Niwape maua yenu Wasabato, mnajua kuimba nyimbo za dini

Hilo tatizo la kufutwa nyuzi hata mimi jana lilinikumba niliweka zikafutwa bila hata kuchangiwa sijui shida nini ?

Hizo nyimbo za SDA kwaya gani zimeimba ? Unaweza weka majina ya kwaya kama utaweza tafadhali
Angalia hapa..
Upendo na yundo imeimbwa na Pillars of faith
Hoziana _ ambassador
Mungu si binaadam na chungi amalo rongo central youth choir

 

Sawa wasabato wanaimba vyema, ila ukizungumzia ufundi RC wanatia fora!!!
...unaifahamu organ vizuri kweli inavyokung'utwa na mafundi wa RC!?
Halafu ujue nyimbo wanazoimba RC ukimpa anayefundisha wasabato afundishe kitakachosikika mwishoni ni discord tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…