Uko vizuri Sana mkuu pia hongera kwa kuyajibu maswali ya kejeli kwa akili kiasi yasiharibu Uzi wako.
Mkuu uwepo wa waislam wenye msimamo mkali kunahatarisha amani ya dunia kwa kiwango gani na Nini kinaweza kusaidia kuondoa tatizo hilo@Mr Chromium
Mkuu dunia inahatarishwa na mambo mengi lakini kubwa zaidi si dini kama dini ila ni watu wanaotumia hiyo dini kutimiza malengo yao.
mfano mdogo:
Taliban waliweza kusurvive kwa kuuza heroine na biashara za magendo ndio zilikua vyanzo vya mapato.
Al shabab huwa wanahusika kuteka na kupora,kuuza mihadarati ilimradi tu kundi lisikose fund
Hapo utaona si Dini maana dini hiyo hyo inakataza mihadarati.
Kifupi sehemu yyte yenye ugadi
Kuna ujinga,umasikini, elimu hamna, na vitu kama hivo.
Katika maeneo haya ni rahisi kulubuniwa watu kujiunga na hayo makundi maana commone sense ya watu kufikiri na kutafakari inakua ndogo.
Suluhuhisho lipo katika kuboresha maisha ya sehemu masikini ambazo dini ndio imetawala na hamna elimu,kuboresha maisha na vipato vya vijana ambao ndio huwa wahanga.
Waislam wenye itikadi kali kupambana nao na kuwamaliza ni kitu kigumu kwasababu itikadi ni idea kama ni idea bas kuwepo kwa center kwa ajili ya re education kama ilivo rehabilitation .
Kublock funding na financial transfer.
Kuboresha ulinzi na usalama kama kuwa na strong ant terrorism unit.
Kikubwa ni kuboresha maisha ya jamii na elimu.
Ukiangalia sehemu kama somalia,kenya msumbiji,nigeria, mali bukinafaso,iraq ,yemeni,pakistan,syria zote hzo kuna shida ya umasikini,elimu dunia ndogo,serikali dhaifu, ni tofauti sehemu kama Uturuki,malaysia, indonesia,algeria, Egypt