Why notSeriously
Hiyo ni kinyume chake, TZS ndiyo ina nguvu zaidi!Juzi kuna jamaa anasema laki 1 ya Burundi ni amepewa elfu 30 ya Tanzania yaan hela ya Burundi ina nguvu kuliko ya kwetu?
Rejea paragraph ya mwisho inayohitimisha uziππUSALAMA UKOJE KWA MGENI
Labda kwenye familia za wanasiasa na matajiri. Watu wa hali ya kawaida hayo hawayaangaliiVipi kuhusu intermarriage? Wahutu na watusi wanaoana au bado wanabaguana?
Kahama wapo kibao na wengi ni Maafisa usafirishaji ila jichanganye apajue kwako umekwisha.Nadhani ni vita na tatizo la kisaikolojia
Warundi wengi wanawake asilimia kubwa ni walokole tofauti na Rwanda japo makabila yao yanafananaUgumu upi Mzee mabinti wanang'olewa haijarishi ni wapi kwani kule chini huko Burundi wanazo za dhahabu?
Mkuu je! Tunaweza kupata soko la kuku wakienyeji? Burundi?Acha kuwaza ngono jinga wewe?
Ulizia mambo ya fursa za kibiashara