Niulize kuhusu mgogoro wa vita wowote duniani nitakujibu papo papo!

Niulize kuhusu mgogoro wa vita wowote duniani nitakujibu papo papo!

Naomba uniletee taarifa za mwendelezo wa Vita huko Israel na mataifa matano inayopigana nayo Kila siku kuanzia leo
Israel kwa sasa haipigani na taifa lolote
Ingawa vita ya Israel Na hamas wengine wanaweza kuiita n israel vs palestina war

Lakini ukweli ni kua Israel inapigana na Hamas ambao wanatawala sehemu ya Gaza. Lakini palestina ya west bank kuko shwali ndio maana inaitwa Israel hamas war.

Hamna mataifa au serikali ya nchi husika nje na hamas.
Lebanone israel haipigani na nchi ya lebanone wala serikali yake ila inapigana nakikundi ndan ya lebanone cha hezbollah
Jordan shwari
Misri shwari labda chokochoko za maneno
Saudi arabia shwari
Kifupi hamna nchi inayopigana na israel saizi zaini ya vikundi kama houthi ambavyo haviwakilishi serikali ya nchi husika
 
nan yuko nyuma ya pazia juu ya migogoro ya wenyew kwa wenye nchi ni myanmar /bama
Mgogoro ulianza ndani lakini ivivyo mgogoro wowote duniani huwavutia nchi nyingine ambazo zinakua na mategemeo fulani katika upande huo.
kwa kiasi kikumbwa mgogoro umetiwa moto na raia wasiokubali uongozi wa kijeshi
China ilishutumiwa kuuza silaha pande zote mbili.
 
Hiki kinachotokea Uingereza je haiwezi kuwa ni mpango wa Trump kuwini urais pamoja na kujihalalishia kuja kuwafurumusha wahamiaji?
 
Uko vizuri Sana mkuu pia hongera kwa kuyajibu maswali ya kejeli kwa akili kiasi yasiharibu Uzi wako.

Mkuu uwepo wa waislam wenye msimamo mkali kunahatarisha amani ya dunia kwa kiwango gani na Nini kinaweza kusaidia kuondoa tatizo hilo
 
Kuna tofauti Gani kati ya RST na Sudan military?? Nipe historia ya Kuundwa RSF
Nadhan unamaanisha Rsf
RSF ni rapid support force ni kundi lilitokana na kundi la janjaweed (arab nomads) ambalo lilizaliwa miaka 1987/88 maeneo ya sudan hasa darfur lilianza kutumiwa na kupewa support na al bashir miaka ya 2000 ambapo lilitumiwa kuwa angamiza jamii ya watu weusi ambao walikua wameanzisha uasi dhidi ya serikali ya sudan kwa kukosekana usawa,ubaguzi kwene siasa,huduma za jamii na maendeleo.
Sudan military ni jeshi la kawaida la sudan kama lilivo jwtz
 
Nadhan unamaanisha Rsf
RSF ni rapid support force ni kundi lilitokana na kundi la janjaweed (arab nomads) ambalo lilizaliwa miaka 1987/88 maeneo ya sudan hasa darfur lilianza kutumiwa na kupewa support na al bashir miaka ya 2000 ambapo lilitumiwa kuwa angamiza jamii ya watu weusi ambao walikua wameanzisha uasi dhidi ya serikali ya sudan kwa kukosekana usawa,ubaguzi kwene siasa,huduma za jamii na maendeleo.
Sudan military ni jeshi la kawaida la sudan kama lilivo jwtz
RSF miaka hiyo ilipozaliwa members walitoka jeshini au walikusanywa na kupewa mafunzo??

Kipindi hicho walikua waki report kwa Nan? Na baada ya al bashiri kutoka mamlakani kundi lilikua na mwelekeo Gani?
 
Back
Top Bottom