DadiMkaliWao
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 242
- 380
Hawajielewi ndo maana Rage aliwaita MBUMBUMBUNimeamini wanaoumia ni mashabiki,mashabiki wa simba wanapitia kipindi kigumu kweli uku mtaani watu wana sonona.
Baada ya kufungwa tano ndio unataka kufahamu ubora wa NBC imeingia vipi ktk top 5,kipindi simba ipo vizuri mlikuwa mnasema nyinyi ndiyo mmeipa umaarufu NBC..iweje Leo mnakataa?
Kingine mlikuwa mkijimwambafai simba ni timu kubwa giant inajulikana duniani, sasa kama mnajulikana dunia watu watashindwa vipi kufahamu kama mmefungwa goli 5?
Nataman ningei laminate hii comment ! 😂😂😂Wewe ni mpumbavu nenda page za China siku ya mechi wachina waliombetia yanga walala milango wazi kwa furaha afu unasema ligi haifatiliwi?. Are you kumamoto fc?
Nimeamini wanaoumia ni mashabiki,mashabiki wa simba wanapitia kipindi kigumu kweli uku mtaani watu wana sonona.
Baada ya kufungwa tano ndio unataka kufahamu ubora wa NBC imeingia vipi ktk top 5,kipindi simba ipo vizuri mlikuwa mnasema nyinyi ndiyo mmeipa umaarufu NBC..iweje Leo mnakataa?
Kingine mlikuwa mkijimwambafai simba ni timu kubwa giant inajulikana duniani, sasa kama mnajulikana dunia watu watashindwa vipi kufahamu kama mmefungwa goli 5?
Unamjaza mwenzio upepo. Amefungua link kwenye post ya kwanza akaangalia niliileta lini mada ya kuhoji hadi aseme "Baada ya kufungwa tano ndio unataka kufahamu ubora wa NBC imeingia vipi"?Aahaaa
Akiijibu hii nondo niambie
Uliona wapi chombo cha kudhibiti rushwa kwenye mpira kikabariki rushwa tena wazi wazi? Hivi wewe Kichwani zimo kweli wewe?Infantino na Motsepe wanajua kiingereza vizuri, inabidi watu wajiulize inakuwaje wamuulize "how much?". Infantino alianza kwanza kuuliza "How many", halafu haraka akabadili swali, "how much?" Mzungu hajawahi kuwa mjinga, wanajua mlungula ulitembea.
Hayo ni maongezi binafsi tena yale tunaita "casual" ila mtu na kimbelembele chake kayarekodi akayarusha akidhani yana msaada kwake kumbe yanamdhalilishaUliona wapi chombo cha kudhibiti rushwa kwenye mpira kikabariki rushwa tena wazi wazi? Hivi wewe Kichwani zimo kweli wewe?
Kwani haikufungwa tano kuna uongo wowote hapo?Halafu wanafki wanasema tuwe wazalendo wakati mtu live kwenye kisimu chake mwenyewe anajirekodi anasambaza taarifa za kuiharibia timu nyingine ya Tanzania ionekane si lolote si chochote kwa manufaa yake binafsi
Nyie ndo inawauma kujipendekeza na hampati kituDaah sema jamaa lao halina akili kabisa yani kwenda kujikomba ety walishinda tano linazani ndo litaonewa huruma likae VVIP
Swala si ubinafsi, nimekuuliza Infantino anabariki rushwa michezoni? Kuwa na akili basi usiwe mwehu kupindukia ukaonekana wazi wazi. Kwani hata kama asingerekodi, hakuna watu pembeni wanaosikia? Au walikuwa wananong'onezana? Acha ujinga hata kama tano zimekuvurugaHayo ni maongezi binafsi tena yale tunaita "casual" ila mtu na kimbelembele chake kayarekodi akayarusha akidhani yana msaada kwake kumbe yanamdhalilisha
Ndugu yangu una akili timamu kweli? unajua Infatino ni raia wa wapi?Infantino na Motsepe wanajua kiingereza vizuri, inabidi watu wajiulize inakuwaje wamuulize "how much?". Infantino alianza kwanza kuuliza "How many", halafu haraka akabadili swali, "how much?" Mzungu hajawahi kuwa mjinga, wanajua mlungula ulitembea.
Nawe jibu swali kwa nini Infantino aulize "how much" tena baada ya kutoka kuuliza "how many" akabadili swali? Msomali wenu alishindwa kujiongeza.Swala si ubinafsi, nimekuuliza Infantino anabariki rushwa michezoni? Kuwa na akili basi usiwe mwehu kupindukia ukaonekana wazi wazi. Kwani hata kama asingerekodi, hakuna watu pembeni wanaosikia? Au walikuwa wananong'onezana? Acha ujinga hata kama tano zimekuvuruga
Jikite kwenye mada mbona unakua kama kengeKwani wewe raia wa wapi
Ukoo wako una hasara, hivi unadhani Rais wa FIFA anaweza kuongea kibwege kama wewe?Hayo ni maongezi binafsi tena yale tunaita "casual" ila mtu na kimbelembele chake kayarekodi akayarusha akidhani yana msaada kwake kumbe yanamdhalilisha
Basi hapo hapo hakuna umbea ila alikuwa nasema ukweli kwa mtu ambaye yuko kwenye hiyo hiyo tasnia ya soccer ambapo tukio la simba kupigwa tano lilitokeaKwani kuna aliyesema kuna uongo wowote?
Huyu ni mwanasimba upande wa RageYaani hata hueleweki unachohoji na uzungumzia nini, mara Infantino ni mwanachama wa simba mara nyie wenyewe ndo mlisema simba ni timu kubwa inajulikana na kufatiliwa Duniani. Sasa hao wanaoifatilia Duniani pamoja na mwanachama wao wameshindwaje kuifatilia timu yao ikicheza mechi kubwa ya ligi mpaka washindwe kujua matokeo