Changamoto hapa ni bei elekezi..inaweza ikusumbue kama umechukua kwa bei kubwAMkuu naomba unisaidie
Ninawaza kuanzisha hardware yenye vitu vigutavyo tuu
1. Nondo
2. Cement
3. Bati
4. Mbao
5. Misumari
6. Wiremesh
7. Gypsum board na accessories zake.
Changamoto gan niitegemee hapa.
Mtaji kiasi gan kama nalenga kuuza jumla na rejaleja
Safi sanaPersonally nimefaidika na madini mengi humu JF kwa ajili ya maswala mbali mbali, sio vibaya na mimi kushare info na wana jamii wafaidike pia.
Nimekulia katika familia yenye b'ness ya hardware, then na mimi nikajikita katika b"ness hio hio.
Nitashare kutokana na uzoefu, uwezo na kiwango cha ujuaji wangu.
Karibuni na wengine mtakao kuwa na majibu kwa wengine.
Karibuni.
Pia, soma: Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida
Leta madiniBoss cha kwanza hardware ni term pana sanaa..
Ukitaka uwe na hardware ambayo ni:
general hardware (handtools, appliances, power tools, materials za ujenzi, plumbing na sanitary)..yani mtu hakosi kitu..kama unaanza itakubidi uwe na kibubu cha 80million to 150million na zaidi
Plumbing na sanitary system: tenga 25million hadi 30million
Mchanganyiko wa vitu vidogo: Handtools, appliances ndogo(vitasa, komeo,), fixets kama screws, bolts etc, vifaa vya vidogo vya mafundi 25million to 35million,
Yenye Materials za ujenzi tu: kuanzia foundations hadi fiinishing 50 to 100million
Au unaweza kufanya cheat code kwa mtaji mdogo kwa kumix kidogo kidogo hivyo vyote hapo juu kidogo kidogo ila kuna bidhaa utamiss dukani ..35miillion
Kama ni mbao tu 15m to 25m
Mtaji wako?Ni vifaa gan muhim kuanza navyoo katka hii biashara ya hardware
30 millionsMtaji wako?
Ok anza mixer handtools na appliances kama vitasa komeo, bawaba aina zote,misumari, bolts n scrwws etc..hapo utakuwa fresh kabisa..30 millions
Bei inapangwa na board ..mara nyingi faida 1000 kama umechukulia kiwandani..Naomba kujua kuhusu biashara ya cement kuuza rejareja na kununua kwa ujumla, changamoto zipoje na faida kwa mfuko uko vipi au ni sh ngap?
Comment no. 94Naomba kufahamu Tani 1 cement kiwandani ni bei gani na kiwanda kipi kinabei nafuu
pia kwa uzoefu wenu nikinunua cement moja kwa moja kiwandani let say Tani 30
bei ya kusafitisha kutoka kiwandani mfano Tanga au Dar to Mwanza naweza kulipia kiasi gani?
Huwezi. Mimi nilijaribu nikashindwa. NikakimbiaHuu uzi uko poa sana. Mfano kwa mtaji wa 10M siwez kuanza biashara.?
Huwezi. Mimi nilijaribu nikashindwa. Nikakimbia