Nje ya Tanzania hakuna anayejua matokeo ya Simba vs Yanga

Nje ya Tanzania hakuna anayejua matokeo ya Simba vs Yanga

Hoja hujibiwa kwa hoja. Umesema sifuatilii AFL nami nashangaa kwa wewe kuyafuatilia. Nimesema mengi, jibu hoja dogo
Nafuatilia hadi mapinduzi cup, je cha kushangaza hapo ni nini?
Je Infantino kafata derby au AFL?
 
Clip mnasambaza wenyewe halafu mnaikana. Rais wa CAF na FIFA walikuwa hawajui matokeo ya derby ya Kariakoo huo ndiyo UKWERI. Kuniambia wachina sijui wajamaica wanaobeti huko hakuifanyi ligi iwe bora.
Leo tu nimemkumbushia Kolo flani matokeo .... Tupo Kwa mwenyekiti Sasa hivi anilipe mchele wangu aliomwaga na mvua hizi hauzoleki.....punguzeni hasira.
 
Nafuatilia hadi mapinduzi cup, je cha kushangaza hapo ni nini?
Je Infantino kafata derby au AFL?
Kwa hiyo gay parade nazo unafuatilia? Unaita wengine wachawi kisa hawakubaliani na takwimu za mchongo, ila kauli mlizokuwa mnatoa kuhusu AFL kuwa ni bonanza la mchongo na linalopromoti ushoga huku Rais wenu na wanasiasa wenu wakipigania usiku na mchana ili muingie huko huko, huo haukuwa uchawi pro max?
 
Kwa hiyo gay parade nazo unafuatilia? Unaita wengine wachawi kisa hawakubaliani na takwimu za mchongo, ila kauli mlizokuwa mnatoa kuhusu AFL kuwa ni bonanza la mchongo na linalopromoti ushoga huku Rais wenu na wanasiasa wenu wakipigania usiku na mchana ili muingie huko huko, huo haukuwa uchawi pro max?
Ukijua ku stick kwenye hoja utaniambia maana unaruka ruka kama maharage.
 
Niliwahi kuhoji taarifa za mchongo kuwa eti ligi ya NBC ni ya 5 kwa ubora na wengine wamekuwa wanajitangazia tu eti derby ya Kariakoo ni moja ya derby 3 kwa ubora na ukubwa Africa, watu wakanibishia.

Kuna kaclip kanasambaa kakionyesha Rais wa Yanga akiwa South Africa akisambaza umbea kwa Rais wa CAF Patrice Motsepe na Rais wa FIFA Gianni Infantino kuwa Yanga imemtandika mtu goli 5. Infantino ambaye ni mwanachama na shabiki kindakindaki wa Simba mwenye kadi namba 45263 alionekana kupuuzia taarifa hizo, akikodolea kamera kama haamini amini hivi huo umbea huku Rais wa CAF akihoji labda inawezekana kuna wachezaji wamerubuniwa au ni fluku tu ya kimpira, Hersi alipoanza kujitetea video ikakata hapo hapo.

Tuyaache hayo, swali langu inakuwaje ligi inayosemekana ni ya tano kwa ubora Africa, ligi inayosemekana kuzizidi kwa ubora ligi za Saudi Arabia, USA na Sweden, na wakati huo huo derby ya Kariakoo inayosemekana ni top 3 Africa, lakini Rais wa CAF na FIFA hawajui hata matokeo ya hiyo derby wiki moja baada ya mechi yenyewe?

Niliwahi kuhoji taarifa za ligi ya NBC kuwa ligi ya 5 kwa ubora hapa sikupewa majibu ya kuridhisha.


Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana
 
Clip mnasambaza wenyewe halafu mnaikana. Rais wa CAF na FIFA walikuwa hawajui matokeo ya derby ya Kariakoo huo ndiyo UKWERI. Kuniambia wachina sijui wajamaica wanaobeti huko hakuifanyi ligi iwe bora.
Waandishi wa habari toka south Africa walikuja hapa Tanzania kwaajili ya hiyo mechi niliwaona wakimhoji kocha wa yanga, (Gamondi) siku mojs kabla ya mtanange huo inamaana simba alivyotandikwa mwanaukome S.A walijua
 
miongoni mwa derby 5 maarufu afrika halafu unasema nje ya Tanzania hakuna anayejua matokeo ?
South Africa wanafuatilia , Kenya , Uganda , Zambia , DRC , Egypt , Algeria , Morocco , Nigeria nk
 
Niliwahi kuhoji taarifa za mchongo kuwa eti ligi ya NBC ni ya 5 kwa ubora na wengine wamekuwa wanajitangazia tu eti derby ya Kariakoo ni moja ya derby 3 kwa ubora na ukubwa Africa, watu wakanibishia.

Kuna kaclip kanasambaa kakionyesha Rais wa Yanga akiwa South Africa akisambaza umbea kwa Rais wa CAF Patrice Motsepe na Rais wa FIFA Gianni Infantino kuwa Yanga imemtandika mtu goli 5. Infantino ambaye ni mwanachama na shabiki kindakindaki wa Simba mwenye kadi namba 45263 alionekana kupuuzia taarifa hizo, akikodolea kamera kama haamini amini hivi huo umbea huku Rais wa CAF akihoji labda inawezekana kuna wachezaji wamerubuniwa au ni fluku tu ya kimpira, Hersi alipoanza kujitetea video ikakata hapo hapo.

Tuyaache hayo, swali langu inakuwaje ligi inayosemekana ni ya tano kwa ubora Africa, ligi inayosemekana kuzizidi kwa ubora ligi za Saudi Arabia, USA na Sweden, na wakati huo huo derby ya Kariakoo inayosemekana ni top 3 Africa, lakini Rais wa CAF na FIFA hawajui hata matokeo ya hiyo derby wiki moja baada ya mechi yenyewe?

Niliwahi kuhoji taarifa za ligi ya NBC kuwa ligi ya 5 kwa ubora hapa sikupewa majibu ya kuridhisha.
Hapo ni Ghana wanazungumzia hiyo mechi. Nyie kaeni na huyo tapeli Infantino.
IMG-20231108-WA0011.jpg
 
Acha uongo. Na mitandao ya kijamii yote hii?
Wote tumejionea kwenye mitandao hii hii ya kijamii kuwa Motsepe na Infantino walikuwa hawajui matokeo. Uzuri video mmesambaza uto wenyewe. Ila video inaonyesha waliuliza "how much?" Kwa hiyo inawezekana walimuuliza ametoa mlungula kiasi gani kupata ushindi ule.
 
Hivi aliulizwa?? Yani navyomuonaga mpole injinia jamani... ila sikuwaza atakua mmbea hivyo..
Aulizwe wapi? Halafu Hersi hajui, ukipata fursa ya kukutana na watu wenye mamlaka na pesa ambao unahitaji favor zao, unahitaji kuwa msikilizaji zaidi ya muongeaji. Yeye busy anapeleka fitna za waswahili.
 
Kwa hiyo huyo Saddick na hao wanaocomment ndiyo wanaamua rank za ubora wa ligi na derby? Kwa nini Infantino na Motsepe wameenda kwenye derby ya SA ila ya kwetu hata Rais wa "TFF ya Burundi" hakuja?

Clip inajielezea ila mnajifanya kama hamuioni, mnakuja na post za kutunga za Facebook.
Hapa ndio unazidi kuonyesha ukiazi wako! Rais wa FIFA ameenda kuangalia Derby south? ndio maana mliambiwa Simba imemleta Arsene Wenger na Rais wa FIFA
 
miongoni mwa derby 5 maarufu afrika halafu unasema nje ya Tanzania hakuna anayejua matokeo ?
South Africa wanafuatilia , Kenya , Uganda , Zambia , DRC , Egypt , Algeria , Morocco , Nigeria nk
Nadhani mada haujaielewa
 
Aulizwe wapi? Halafu Hersi hajui, ukipata fursa ya kukutana na watu wenye mamlaka na pesa ambao unahitaji favor zao, unahitaji kuwa msikilizaji zaidi ya muongeaji. Yeye busy anapeleka fitna za waswahili.
Kana kwamba yy ndo wa kwanza kumfunga wakati pia wao walishafungwa sana tuu na mnyama..
Yani je wangepata rekodi iliyoingia Simba ya kumfunga mtu bao 7 kwny club Bingwa si angetangaza dunia nzima...
 
Kana kwamba yy ndo wa kwanza kumfunga wakati pia wao walishafungwa sana tuu na mnyama..
Yani je wangepata rekodi iliyoingia Simba ya kumfunga mtu bao 7 kwny club Bingwa si angetangaza dunia nzima...
Halafu wanafki wanasema tuwe wazalendo wakati mtu live kwenye kisimu chake mwenyewe anajirekodi anasambaza taarifa za kuiharibia timu nyingine ya Tanzania ionekane si lolote si chochote kwa manufaa yake binafsi
 
Niliwahi kuhoji taarifa za mchongo kuwa eti ligi ya NBC ni ya 5 kwa ubora na wengine wamekuwa wanajitangazia tu eti derby ya Kariakoo ni moja ya derby 3 kwa ubora na ukubwa Africa, watu wakanibishia.

Kuna kaclip kanasambaa kakionyesha Rais wa Yanga akiwa South Africa akisambaza umbea kwa Rais wa CAF Patrice Motsepe na Rais wa FIFA Gianni Infantino kuwa Yanga imemtandika mtu goli 5. Infantino ambaye ni mwanachama na shabiki kindakindaki wa Simba mwenye kadi namba 45263 alionekana kupuuzia taarifa hizo, akikodolea kamera kama haamini amini hivi huo umbea huku Rais wa CAF akihoji labda inawezekana kuna wachezaji wamerubuniwa au ni fluku tu ya kimpira, Hersi alipoanza kujitetea video ikakata hapo hapo.

Tuyaache hayo, swali langu inakuwaje ligi inayosemekana ni ya tano kwa ubora Africa, ligi inayosemekana kuzizidi kwa ubora ligi za Saudi Arabia, USA na Sweden, na wakati huo huo derby ya Kariakoo inayosemekana ni top 3 Africa, lakini Rais wa CAF na FIFA hawajui hata matokeo ya hiyo derby wiki moja baada ya mechi yenyewe?

Niliwahi kuhoji taarifa za ligi ya NBC kuwa ligi ya 5 kwa ubora hapa sikupewa majibu ya kuridhisha.
Katika maelezo yako ingawa yana Uongo ndani yake lakini umevuruga zaidi uliposema raisi wa caf alisema inawezekana wachezaji wamerubuniwa ukitaka kutuaminisha caf wanatoa shutuma hovyo hovyo Tena zenye Uzito Tena hadharani bila uchunguzi kama wapo Kwenye kijiwe cha kahawa !
 
Back
Top Bottom