Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
- #81
Wote wamepoteaUnazungumziaje mgogoro uliopo kati ya Wazeee wa hovyo na Vijana wapenda mashangazi
Casualities: Uncountable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote wamepoteaUnazungumziaje mgogoro uliopo kati ya Wazeee wa hovyo na Vijana wapenda mashangazi
Mkuu kwanini mpaka sasa iran wanaongea tuu hv kuna ugumu gani wa kurusha kombora...Wote wamepotea
Casualities: Uncountable
Iran wanafahamu fika bila kwenda taratibu basi ndio utakua mwisho wa serikali hiyo ya kiislam.Mkuu kwanini mpaka sasa iran wanaongea tuu hv kuna ugumu gani wa kurusha kombora...
Mkuu huu si uchambuzi ni chukiBaada ya Iran kupitisha makombora juu ya bunge la Israel Netanyahu alienda kufanyiwa operation ya tezi dume je operation hiyo ilihusisha nyuzi? Kama ilihusisha ameshonwa nyuzi ngapi?
Kheee aiseeVita kati ya mkwa na mdogo wake aliyetawala kutoka lungemba mpaka njombe
Iliyopelekea mkwawa kupigwa na kukimbilia kwa wagogo chief mazengo kuomba msaada wa kijeshi ,ilikuwa mwaka gani
dogo yupi? au dogo sele selemanidogo acha ujinga
Mlisema hivyo hivyo kwamba Iran hawezi kurusha hata jiwe kwenye ardhi ya Mazayuni.Iran wanafahamu fika bila kwenda taratibu basi ndio utakua mwisho wa serikali hiyo ya kiislam.
Tangu mapinduzi ya iran yaliyoiweka serkali ya kiislam madarakan Wairan wamekua wakijipanga na kujalibu kuepusha kilichotokea Iraq au Libya.
Cha Nato kuivamia irani. Huo ndio mkakati uliofanya watengeneze vikundi kila kona ili kuwapotezea focus na lengo ni moja hivi vikundi vifanye kazi kama ni wigo kabla ya kuifikia iran.
Inamaana kabla hujawapiga wao basi itabidi upigane na vikundi hivi.
wewe apodogo yupi? au dogo sele selemani
Nakusikiliza kubwawewe apo
Jalibu✖️Mkuu huu si uchambuzi ni chuki
Hata kama unachuki jalibu kuongea kitu ambacho ungeweza kuongea kama ungekua unatumia acc yenye majina yako halisi na picha yako halisi.
Nadhan usingeongea hivi pia
Abdul Rauf Songea Mbano.Ok
hii ilikua vita ya waafrica dhidi ya wagerumani ambayo ilipiganwa 1905-1907
Kupinga ukoloni na utawala wa kikoloni iliongozwa na kingekitile ngwale
Eneo : Africa mashariki, Tanzania
Elewa kua Iran ina fanya Calculated Risk…Mlisema hivyo hivyo kwamba Iran hawezi kurusha hata jiwe kwenye ardhi ya Mazayuni.
Kilichotokea hata dunia imepigwa na butwaa baada ya Muajemi kutangazia ulimwengu kwamba itaishambulia Israel ndani ya masaa machache na inatekeleza ahadi yake kwa kuiporomoshea drones na missiles Israel moja kwa moja.
🤝
ilikua ni vita ya mongolia empire kuivamia korea mwaka 1231 hadi 1270Uniambie kuhusu vita ya Goryeou na Mongol Empire chini ya genghis khan...chini ya kamanda wake subhutai