Kama kuzalia nyumbani ni laana na kutelekeza mtoto je nini?Ni sawa na laana ya kuzalishwa mkiwa nyumbani itakavyoendelea kuwatafuna. Maji yamefuata mkondo yawezekana Bibi yako alizalia nyumbani, Mama akazalia nyumbani na nyie mmerithi na mnaendelea kudumisha mila zenu za kuzalia nyumbani.
Sitaki kuandika mambo yangu personal hapa. Ukihitaji kunijua nakukaribishaHata mimi sifurahii hivyo vifo ila kitendo cha kumtetea huyo mwamba unaonesha ni kiasi gani umewahi kukataa mimba ndio maana unaona jambo la kawaida
Hitaji lenu la ndoa litaendelea kuwepo miaka nenda rudi na hata vitabu vitakatifu vimeandika acha kupata hasira kwa sababu muda umeenda na hakuna tumaini jipya kwako.Kwa nini mna amini Wanawake ndio tunashidaa sana ya ndoa kuliko nyinyi
Bila shaka huyu aliwahi zalisha mwanamke akamuacha hili limemchoma na kama kweli aliwahi fanya ivo Mungu akamuadhibu kwa kipimo kile kile Cha maumivu walichopitia familia ya dada wa watuHata wewe una amini vitu vya ajabu kwa sababu umepaniki kumjibu mtoa mada.kilichomrudisha huyo mwamba nini baada ya watoto wake kufariki nadhani nafsi inamsuta anaona kuna dhambi alitenda acha kutetea ujinga
Kutekeleza ni jambo pana sana haliwezi kutafsiriwa na sentensi moja ya "kutokuoa" kutokuoa siyo kutelekeza elewa hilo.Kama kuzalia nyumbani ni laana na kutelekeza mtoto je nini?
wee ni fala, aliye to**bwa ni dada yako...Dada angu aliolewa ye aliomba mtoto wake
Na kusema ukweli mim nilivoskia ivo bila unafki nilifurahi maana nakumbuka miaka Ile dada angu alitaka kufa
Kumbe kuzalia nyumbani ni laana ila nyie kuoa kufiwa na kuachika sio laanaNi sawa na laana ya kuzalishwa mkiwa nyumbani itakavyoendelea kuwatafuna. Maji yamefuata mkondo yawezekana Bibi yako alizalia nyumbani, Mama akazalia nyumbani na nyie mmerithi na mnaendelea kudumisha mila zenu za kuzalia nyumbani.
"Sitaki kuandika mambo yangu personal hapa" ukitaka kunijua nakukaribishaBila shaka huyu aliwahi zalisha mwanamke akamuacha hili limemchoma na kama kweli aliwahi fanya ivo Mungu akamuadhibu kwa kipimo kile kile Cha maumivu walichopitia familia ya dada wa watu
Cheka kifala maana ufala ni kiungo nilichokiona mwilini mwako.Kumbe kuzalia nyumbani ni laana ila nyie kuoa kufiwa na kuachika sio laana
Ha ha ha ha ha nacheka kifala
Nani anataka kuzijua mbao za mawe mwishowe zitudondokee tufe."Sitaki kuandika mambo yangu personal hapa" ukitaka kunijua nakukaribisha
It's a win win narudia hakumuoa, kaolewa kwingine na mapacha watatu juu alioa akazaa akafiwa wakaachana na mkewe end of the storyCheka kifala maana ufala ni kiungo nilichokiona mwilini mwako.
Kuna sehemu walikubaliana kuwa akimzalisha huyo mdogo wako atamuoa? Kama walikuwa wanafanya umalaya kwa starehe zao bila kuwa na malengo ya ndoa kwanini leo mnamlaumu huyo jamaa. Kwa tabia kauli zako hizi inaonekana familia yenu suala la ndoa ni suala gumu sana.
Endelea kupiga zumari ila tambua wanawake wengi mmejikuta mnaingia kwenye mkumbo wa kuomba mabaya kwa wanaume kisha hamkuolewa nao kwa mahusiano ya bahati mbaya. Ndoa ni safari haitokei ghafla tu kisa tu unajua kuzaa basi unaolewa.Nani anataka kuzijua mbao za mawe mwishowe zitudondokee tufe.
Mi nazijua mbao za miti inatosha.
Sasa povu lako ni la nini? Kumbe formula yenu ili uolewe lazima uzalie nyumbani kama Bibi au Mama yako ndipo uolewe sasa kipi kinakulalamisha hapa.It's a win win narudia hakumuoa, kaolewa kwingine na mapacha watatu juu alioa akazaa akafiwa wakaachana na mkewe end of the story
[emoji23][emoji23]Kama umeolewa jitihada kumpikia mumeo vyakula visivyo na mafuta mengi maana kuishi na wewe tu anapata rehemu ya kutosha.
The bad thing ni kwamba wanaume mnajiona Mungu sana kama dada angu aliachwa kwa ujuaji what about the other one maana kuzaa kufiwa sio sababu ya kuacha wakwanza alikua na tatzo na uyu wapili ana tatizo and he's still rightEndelea kupiga zumari ila tambua wanawake wengi mmejikuta mnaingia kwenye mkumbo wa kuomba mabaya kwa wanaume kisha hamkuolewa nao kwa mahusiano ya bahati mbaya. Ndoa ni safari haitokei ghafla tu kisa tu unajua kuzaa basi unaolewa.
Wanaume hawaio wanaojua kuzaa tu, kuna ziada mbali na kuzaa. Mbuzi nao wanazaa vilevile nao waolewe kisa tu wanajua kuzaa kama wewe.
Jengeni mahusiano yenye kuwapeleka kwenye ndoa, msijenge mahusiano ya kimalaya kisha mkayalazimisha kuwa ndoa hata mkifanikiwa kuolewa HAMTODUMU NDOANI.
Una hasira wewe kaka khaSasa povu lako ni la nini? Kumbe formula yenu ili uolewe lazima uzalie nyumbani kama Bibi au Mama yako ndipo uolewe sasa kipi kinakulalamisha hapa.
Ndoa ni uwanda mpana si uzao, jifunze kujifunza.
Pole sana umeishiwa hoja mkuu miaka miwili iliyopita nilifunga ndoa pole kwa kudhani kila anayepingana nawe ni Single Mama na hayuko kwenye ndoaHitaji lenu la ndoa litaendelea kuwepo miaka nenda rudi na hata vitabu vitakatifu vimeandika acha kupata hasira kwa sababu muda umeenda na hakuna tumaini jipya kwako.
Wanaume ndiyo wajenzi wa familia (ndoa) wao ndiyo wanajua waanza kujenga wapi ndoa na mtu yupi sahihi kwa ajili ya kujenga ndoa hiyo.The bad thing ni kwamba wanaume mnajiona Mungu sana kama dada angu aliachwa kwa ujuaji what about the other one maana kuzaa kufiwa sio sababu ya kuacha wakwanza alikua na tatzo na uyu wapili ana tatizo and he's still right
Shenzi
Mungu awaadhibu kwa mbao za mawe
We jobless una mambo gani personal andika hapa"Sitaki kuandika mambo yangu personal hapa" ukitaka kunijua nakukaribisha
Tunaandika chochote kile tunachoona ni sawa ili kurahisisha mambo na tuonekane sisi si wa kawaida. Suala la kuolewa ni lako na mumeo iwe amekukuta single mama au ni suala lake.Pole sana umeishiwa hoja mkuu miaka miwili iliyopita nilifunga ndoa pole kwa kudhani kila anayepingana nawe ni Single Mama na hayuko kwenye ndoa