Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Mwanzo 1:1-31
Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.
Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.
Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.
Mungu akalifanya anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.
Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.
Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.
Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Mungu akasema, Nchi na itoe majani, mche utoao mbegu, na mti wa matunda uzaao matunda kwa jinsi yake, ambao mbegu zake zimo ndani yake, juu ya nchi; ikawa hivyo.
Nchi ikatoa majani, mche utoao mbegu kwa jinsi yake, na mti uzaao matunda, ambao mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu.
Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili na majira na siku na miaka;
tena iwe ndiyo mianga katika anga la mbingu itie nuru juu ya nchi; ikawa hivyo.
Mungu akafanya mianga miwili mikubwa, ule mkubwa utawale mchana, na ule mdogo utawale usiku; akafanya na nyota pia.
Mungu akaiweka katika anga la mbingu, itie nuru juu ya nchi
na kuutawala mchana na usiku na kutenga nuru na giza; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya nne.
Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi na kitu kiendacho chenye uhai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu.
Mungu akaumba nyangumi wakubwa, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho, ambavyo maji yalijawa navyo kwa wingi kwa jinsi zao, na kila ndege arukaye, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Mungu akavibarikia, akisema, Zaeni, mkaongezeke, mkayajaze maji ya baharini, ndege na wazidi katika nchi.
Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tano.
Mungu akasema, Nchi na izae kiumbe hai kwa jinsi zake, mnyama wa kufugwa, nacho kitambaacho, na wanyama wa mwitu kwa jinsi zake; ikawa hivyo.
Mungu akafanya mnyama wa mwitu kwa jinsi zake, na mnyama wa kufugwa kwa jinsi zake, na kila kitu kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;
na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.
Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita."

KULA NENO TAKATIFU HILO... UKITAKA UTAKULA USIPOTAKA UTAKULA PIA, MUNGU YUPO... Unless Otherwise uje na hoja inayosema Mungu hayupo.. theory zote zimeshindwaaa.
Acha hizo mungu anaandikaje kama haonekani
 
Mungu wangu ni universal consious na sio huyo aliye be proclaimed kweny bible .
Afu kuwa open minded accept challenge kuhusu imani yako.
Umekubali kuamin blindly that why unaona haya maswali ni kukudhihaki nimebatizwa kitambo so hizo quote za bible nazijua
Sijauliza habari za kubatizwa, MAANA MIMI MWENYEWE SIJABATIZWA, NA SITARAJII KUBATIZWA KWA MTINDO WA DINI.

"Wewe ulifahamu vipi uwepo wa Mungu?" Chomoa "Kuki" la Sumu hilo..

100% utarudi kwenye fahamu za kibinaadamu.. na ndio maana nilivoona tu post yako ya kwanza NIKABANDIKA KOMBORA LA INTELEJENSIA YA ROHONI..

HILI HAPAAAAAA
Hahahaha

Wale wenye ID tatu tatuuu njooni piaaa... "Mnajitekenya na kuchekaa wenyewee"...

Wengine mnakuja Kama mnaingiaaa kumbe mnatokaaa... Hahahahhahah..

Wengine mnajifanya kondoo (Kulingana na maelezo yenu) kumbe Chui (Uhalisia wenu)

Intelejensia ya Rohoni imetanda mahali hapa..

Karibuni wapendwa
Hilo dude lilitoka masafa ya mbali Sana, hasa baada tu ya kuiona comment yako ya kwanza humu kwenye thread...
 
mbona unapinga sio Mungu wa kwenye biblia?? ni Mungu wa Quran au??

Sijauliza habari za kubatizwa, MAANA MIMI MWENYEWE SIJABATIZWA, NA SITARAJII KUBATIZWA KWA MTINDO WA DINI.

"Wewe ulifahamu vipi uwepo wa Mungu?" Chomoa "Kuki" la Sumu hilo..

100% utarudi kwenye fahamu za kibinaadamu.. na ndio maana nilivoona tu post yako ya kwanza NIKABANDIKA KOMBORA LA INTELEJENSIA YA ROHONI..

HILI HAPAAAAAA

Hilo dude lilitoka masafa ya mbali Sana, hasa baada tu ya kuiona comment yako ya kwanza humu kwenye thread...
i believe in everything until proved wrong
 
Uwepo wa mungu ni matokea ya maendeleo ya binadamu katika kuupata ustaarabu.Men create the god in their own imagination.Ndo mana wale miungu ya kale kabla ya hizi dini mpya za kisasa walikuwa na maumbo ya kibinadamu(human look_like) hata sifa walikuwa kama binadmu.
Walikuwa na sifa za kulia, kukasirika,wivu, njaa n.k.
Swali langu la msingi ni hili,hiyo kale unayo iongelea wewe kale ipi ? Je ni ile kabla ya Nuhu na kama ni ile kabla ya Nuhu,tuwekee ushahidi unao onyesha ya kuwa kulikuwepo na miungu hiyo kabla ya Nuhu na kama ni baada ya Nuhu wewe ni muongo na unaongelea jambo usilo kuwa na ujuzi nalo.
Lakini hizi dini za kileo ni maboresho ya dini za kale so that hata miungu ya dini hizi wamepewa sifa nyingi kidogo kuliko wale wa kale,ikiwemo kutoonekana,ana uwezo wote, yupo kila sehemu n.k.
Tuwekee ushahidi wa hiki ulichokiandika.
Nadhani wote tunajuwa kuwa binadamu alikuwa anaishi pamoja na wanyama wengine hapo kale kabla ya kuanza kujitenga na kuanzisha ustaarabu wake,katika kipindi hiki cha maisha binadamu alikuwa hana tofauti na wanyama wengine.Ilimchukau mamilioni ya miaka biandamu kujitofautisha na wanyama wengine na kuanza kustaarabika.Katika kipindi hiki huyu binadamu alianzisha mambo mbalimbali ikiwemo Dini,mungu,sheria,taifa n.k.
Ushabidi wa hili uko wapi ?
There are no gods,no god in the universe,no nation,no money,no justice,no law,no human rights out side the common imagination of human beings.Mara baada ya kuapata ustaarabu binadamu aliweza kuanzisha mambo mengi ikiwe religion institutions,mungu n.k.
Tuthibitishie hili. Shukrani.
 
Bila shaka wewe ni mlokole bible mmeitoa kwa waroma mnadai mnajua bible kulko aliyeiframe soma historia ya bible na ukristo kabla ya ulokole wako
Sio kila anayetumia Biblia ni mtu wa Dini... Sisi wengine Hatufagilii DINI, tunamtizama, Kumtumikia, Kumtegemea na kumuamini MUNGU... Ila habari za Dini na madhehebu hapana (HIZO NI MAN MADE)

MUNGU YUPO NA HILO NI NENO LAKE...

Bado Hujachomoa Huu mkuki niliokuchomekaaaa

"Ulifahamu vipi uwepo wa Mungu???"

Chomoa hilo Kuki hapo juu
 
Mkuu umefafanua vizuri, idea ya god ilikuja ili kuikabili hofu ya duniani ndio maana wafia dini wanaamini kuwa kuna nchi inaitwa
Nani wa kwanza kuja na wazo hilo na ilikuwaje na ushahidi uko wapi ?
 
Mwanzo 1:1-31
Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.
Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.
Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.
Mungu akalifanya anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.
Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.
Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.
Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Mungu akasema, Nchi na itoe majani, mche utoao mbegu, na mti wa matunda uzaao matunda kwa jinsi yake, ambao mbegu zake zimo ndani yake, juu ya nchi; ikawa hivyo.
Nchi ikatoa majani, mche utoao mbegu kwa jinsi yake, na mti uzaao matunda, ambao mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu.
Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili na majira na siku na miaka;
tena iwe ndiyo mianga katika anga la mbingu itie nuru juu ya nchi; ikawa hivyo.
Mungu akafanya mianga miwili mikubwa, ule mkubwa utawale mchana, na ule mdogo utawale usiku; akafanya na nyota pia.
Mungu akaiweka katika anga la mbingu, itie nuru juu ya nchi
na kuutawala mchana na usiku na kutenga nuru na giza; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya nne.
Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi na kitu kiendacho chenye uhai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu.
Mungu akaumba nyangumi wakubwa, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho, ambavyo maji yalijawa navyo kwa wingi kwa jinsi zao, na kila ndege arukaye, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Mungu akavibarikia, akisema, Zaeni, mkaongezeke, mkayajaze maji ya baharini, ndege na wazidi katika nchi.
Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tano.
Mungu akasema, Nchi na izae kiumbe hai kwa jinsi zake, mnyama wa kufugwa, nacho kitambaacho, na wanyama wa mwitu kwa jinsi zake; ikawa hivyo.
Mungu akafanya mnyama wa mwitu kwa jinsi zake, na mnyama wa kufugwa kwa jinsi zake, na kila kitu kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;
na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.
Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita."

KULA NENO TAKATIFU HILO... UKITAKA UTAKULA USIPOTAKA UTAKULA PIA, MUNGU YUPO... Unless Otherwise uje na hoja inayosema Mungu hayupo.. theory zote zimeshindwaaa.
Hapo mwanzo nani aliumba mwanzo??? Ye aliumbwa na nan na kwa nn sisi lazima tuwe tuliumbwa
 
"Ulifahamu vipi uwepo wa Mungu???"
Swali rahisi sana. Kwanza anae kataa kutokuwepo kwa Mola hatoki katika moja baina ya mawili haya :

1. Mjinga
2. Mpotoshaji
3. Anavyo vyote.

Kama una tafakari kwa kina maumbile yako na mengine utaona uwepo wa Mola. Jitazame na utafakari.
 
Sio kila anayetumia Biblia ni mtu wa Dini... Sisi wengine Hatufagilii DINI, tunamtizama, Kumtumikia, Kumtegemea na kumuamini MUNGU... Ila habari za Dini na madhehebu hapana (HIZO NI MAN MADE)

MUNGU YUPO NA HILO NI NENO LAKE...

Bado Hujachomoa Huu mkuki niliokuchomekaaaa

"Ulifahamu vipi uwepo wa Mungu???"

Chomoa hilo Kuki hapo juu
nimekuambia i believe kweny universal counsious ambayo na mimi ni part ya hiyo God is energy and i am part of that energy.
 
Hapo mwanzo nani aliumba mwanzo??? Ye aliumbwa na nan na kwa nn sisi lazima tuwe tuliumbwa
Nani alikwambia ya kuwa kila chenye mwanzo lazima kiwe kina chanzo au kimeumbwa ?

Sisi lazima tuwe tumeumbwa sababu asili yetu inarudi kwa mmoja.
 
Hadi mpumbavu ameweza kujua hakuna Mungu, we timamu umeshindwa vipi?
Isaya 32:6
"Maana mpumbavu atanena yaliyo upumbavu, na moyo wake utafanya maovu, ili kutenda hila na kusema yasiyo kweli juu ya BWANA, ili kuziacha nafsi za watu wenye njaa hazina kitu, na kukikomesha kinywaji chake mwenye kiu."
 
Nani alikwambia ya kuwa kila chenye mwanzo lazima kiwe kina chanzo au kimeumbwa ?

Sisi lazima tuwe tumeumbwa sababu asili yetu inarudi kwa mmoja.
Na nani anasema sisi tuna chanzo pia hata yake nani kasema hairudi kwa mmoja usikute kingwendu ndo huyo mmoja ,usishikiwe akili ww
 
Sio kila anayetumia Biblia ni mtu wa Dini... Sisi wengine Hatufagilii DINI, tunamtizama, Kumtumikia, Kumtegemea na kumuamini MUNGU... Ila habari za Dini na madhehebu hapana (HIZO NI MAN MADE)

MUNGU YUPO NA HILO NI NENO LAKE...

Bado Hujachomoa Huu mkuki niliokuchomekaaaa

"Ulifahamu vipi uwepo wa Mungu???"

Chomoa hilo Kuki hapo juu
Kwanini umetumia bible sio qurani??
ukweli mchungu ni kwamba mwanadamu always anataka possesion na superior mkristu anajiona superior kulko yeyoye vivo hivo kwa dini zote
pengine huna hata sababu ya kuwa mkiristo zaidi ya kuwa na ndugu na jamaa hasa wazazi.
Dini msingi wake mkuu ni mind control kwamba ukifany mazur i na tukashindwa kuku award basi Mungu atakuaward ukifa.
Na ukifanya mabaya tukashindwa kukuadhibu basi Mungu atakuadhibu ukifa.
jaribu Kupitia gnostic gospel usome
 
nimekuambia i believe kweny universal counsious ambayo na mimi ni part ya hiyo God is energy and i am part of that energy.
Umeshindwa Kulichomoa Hilo "Kuki la Sumu"... Ita wenzio wakusaidie kabla SUMU haijasambaa kesho Tukakona kwa Gwajima unabatizwaaa...

Litukuzwe Jina Lako Mungu Uliye Hai...
 
Na nani anasema sisi tuna chanzo pia hata yake nani kasema hairudi kwa mmoja usikute kingwendu ndo huyo mmoja ,usishikiwe akili ww
Jibu kwanza swali nililo kuuliza kisha uulize maswali yako.

Hamjawahi kuwa na maswali ya maana na ya kweli.
 
Umeshindwa Kulichomoa Hilo "Kuki la Sumu"... Ita wenzio wakusaidie kabla SUMU haijasambaa kesho Tukakona kwa Gwajima unabatizwaaa...

Litukuzwe Jina Lako Mungu Uliye Hai...
Unaweza kuniambia haja ya aliye umba na yeye akawa ameumbwa ?
 
Back
Top Bottom