Niulize kuhusu mgogoro wa vita wowote duniani nitakujibu papo papo!

Niulize kuhusu mgogoro wa vita wowote duniani nitakujibu papo papo!

vita ya iraq vs irani iliwagarimu wairan wanajeshi 200-600k
Kati ya hao wairan waarabu haijulikani
lakin mgogoro kati ya waarabu wa iran wanao taka kujitenga tangu mwaka 1920 had leo ni kadiri ya watu 500+ wameshafariki.

Ikumbukwe pia iraq aliwatumia awa wapinzania kuvamia iran
Asante.

Actually nilitaka watu (kupitia kwako) wajue kuwa japo Iran si nchi ya kiarabu, ina waarabu na ethinicities nyingine nyingi zisizo za kipersia.
 
Je russia ataishinda ukraine?
Russia anaweza kushinda vita ya UKRAINE
Kadiri vita inavyozidi kuwa ndefu ndivo inavyozidi kuwachosha washirika wa NATO.
Kama russia ataendelea na kasi hyi hyo
Atashinda hii vita.

pia kuna hatari rais ajae wa USA akaachana na kutoa misaasa ukraine
Idadi ya waamerika wanaotoa kura ya maoni kuhusu kuacha au kupunguza misaada marekan imeongezekq
 
Asante.

Actually nilitaka watu (kupitia kwako) wajue kuwa japo Iran si nchi ya kiarabu, ina waarabu na ethinicities nyingine nyingi zisizo za kipersia.
😂😂😂
inafahamika mkuu ila wengi wanadhan wairani ni waarabu kisa tu ni dini na ukanda iliyopo.
Wairan wanajiona superior kwa waarabu
kifupi waarabu wa iran wanaonekana kama second class citizen

kama wanavoonekana ngozi nyeusi sudan
 
Napenda kufuatilia sana migogoro na vita zinazoendelea duniani.

Mambo ya geopolitics.
Nipo hapa kukujibu maswali yako yote kuhusu migogoro mbalimbali duniani.


swalii lolote
Ni nani/watu gani waliopanga vita hivi;
1/.Urusi -->Ukraine,
2/.Israel -->Hamas,
3/.Machafuko ya Congo[DRC],
4/.Machafuko ya Sudan,
5/.Mauaji ya kimbari Rwanda.
Ni kwanini/sababu ni nini?
 
Ni nani/watu gani waliopanga vita hivi;
Urusi -->Ukraine,
Israel -->Hamas,
Machafuko ya Congo[DRC],
Machafuko ya Sudan.
Ni kwanini/sababu ni nini?
Ukraine na russia —— Nato aggression au kujaribu kuizunguka russia by USA.
Russia ye ndo kaanza

Irael Vs Hamas
Huu n mgogoro wa muda mrefu
Chanzo chake ni kutokubaliana kwa waarabu na mgawanyo wa ardhi ya palestine territor
Lakini chanzo cha Octobar 7 inasadikika ulikua n mpango wa iran ili kuzuia mkataba kati ya israel na Saudi arabia.

Machafuko ya kongo
-Hizi ni coporation za ulaya na marekani ambazo zinataka kupora madini hivo zinawatumia nchi vibaraka rwanda na Uganda kuchochea machafuko ya na kutorosha madini

Machafuko ya sudan
Haya yanaanza na dikteta Al bashir ambae alitaka kuigeuza sudan kuwa nchi ya kiislam bila kuzingatia utofauti wa jamii ya sudan
Ikasababisha kujigawa kwa sudan kusini

Lakini kubagaguliwa kwa watu weusi na waarabu wa kasiskazin mwa Sudan kukafanya kuanza upinzani wa maeneo ya kodofan na dafur.
Kupambana nao akawapa silaha kundi la kabila la kiarabu la janjaweed kuvamia na kuwaua raia weusi wa sudan.

Kundi hili ndio linalokuja kujibrand kama RSF.
Kwakua al bashir alitawala kwa mkono wa chuma maandamani ya wasudan yanakua hayaishi hivo mageneral wanaamua kumpindua akisalitiwa na general pia wa kundi lake ambalo ljmekua likimlinda la rsf.

kwa uchu wa kumiliki nchi magenge au makundi haya mawili yanatofautiana kati ya rsf na jeshi la sudan wanaanza kupigana kutaka kila mtu kuchukua nchi.
Katika vita yyte bas wapambe huingia ambao huwa wanatka kufaidi nchi katika upande utaoshinda

UAE ambae alikua akiuziwa madini na RSF inatumia nafasi hii kulisapoti kundi la rsf kwa kuingiza silaha na pesa kupitia bandari za somalia

wakat huo jeshi la sudan nalo likisaidiwa na iran.

Utaka ujue kwanini RSF inakua na nguvu.

Siri ni kua inatumia vifaa vikali kutoa US ambavyo viliuzwa kwa UAE.
UAE inatumia silaha hizi kufadhili vita ya sudan.
 
Ndugu mtaalam, wamekufa sisimizi wangapi tokea vita vianze duniani?. (Thibitisha!)
 
Ndugu mtaalam, wamekufa sisimizi wangapi tokea vita vianze duniani?. (Thibitisha!)
Ni wengi sana ,,,
kwakua hakukua na mtakwimu
aliyejali maisha ya hawa viumbe hivo hakuna mwana historia aliyekua aliyekua anaweka recod

Nakushauri uanze sasa ww
 
Napenda kufuatilia sana migogoro na vita zinazoendelea duniani.

Mambo ya geopolitics.
Nipo hapa kukujibu maswali yako yote kuhusu migogoro mbalimbali duniani.


swalii lolote
Israel vs Hammas, ni mbinu gani za kivita zinatumika?
Ni mateka wangapi wapo chini ya ulinzi mpka sasa?
Vifo ni vya aina gani? Ni silaha zipi zinatumika zaid?
 
Back
Top Bottom