Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

Niulizeni swali lolote lile kuhusu mimi, leo nipo tayari hata kufichua identification

Yaani akili ya mwanamke huwa ipo katikati ya mapaja yake. Muda wote anawaza uchi wangu uchi wangu😁😁
Ndio assets take kubwa yaani ndio silaha pekee anayotumia kumuendesha mwanaume. Na mwanaume anavuja jasho ili akapate mwili wa me, yaani Ile Raha anayoipata mwanaume inazidi hata maumivu anayofanya kazi juani siku nzima ama 24hrs bila ya kulala. Yaani kuzaliwa ke tayari Ni mtaji. Sawa na wale wasemao kuwa ulkzaliwa town iyo Ni six kabla hujaenda shule yaani tayari Kuna handi cap kwa wale wanaobeti wanajua
 
Kiufupi nilizaliwa kijiji cha mpwayungu Kata ya mpwayungu tarafa ya mpwayungu iliyoko wilaya ya chamwino mkoani dodoma mwaka 1997. Tupo watatu ktk Familia yetu wawili wasichana na mimi ni mtoto WA kiume pekee ktk familia yetu.

Kijiji cha mpwayungu kimepakana na vijiji kadhaa Kwa upande wa mashariki kimepakana na kalenga, upande wa magharibi kimepakana na huzi, upande wa kaskazini kimepakana na kijiji cha Nagulo na upande wa kusini kimepakana na Nghambaku

Asante [emoji120]
Kumbe ni dogo sana kiasi hiki wa 97 PUMBAVU Ukianzisha uzi uanze na SHIKAMOONI WAKUBWA😅
 
Ndio assets take kubwa yaani ndio silaha pekee anayotumia kumuendesha mwanaume. Na mwanaume anavuja jasho ili akapate mwili wa me, yaani Ile Raha anayoipata mwanaume inazidi hata maumivu anayofanya kazi juani siku nzima ama 24hrs bila ya kulala. Yaani kuzaliwa ke tayari Ni mtaji. Sawa na wale wasemao kuwa ulkzaliwa town iyo Ni six kabla hujaenda shule yaani tayari Kuna handi cap kwa wale wanaobeti wanajua
Siku hizi uchi unapatikana kirahisi Kwa bei chee kuliko Wali maharage Kwa mama bonge
 
Back
Top Bottom