Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Wewe tumia nondo zako zote hata uchawi we tumia tu ILA HAPA NAKUPIGA NA NENO LA MUNGU TU, LIJI-KOTI SIJUI LIJIMIX UTAJUA WEWE MIMI NAKUGONGA NA Neno.

Shika Neno tenda Neno.. Mungu Yupo...

Zaburi 14:1-6
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,
Hakuna atendaye mema.
Toka mbinguni BWANA aliwachungulia wanadamu,
Aone kama yuko mtu mwenye akili,
Amtafutaye Mungu.
Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja,
Hakuna atendaye mema,
La! Hata mmoja.
Je! Wote wafanyao maovu hawajui?
Walao watu wangu kama walavyo mkate,
Hawamwiti BWANA.
Hapo ndipo walipoingiwa na hofu nyingi,
Maana Mungu yupo pamoja na kizazi cha haki.
Mnalitia aibu shauri la mtu mnyonge,
Bali BWANA ndiye aliye kimbilio lake."

Karibuni wapendwa.
 
Mkuu Kurunzi ukipata muda pitia pitia huu uzi upate mawili matatu, mimi nimesoma wote!
Soma na hii mkuu aise

Zaburi 14:1-6
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,
Hakuna atendaye mema.
Toka mbinguni BWANA aliwachungulia wanadamu,
Aone kama yuko mtu mwenye akili,
Amtafutaye Mungu.
Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja,
Hakuna atendaye mema,
La! Hata mmoja.
Je! Wote wafanyao maovu hawajui?
Walao watu wangu kama walavyo mkate,
Hawamwiti BWANA.
Hapo ndipo walipoingiwa na hofu nyingi,
Maana Mungu yupo pamoja na kizazi cha haki.
Mnalitia aibu shauri la mtu mnyonge,
Bali BWANA ndiye aliye kimbilio lake."
 
Wapumbavu tu ndio husema HAKUNA MUNGU... Kama unaweza ukajitutumua jitutumue hata kwa nondo za kichawi wewe leta tu.. MIMI NAKUGONGA NA NENO TAKATIFU, HEBU PITIA HAPA CHINI... KISHA Jipigepige kifuani sema "Mimi mpumbavu, kumbe Mungu Yupo"... Hahahahah



Zaburi 14:1-6
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,
Hakuna atendaye mema.
Toka mbinguni BWANA aliwachungulia wanadamu,
Aone kama yuko mtu mwenye akili,
Amtafutaye Mungu.
Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja,
Hakuna atendaye mema,
La! Hata mmoja.
Je! Wote wafanyao maovu hawajui?
Walao watu wangu kama walavyo mkate,
Hawamwiti BWANA.
Hapo ndipo walipoingiwa na hofu nyingi,
Maana Mungu yupo pamoja na kizazi cha haki.
Mnalitia aibu shauri la mtu mnyonge,
Bali BWANA ndiye aliye kimbilio lake."
 
Aliyeandika hicho kitabu naye ni mzembe wa kufikiri au hakuitumia akili yake sawasawa. Au Mungu anauza! Hivyo akaamua kupata soko!

Ukichunguza kila kitu kinachofanya kazi kuanzia kwenye mwili wa binadamu mfano jicho tu hutaweka huu uzi.

Socrate, Aristotle, Pilato na wengineo kwenye maneno yao yaliyohifadhiwa walisema kwenye huu ulimwengu creater lazima atakuwepo, na si the big bang bali kilichosababisha the big bang.
Unachotumia wewe ni Teleological Argument au Argument from design

Kuwa kitu complex kama Jicho, moyo au ubongo haviwezi tokea tu bila kuundwa, hivyo aliyehusika kuviunda ndiye tunamuita Mungu

Hii hoja ishakuwa debunked mara kibao, ina refutations zaidi ya 100

Hapa hapa JamiiIntelligence ishakuwa refuted kama unafatilia hii mijadala

Una assume njia pekee ya kupata kitu complex kama Jicho la binadamu ni by intelligent design

unatengeneza False dilemma,njia nyingine ya kupata kitu complex kama hicho ni biological evolution na natural selection

Ubaya mnaingia kwenye hizi discussion mkiwa empty headed, siwezi kukufundisha evolution hapa tenga mda wako ujifunze ili uipinge kwa fact

Kila organ katika mwili wako ina historia yake ndefu kwenye evolution

So kwakua hujui chochote kuhusu evolution, tu stick kwenye hoja yako

Hii ndio hoja yako

1.Kitu chochote complex lazima kiwe na designer,hakiwezi tokea tu
By neno complex, tuna maana ya kitu ambacho well organized, kinafanya kazi katika namna inayofata mtiririko kiasi kwamba hakiwezi tokea tu kwa bahati

Ukilinganisha na vitu simple tu, ambayo vinaweza tokea tu kwa bahati, kama jiwe unalokutana nalo njiani

Mark hio premise ya kwanza, hii ni sheria iliyoamua kuitumia kujenga hoja yako

Hili hoja yako iwe sahihi, ni lazima hii sheria uishikirie mpaka mwisho

2.Jicho la binadamu ni complex lazima liwe na designer

3.Huyo designer ndiye Mungu

Sasa swali la msingi hapa Mungu ni complex au simple?

Ni bayana, sio simple
Hawezi kuwa sawa na jiwe, Mungu mwenye uwezo wa kuumba ubongo wenye uwezo wa kujitambua, au jicho linaloweza tofautisha mamillion ya rangi

Ni far much complex kuliko chochote alichokiumba

Utakua mjinga ukisema Mungu unayemuamini wewe ni simple kuliko wewe

Kwa hio Mungu ni complex, tukirejea premise ya kwanza ambayo ndio msingi wa hoja yako Mungu naye ni lazima awe na designer ambae ni far much complex na huyo designer lazima pia awe na designer

List haiishi, kwenye logic tunaiita infinite regression

Sasa ukisema Mungu pamoja na kuwa complex zaidi ya Jicho anaweza kutokea tu bila kuundwa wala kuwa na chazo, kwanini kitu less complex kama jicho kiundwe?

Kama kitu kikubwa kama Airbus kinaweza tokea tu chenyewe (Mungu) kwanini kijiko kisitokee tu chenyewe (jiko)

So hoja yako hapo juu inajifunga yenyewe, ni self defeating

Pia huyo designer hata kama yupo haina maana kuwa ni Mungu huyo unayemuamini wewe

Haina maana ndiye Mungu wa dini yako, au Mungu wa biblia au Quran

Kwenye hoja yako wapi ume prove hivyo?

Na sio lazima awe single designer wanaweza wakawa team, kipi kinafanya uamini ni mmoja

Kama kweli unafahamu unachokitetea hebu jibu hii hoja?
 
Soma na hii mkuu aise

Zaburi 14:1-6
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,
Hakuna atendaye mema.
Toka mbinguni BWANA aliwachungulia wanadamu,
Aone kama yuko mtu mwenye akili,
Amtafutaye Mungu.
Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja,
Hakuna atendaye mema,
La! Hata mmoja.
Je! Wote wafanyao maovu hawajui?
Walao watu wangu kama walavyo mkate,
Hawamwiti BWANA.
Hapo ndipo walipoingiwa na hofu nyingi,
Maana Mungu yupo pamoja na kizazi cha haki.
Mnalitia aibu shauri la mtu mnyonge,
Bali BWANA ndiye aliye kimbilio lake."
Nilishaisoma tangu utoto na mpaka leo haijanisaidia chochote mkuu!
Kwa ufupi mungu hajawahi kunisaidia na wala sitarajii anisaidie
 
Wapumbavu tu ndio husema HAKUNA MUNGU... Kama unaweza ukajitutumua jitutumue hata kwa nondo za kichawi wewe leta tu.. MIMI NAKUGONGA NA NENO TAKATIFU, HEBU PITIA HAPA CHINI... KISHA Jipigepige kifuani sema "Mimi mpumbavu, kumbe Mungu Yupo"... Hahahahah



Zaburi 14:1-6
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,
Hakuna atendaye mema.
Toka mbinguni BWANA aliwachungulia wanadamu,
Aone kama yuko mtu mwenye akili,
Amtafutaye Mungu.
Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja,
Hakuna atendaye mema,
La! Hata mmoja.
Je! Wote wafanyao maovu hawajui?
Walao watu wangu kama walavyo mkate,
Hawamwiti BWANA.
Hapo ndipo walipoingiwa na hofu nyingi,
Maana Mungu yupo pamoja na kizazi cha haki.
Mnalitia aibu shauri la mtu mnyonge,
Bali BWANA ndiye aliye kimbilio lake."

Wapumbavu tu ndio husema HAKUNA MUNGU... Kama unaweza ukajitutumua jitutumue hata kwa nondo za kichawi wewe leta tu.. MIMI NAKUGONGA NA NENO TAKATIFU, HEBU PITIA HAPA CHINI... KISHA Jipigepige kifuani sema "Mimi mpumbavu, kumbe Mungu Yupo"... Hahahahah



Zaburi 14:1-6
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,
Hakuna atendaye mema.
Toka mbinguni BWANA aliwachungulia wanadamu,
Aone kama yuko mtu mwenye akili,
Amtafutaye Mungu.
Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja,
Hakuna atendaye mema,
La! Hata mmoja.
Je! Wote wafanyao maovu hawajui?
Walao watu wangu kama walavyo mkate,
Hawamwiti BWANA.
Hapo ndipo walipoingiwa na hofu nyingi,
Maana Mungu yupo pamoja na kizazi cha haki.
Mnalitia aibu shauri la mtu mnyonge,
Bali BWANA ndiye aliye kimbilio lake."
Tupe uhusiano uliopo kati ya Mungu na biblia mimi naamin kuna Mungu lakini sio wa kwenye biblia
 
Nilishaisoma tangu utoto na mpaka leo haijanisaidia chochote mkuu!
Kwa ufupi mungu hajawahi kunisaidia na wala sitarajii anisaidie
Marko 7:7
Nao waniabudu bure,
Wakifundisha mafundisho
Yaliyo maagizo ya wanadamu,
 
Kwenye Biblia Takatifu Hakuna Mungu, Kuna Neno lake Ambalo ndilo muongozo.

Unaamini Kuna Mungu, umefahamu vipi uwepo wake?
Nacho hoji uwepo wa Mungu wa kweli unathibitika vipi na biblia kuwa ndio neno la huyo Mungu wa kweli na isiwe Quran au vitabu vingine
ambavyo vyote vinadai kuwa la neno la Mungu wa kweli au Mungu aliyeongelewa katika vitabu vyote ni mmoja lakini maelezo yanapishana???
 
Soma na hii mkuu aise

Zaburi 14:1-6
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,
Hakuna atendaye mema.
Toka mbinguni BWANA aliwachungulia wanadamu,
Aone kama yuko mtu mwenye akili,
Amtafutaye Mungu.
Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja,
Hakuna atendaye mema,
La! Hata mmoja.
Je! Wote wafanyao maovu hawajui?
Walao watu wangu kama walavyo mkate,
Hawamwiti BWANA.
Hapo ndipo walipoingiwa na hofu nyingi,
Maana Mungu yupo pamoja na kizazi cha haki.
Mnalitia aibu shauri la mtu mnyonge,
Bali BWANA ndiye aliye kimbilio lake."
Hadi mpumbavu ameweza kujua hakuna Mungu, we timamu umeshindwa vipi?
 
Why you think they are created??
Mwanzo 1:1-31
Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.
Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.
Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.
Mungu akalifanya anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.
Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.
Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.
Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Mungu akasema, Nchi na itoe majani, mche utoao mbegu, na mti wa matunda uzaao matunda kwa jinsi yake, ambao mbegu zake zimo ndani yake, juu ya nchi; ikawa hivyo.
Nchi ikatoa majani, mche utoao mbegu kwa jinsi yake, na mti uzaao matunda, ambao mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu.
Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili na majira na siku na miaka;
tena iwe ndiyo mianga katika anga la mbingu itie nuru juu ya nchi; ikawa hivyo.
Mungu akafanya mianga miwili mikubwa, ule mkubwa utawale mchana, na ule mdogo utawale usiku; akafanya na nyota pia.
Mungu akaiweka katika anga la mbingu, itie nuru juu ya nchi
na kuutawala mchana na usiku na kutenga nuru na giza; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya nne.
Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi na kitu kiendacho chenye uhai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu.
Mungu akaumba nyangumi wakubwa, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho, ambavyo maji yalijawa navyo kwa wingi kwa jinsi zao, na kila ndege arukaye, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Mungu akavibarikia, akisema, Zaeni, mkaongezeke, mkayajaze maji ya baharini, ndege na wazidi katika nchi.
Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tano.
Mungu akasema, Nchi na izae kiumbe hai kwa jinsi zake, mnyama wa kufugwa, nacho kitambaacho, na wanyama wa mwitu kwa jinsi zake; ikawa hivyo.
Mungu akafanya mnyama wa mwitu kwa jinsi zake, na mnyama wa kufugwa kwa jinsi zake, na kila kitu kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;
na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.
Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita."

KULA NENO TAKATIFU HILO... UKITAKA UTAKULA USIPOTAKA UTAKULA PIA, MUNGU YUPO... Unless Otherwise uje na hoja inayosema Mungu hayupo.. theory zote zimeshindwaaa.
 
Nacho hoji uwepo wa Mungu wa kweli unathibitika vipi na biblia kuwa ndio neno la huyo Mungu wa kweli na isiwe Quran au vitabu vingine
ambavyo vyote vinadai kuwa la neno la Mungu wa kweli au Mungu aliyeongelewa katika vitabu vyote ni mmoja lakini maelezo yanapishana???
Hilo nilishakujibu kitambo, sema wewe mvivu kujichunguza, Soma hapa chini.. (NILIKUJIBU KITAMBO)
Hahahaha

Wale wenye ID tatu tatuuu njooni piaaa... "Mnajitekenya na kuchekaa wenyewee"...

Wengine mnakuja Kama mnaingiaaa kumbe mnatokaaa... Hahahahhahah..

Wengine mnajifanya kondoo (Kulingana na maelezo yenu) kumbe Chui (Uhalisia wenu)

Intelejensia ya Rohoni imetanda mahali hapa..

Karibuni wapendwa
Naomba na Mimi unijibu..

Wewe ulifahamu vipi uwepo wa Mungu?
 
Mwanzo 1:1-31
Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.
Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.
Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.
Mungu akalifanya anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.
Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.
Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.
Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Mungu akasema, Nchi na itoe majani, mche utoao mbegu, na mti wa matunda uzaao matunda kwa jinsi yake, ambao mbegu zake zimo ndani yake, juu ya nchi; ikawa hivyo.
Nchi ikatoa majani, mche utoao mbegu kwa jinsi yake, na mti uzaao matunda, ambao mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu.
Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili na majira na siku na miaka;
tena iwe ndiyo mianga katika anga la mbingu itie nuru juu ya nchi; ikawa hivyo.
Mungu akafanya mianga miwili mikubwa, ule mkubwa utawale mchana, na ule mdogo utawale usiku; akafanya na nyota pia.
Mungu akaiweka katika anga la mbingu, itie nuru juu ya nchi
na kuutawala mchana na usiku na kutenga nuru na giza; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya nne.
Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi na kitu kiendacho chenye uhai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu.
Mungu akaumba nyangumi wakubwa, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho, ambavyo maji yalijawa navyo kwa wingi kwa jinsi zao, na kila ndege arukaye, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Mungu akavibarikia, akisema, Zaeni, mkaongezeke, mkayajaze maji ya baharini, ndege na wazidi katika nchi.
Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tano.
Mungu akasema, Nchi na izae kiumbe hai kwa jinsi zake, mnyama wa kufugwa, nacho kitambaacho, na wanyama wa mwitu kwa jinsi zake; ikawa hivyo.
Mungu akafanya mnyama wa mwitu kwa jinsi zake, na mnyama wa kufugwa kwa jinsi zake, na kila kitu kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;
na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.
Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita."

KULA NENO TAKATIFU HILO... UKITAKA UTAKULA USIPOTAKA UTAKULA PIA, MUNGU YUPO... Unless Otherwise uje na hoja inayosema Mungu hayupo.. theory zote zimeshindwaaa.
Haya maneno unayo ya quote sio kwamba watu hawayajui lakin yameshindwa kuwashawish.
Mungu wa kweny biblia amechorwa kama Mtu ni kweli Mungu anahtaji kiti cha enzi kukaa au macho kuona au miguu kutembea wakati ni roho
Mungu anaweza vipi kuwa na wivu, chuki na hasira wakati anajitosheleza haitaji kitu kutoka nje kumtosheleza.
Waroma walijaribu kutumia bible kuprove mambo yao waliishia kuomba msamaha kuhusu kuwaua galilei galeo na bruno.
 
Unaweza kumuelezea Mungu wa kwenye biblia ukaeleweka
Wewe kichwa chako sina shaka kina dosari.. Hebu Soma Tena hapa (MBONA UMEKAZANA KUSEMA MUNGU WA KWENYE BIBLIA??...) Kichwani Kuna mafinyufinyuu humo... Soma hapa chini.
Kwenye Biblia Takatifu Hakuna Mungu, Kuna Neno lake Ambalo ndilo muongozo.

Unaamini Kuna Mungu, umefahamu vipi uwepo wake?
Umeelewa Sasa?

Haya Jibu Mkuki wa Moto huu..

"Wewe umefahamu vipi uwepo wa Mungu?"
 
Hilo nilishakujibu kitambo, sema wewe mvivu kujichunguza, Soma hapa chini.. (NILIKUJIBU KITAMBO)

Naomba na Mimi unijibu..

Wewe ulifahamu vipi uwepo wa Mungu?
Mungu wangu ni universal consious na sio huyo aliye be proclaimed kweny bible .
Afu kuwa open minded accept challenge kuhusu imani yako.
Umekubali kuamin blindly that why unaona haya maswali ni kukudhihaki nimebatizwa kitambo so hizo quote za bible nazijua
 
Haya maneno unayo ya quote sio kwamba watu hawayajui lakin yameshindwa kuwashawish.
Mungu wa kweny biblia amechorwa kama Mtu ni kweli Mungu anahtaji kiti cha enzi kukaa au macho kuona au miguu kutembea wakati ni roho
Mungu anaweza vipi kuwa na wivu, chuki na hasira wakati anajitosheleza haitaji kitu kutoka nje kumtosheleza.
Waroma walijaribu kutumia bible kuprove mambo yao waliishia kuomba msamaha kuhusu kuwaua galilei galeo na bruno.
Umesema Mungu yupo..

"Ulifahamu vipi uwepo wa Mungu?"... Jibu Mkuki wa Sumu huo.
 
Wewe kichwa chako sina shaka kina dosari.. Hebu Soma Tena hapa (MBONA UMEKAZANA KUSEMA MUNGU WA KWENYE BIBLIA??...) Kichwani Kuna mafinyufinyuu humo... Soma hapa chini.

Umeelewa Sasa?

Haya Jibu Mkuki wa Moto huu..

"Wewe umefahamu vipi uwepo wa Mungu?"
mbona unapinga sio Mungu wa kwenye biblia?? ni Mungu wa Quran au??
 
Back
Top Bottom