Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
PCM!!?Olevo nimesoma Dr salmin, advance nimesoma ifunda(PCM) chuo nimesoma Udom na udsm bachelor of science in physics na law respectively
Utoto mwiiingiiNi kweli umezaliwa mwaka tajwa kwa maana maandishi na thread zako humu zinaakisi miaka yako.
Then wanajiita superwoman wanafikili kuwa mwanaume ni kazi rahisiYaani akili ya mwanamke huwa ipo katikati ya mapaja yake. Muda wote anawaza uchi wangu uchi wangu[emoji16][emoji16]
Achana na hao watoto, tuyajenge!!Wote ninyi watoto.
Sasa imergine mtoto na mtoto wapi na wapi
Shoga sio mwanamkeSwali; kwakuwa kumezaliwa wa jinsi ya kiume pekeako, tunakubaliana kabisa kwamba tabia za kikekike umeadapt toka kwa dada zako. Kitendo ambacho kilipelekea wewe kutamani ungezaliwa na jinsi ya kike. Je, utakubaliana na mimi kwamba ww una element za kishoga?
Ndio assets take kubwa yaani ndio silaha pekee anayotumia kumuendesha mwanaume. Na mwanaume anavuja jasho ili akapate mwili wa me, yaani Ile Raha anayoipata mwanaume inazidi hata maumivu anayofanya kazi juani siku nzima ama 24hrs bila ya kulala. Yaani kuzaliwa ke tayari Ni mtaji. Sawa na wale wasemao kuwa ulkzaliwa town iyo Ni six kabla hujaenda shule yaani tayari Kuna handi cap kwa wale wanaobeti wanajuaYaani akili ya mwanamke huwa ipo katikati ya mapaja yake. Muda wote anawaza uchi wangu uchi wangu😁😁
Kumbe ni dogo sana kiasi hiki wa 97 PUMBAVU Ukianzisha uzi uanze na SHIKAMOONI WAKUBWA😅Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.
Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku
Asante [emoji120]
Ni wa piliShikamoo mkuu
Umegonga mule mule,
Labda pia atuambie ye ni wangapi kuzaliwa kati ya hao watoto watatu!?
😀 Inasikitisha Sana hata Mimi nimezaliwa 1997 lakini Kuna Mwanamke aliona vyeti vyangu vya kuzaliwa alitamka maneno kama hayo.Yaani akili ya mwanamke huwa ipo katikati ya mapaja yake. Muda wote anawaza uchi wangu uchi wangu😁😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ku
PCM!!?
Shikamoo mkuu
Huenda ni lastborn na ndiyo maana akajikuta ana reflect tabia za dada zakeShikamoo mkuu
Umegonga mule mule,
Labda pia atuambie ye ni wangapi kuzaliwa kati ya hao watoto watatu!?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mpwayungu village umekuwa agent??Kumbe wewe ni litoto lidogo hvyo,imekuwaje walimu unawachukia ukiwa kwenye umri mdogo hvyo?
Hzo safar zako za mwanza,burundi,rwanda,tabora huwa unatafuta nn au ndo unasambaza vilainishi
Nawapenda sana, nachukia walimu tuJe bado unawachukia wanawake?
Olevo nimesoma Dr salmin, advance nimesoma ifunda(PCM) chuo nimesoma Udom na udsm bachelor of science in physics na law respectively
Siku hizi uchi unapatikana kirahisi Kwa bei chee kuliko Wali maharage Kwa mama bongeNdio assets take kubwa yaani ndio silaha pekee anayotumia kumuendesha mwanaume. Na mwanaume anavuja jasho ili akapate mwili wa me, yaani Ile Raha anayoipata mwanaume inazidi hata maumivu anayofanya kazi juani siku nzima ama 24hrs bila ya kulala. Yaani kuzaliwa ke tayari Ni mtaji. Sawa na wale wasemao kuwa ulkzaliwa town iyo Ni six kabla hujaenda shule yaani tayari Kuna handi cap kwa wale wanaobeti wanajua
Je kwa umri uo wa 26 hauoni umri sahihi wa kuishi katika utakatifu na kuhubiri upendo na HakiNawapenda sana, nachukia walimu tu
Mgogo jeuri🤣🤣Hata sijamwelewa, sasa anivulie chupi ili nivae mimi au niishone?
Ulikaa bweni lipi mkuu, seuta, chabruma, mirambo au mkwawa97 nilikua form one hapo Ifunda Tech.