride akiwa tumboni au katika miaka ya mwanzo ya maisha.
Meno huanza kutengenezwa kati ya wiki ya 3 hadi 6 ya ujauzito.
Ikiwa mama anapata maji au vyakula vyenye fluoride nyingi, meno ya mtoto yanayokua yanaweza kuathirika, na kusababisha madoa meupe au rangi ya kahawia kwenye meno baada ya kutokeza.
Matibabu ya meno ya kahawia
1. Kupiga mswaki na polishing – Kusafisha sehemu za juu za meno ili kupunguza madoa mepesi.
2. Bleaching – Njia ya kusafisha kitaalam kwa kutumia kemikali ili kupunguza rangi ya meno.
3. Veneers– Viboreshaji vidogo vya porcelaini au composite vinawekwa kufunika meno yaliyoathirika.
4. Crowns – Kofia za meno zinavaliwa kwenye meno yaliyoathirika sana ili kuboresha muonekano na uimara.
Kujua matibabu yapi hutegemea kiwango cha fluorosis. Kwa taarifa zaidi fika offisini kwetu ,Uweze kupata Elimu , Matibabu
Kibaha - Pwani, Magomeni- Dar es Salaam
kama una tatizo hili karibia PM tuweze kulitatua na ufafanuzi zaidi.