Nahisi Maalim hana team work na wenzake.nilitegemea afanye vyema.Kuna wagombea ubunge wa ACT waliandika jina la chama kama Maalim hapo "ACT Wazalendo". Wameenguliwa kwa kutokuweka "-" yaani "ACT-Wazalendo". Naona Maalim naye hakuweka hako ka-. Yaani hata mimi mkulima nilikwishajua kuwa kutokuweka hako ka - inaweza kuwa nongwa. Maalim bado hajajua tu?
Mbona hujaweka sababu ya pingamizi wakati ameisema wazi tarehe za kiapo ni za nyuma kabla ya kuanza zoezi? Watu wengine kama wewe hovyo kabisa.
Naam mkuu. Wewe kama unajua kuwa unawindwa tayari lazima uwe makini. Zaidi ya hilo, fomu tunayoiona hapa ambayo inasemekana ni ya Maalim, imeandika Transparency kuwa ni Trasparency. Chama hiki hakina wanasheria? Wanasheria wameona hii ni sawa tu? Lakini Maalim alitakiwa ajifunze kutoka kwa wagombea wake wa ubunge na udiwani walioenguliwa kwa makosa kama haya.
Siamini Kama kweli hii fomu ni ya maalim Seif hii, inawezekana imeletwa ili tujadili na tuponde tume kuwa inamuonea na kuonesha kuwa hajakosea lakini kumbe aliye ileta hii fomu amejichanganya Kuna makosa makubwa sana hapo kwenye hiyo fomu ambayo wanasheria wakiyakomalia na busara zisipo tumika basi maalim ataenguliwa kweli.
Tatizo la kuwapa nchi wahutu hawana uchunguTumepeleka Pemba jeshi la kutosha, atakayejinganya kuingia road atakuwa halali ya Meko
Hiyo ni logo kiongozi, usichanganye na jina la chama.Vipi hapa Angalia letter headView attachment 1565733View attachment 1565733
Trasparency badala ya transparency.Mkuu hizo technicalities unazozungumzia wewe hebu tuoneshe hapo kwenye hicho kielelezo.
tunahitaji ushahidi gani tena kuamini kuwa tunaongozwa na watu wapuuzi. eti amekosea tarehe inatia hasira kwa kweli. kakosea?!!! kwa hiyoKukosea tarehe ndio itunyime kumpata Rais bora.. mbona watanzania tunakua wehu kiasi hiki.
Kama terehe imekosewa inarejebishwa na mambo yanaendelea.
Kuna mamno serious ambayo kweli mtu hastahili kuwa Rais.
Kama makosa ya jinai etc
Hata deni la serena ni izushi mkubwa.
7/07 -2020 bado utaratibu ulikua haujaanza kama ni ivoUkiangalia fomu ipo sawa haijakosewa. Mkurugenzi wa tume alisema alijaza Tarehe 7/7 2020, hapa kwenye fomu inaonyesha wazi amejaza tarehe 7/09.
Tusubiri jibu la tume kuhusu hilo pingamizi. Natumaini haki itatendeka.
View attachment 1565612
Viongozi wangu wa upinzani. Mkishajua kuwa mnatafutwa kwa udi na uvumba, punguzeni sababu za shetwani kuwavamia. Naona hata mwandiko wa mwapishwaji na mwapishaji uko sawa. Fomu imejazwa pote na mtu mmoja. Wino tu wa kalamu ndio umebadilishwa (mweusi na bluu). Maalim hawezi kujaza fomu mwenyewe ili kuepusha uwezekano wa "kuuzwa"?
Technicalities gani hapo sasa??Hizo zinaitwa technicalities ni mambo ya kawaida kabisa.
Kama ni mdau wa mahakama wala hata hutashangazwa nayo.
But technicalities nyingine sio fatal mkuuHizo zinaitwa technicalities ni mambo ya kawaida kabisa.
Kama ni mdau wa mahakama wala hata hutashangazwa nayo.
Nyie kunjeni hiyo saba kuwa tisa halafu mmelete hapa jukwaani Kama utetezi tuone kama mtafanikiwaUkiangalia fomu ipo sawa haijakosewa. Mkurugenzi wa tume alisema alijaza Tarehe 7/7 2020, hapa kwenye fomu inaonyesha wazi amejaza tarehe 7/09.
Tusubiri jibu la tume kuhusu hilo pingamizi. Natumaini haki itatendeka.
View attachment 1565612
una uhakika na usemacho au una buni tu?Ukiangalia fomu ipo sawa haijakosewa. Mkurugenzi wa tume alisema alijaza Tarehe 7/7 2020, hapa kwenye fomu inaonyesha wazi amejaza tarehe 7/09.
Tusubiri jibu la tume kuhusu hilo pingamizi. Natumaini haki itatendeka.
View attachment 1565612
Ndio maana jana nilikuja na hii mada:Kukosea tarehe ndio itunyime kumpata Rais bora.. mbona watanzania tunakua wehu kiasi hiki.
Kama terehe imekosewa inarejebishwa na mambo yanaendelea.
Kuna mamno serious ambayo kweli mtu hastahili kuwa Rais.
Kama makosa ya jinai etc
Hata deni la serena ni izushi mkubwa.
Pingamizi la magufuli halikuwa technicalitiesHizo zinaitwa technicalities ni mambo ya kawaida kabisa.
Kama ni mdau wa mahakama wala hata hutashangazwa nayo.
Hallucination hizo umeandika vitu hewa vya kuokoteza hewaniMaalim alipaswa kuwa preemptive kama lisu alivyofanya huku bara
Baada ya lisu kupata tetesi kwamba wanampango wa kumuwekea pingamizi akawaabarisha john naye ajiandae kukutana tume kutoa utetezi wake,wote tunajua nn kilitokea
Akina lipumba ambao waliandaliwa kwa kazi hiyo waliyeyuka kama barafu
The same na zenji angetishia kumuwekea pingamizi mwinyi haya yasingetokea,
Tusije kishangaa uchaguzi ukaishia hapo na mwinyi kupita bila kupingwa.
Ccm sio wa kucheka nao