Njia ambazo mwanamke asiependeka huwa anazitumia kupata mwanaume mwema sana kisha anampiga matukio

Njia ambazo mwanamke asiependeka huwa anazitumia kupata mwanaume mwema sana kisha anampiga matukio

Daaah 😀😀 hizi zangu nimezaliwa nazo huwez Amin naweza soma jambo lolote au kuangalia movie najikuta napata hasira Kwa Yale mtu amefanyiwa au amefanya so sio Ivo unavofikiria
try to figure it out. Inaweza kukuharibia kwenye issues potential sana
 
utajuaje huyu ndiye huyu siye mkuu
Utajua ukiwa upo nae kwenye mahusiano, malaya wanajitofautisha na wengine mana daladala linabeba watu wengi ila huwezi kuifanya kuwa gari la familia.
 
Kila Mwanamke ambaye huwa anampiga matukio mwanaume mwema sana kwenye jamii huwa anazitumia njia hizi zifuatazo, vilevile mwanamke mwema sana kwenye jamii huwa anajikuta kwenye mahusiano na mwanaume ambaye hapendeki.

ZIFUATAZO NI NJIA AMBAZO MWANAMKE AMBAYE HAPENDEKI HUWA ANAZITUMIA KUMPATA MWANAUME MWEMA SANA KWENYE JAMII
1.Kugeuka tatizo kwa mwanaume badala ya kuwa chanzo cha amani, furaha na utulivu kwa mwanaume.
mwanamke mwenye kiburi, majivuno, jeuri na dharau huwa anaijua njia hii na huwa anaifanyia kazi kisawasawa.Kwanza anakuwa na matatizo mengi sana ya kiuchumi,anataka pesa nyingi sana ndani ya muda mfupi,anakuwa na matatizo mengi sana ambayo yanahitaji pesa nyingi sana kutoka kwa mwanaume.Vilevile anakuwa haeleweki tabia wala msimamo kwa mfano anakuwa mwenye furaha sana,anaonyesha kumpenda sana Mwanaume,kumwita majina mazuri,kumsifia sana,kuonyesha nia ya kujenga naye familia kisha ghafla anabadilika anakuwa na hasira kupitiliza, anakuwa mkali kupitiliza, anakuwa na huzuni sana,anakuwa na upweke,anakuwa na kisirani, gubu, kununa, kususa,kutishia waachane mara kwa mara.

Hapa kwa mwanaume mstaarabu sana,mpole kupitiliza huwa anachanganyikiwa kisha huanza kuomba msamaha, kumbembeleza,kumpa ushauri,kununua zawadi za gharama kubwa sana kisha Mwanamke anaonekana kubadilika tabia kidogo kisha anakuwa na tabia za ajabu ajabu siku chache zinazokuja.

wanaume wenye tabia njema sana kwenye jamii huwa hawavutiwi kimapenzi na Mwanamke mwenye hulka ya upole, huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa kwa sababu wao huwa wakiona Mwanamke ambaye anapenda starehe,anapenda makundi,anapenda maisha ya anasa,anapenda kunywa pombe,kwenda night club huwa wanataka kumbadilisha tabia wakiamini ndiyo atakuja kuwa Mwanamke wa ndoto zake.

Lakini inakuwa kinyume chake kwa sababu kadiri unavyotaka kubadilisha tabia ya Mwanamke ndivyo unavyozidi kumpenda na kushindwa kumuacha hata kama atafanya kosa kubwa kiasi gani unakuwa na matumaini ya kwamba atabadilika tabia aje kuwa mwema tofauti na alivyo kwa sasa.

2.KUWEKA MIPAKA NA MASHARTI MAGUMU SANA
Mwanamke ambaye huwa anampiga mwanaume matukio huwa anaijua mbinu hizi.Anasema ili niwe na wewe nataka kiasi XYX cha fedha kama hauna basi tuachane na kweli anakuwa mkali kupitiliza kama fedha hizo hajapewa na vilevile hata kama atapewa hasemi neno ahsante ili mwanaume apate hasira na aanze kujichukia, baada ya kuanza kujichukia mwanaume huanza kupoteza uwezo wa kujiamini akiwa mbele ya Mwanamke mwingine hivyo mwanaume mstaarabu sana huona mwanamke pekee ni yule ambaye haeleweki tabia.

kadiri mwanaume anavyozidi kuonekana MSTAARABU sana,anavyotaka kuonekana ni mwanaume mkamilifu, anavyozidi kutaka aonekane ni mwanaume wa ndoto za Mwanamke huyo ndivyo Mwanamke huyo anakuwa na nguvu za kumtawala mwanaume kimabavu tena inakuwa rahisi kumuacha ghafla bila kujali mwanaume anakuwa amejitoa mhanga kiasi gani kumfurahisha Mwanamke husika.

3.KUWA NA HASIRA KUPITILIZA
Mwanamke ambaye hapendeki huwa anaijua mbinu hii ya kutumia hasira kupitiliza mara kwa mara kuzuia kupishana kauli na mwanaume,endapo Mwanamke akasema nataka 1,2,3 anawahi kuonyesha uso wenye hasira kupitiliza kama ngao ya kuzuia mwanaume kupinga mawazo yake.

kwa sababu mwanaume mpole kupitiliza huwa hataki ugomvi wala migogoro ndani ya familia huwa anajikuta anakubali kwa shingo upande.Baada ya muda mwanamke huanza kuonyesha dharau waziwazi, atamsaliti kwa makusudi kisha atasema nimefanya kwa makusudi kabisa na hauna cha kufanya,haombi msamaha kwa sababu hana cha kupoteza kwani tangu mwanzo yeye ndiye alikuwa na kauli ya mwisho.

4.UCHOYO KUPITILIZA
Mwanamke ambaye hapendeki huwa anaijua njia hii,anakuwa mbinafsi sana,anakuwa mchoyo sana,anakuwa busy sana kuzuia kujenga ukaribu na mwanaume wake,simu hapokei, sms hajibu hapo mwanaume mpole kupitiliza huanza kupiga simu mfululizo, kutuma sms mfululizo,kutuma pesa kibao ili kumshawishi ampende,mwanaume anaweza kumfuata kazini au nyumbani kwao kisha atapiga magoti, kutishia kujiua,kuomba msamaha,

kumbembeleza sana hata kama hajafanya makosa yoyote.

5.KUWA "SINGLE" MUDA WOTE
Hapa mwanamke ambaye hapendeki huwa anaijua njia hii.Kwanza anakuwa na wanaume wengi sana ambao wanamfuatilia lakini anakuwa hana hisia kwa mwanaume yeyote hivyo anaangalia nani amekuwa msumbufu sana kwake ndiyo anamuomba fedha nyingi sana kwa kisingizio kwamba kama hana fedha aache kupiga simu mfululizo,au kutuma sms.

mwanaume muoga huwa anatuma fedha lakini mwanamke anakuwa hana mpango na mwanaume yeyote baina yao.
Màra kwa mara anakuwa anamkosoa, kumfokea, kumtukana, kumkashifu, kumkaripia, kumgombeza, kumtangaza vibaya, kumlaumu mwanaume mara kwa mara ili kumfanya ashindwe kujiamini mbele yake.

sheria yake inakuwa hivi mpaka mwanaume aonyeshe kumhitaji sana kwa kutuma sms mfululizo, kupiga simu mfululizo, kutuma pesa kibao ili kumshawishi ampende,akiona mwanaume analalamika,anapitia huzuni sana kwa kunyimwa ushirikiano hapo anakubali kwa sababu anajua huyu mwanaume hana ujanja kwake,hawezi kumuacha,hawezi kuishi bila yeye.
atamjaribu mwanaume kwa kumkosea kwa makusudi kisha ataangalia kama mwanaume analalamika,kulia, kuomba msamaha kisha anajua kwamba mwanaume hawezi kumuacha.

6.KUSUBIRI MWANAUME MKAMILIFU
Mwanamke ASIEPENDEKA huwa anaweza kukaa hata miaka 36 bila mwanaume yoyote wa kueleweka.Hii inatokea kwa sababu muda mrefu anakuwa anatumia kuchagua mwanaume wa ndoto zake yaani kila siku anasema huyu mwanaume sio wa HADHI yake mpaka umri unakuwa mkubwa sana anaweza kuzalishwa na waume za watu au player boy au bad boy ambao wanampa ujauzito na kumtelekeza bila huduma zozote.

lakini akiwa na ujauzito au watoto hapo ataenda kwa mwanaume mstaarabu sana kwa ajili ya kupata faraja ya huzuni, majonzi, simanzi na upweke pamoja na mahitaji ya kifedha ili kumtunza mtoto au ujauzito ambao ametelekezwa nao.

MWANAUME AMBAYE HAJUI SIFA ZA MWANAMKE MWEMA HUWA ANATESEKA SANA MAISHA YAKE YOTE.
Zingatia kwamba kazi ya mwanaume mwema sana ni kumfariji, kumliwaza mwanamke ambaye hapendeki, mwanamke ambaye ametelekezwa na ujauzito au watoto.

Ikiwa wewe ni mwanaume mwema sana kabla ya kujipa majukumu ambayo kwako yatakugharimu pesa,muda na hisia, tafuta Mwanamke mwenye tabia ya upole, huruma, kujali, kunyenyekea, kusamehe makosa, uvumilivu na kujitoa kwako endapo utashindwa kuvutiwa na Mwanamke mwenye sifa hizo basi jiandae kwenda kulia.
Izi ni Tabia ya Mwanamke Gube gube ambaye hafai kuwa mke au kuwa Mama.
Kama ukiwa Zuzu ukaingia mtego wake shauri lako
 
Mfano wako ni mbovu.

Huo wajibu wa mwanamke kumtii mumewe unautoa wapi?

Mwanamke hana hata wajibu wa kuolewa. Unamuwekea vipi wajibu wa kumtii mumewe?

That is overly presumptuous of you.

Kiranga hoja zako Kwa Upande Huu wa Leo zina udhaifu mkubwa katika kuelewa msingi wa haki na wajibu.

Nitafafanua kwa kutumia nadharia za kifalsafa, kijamii, na hata kisheria ili kukudhihirishia kasoro Zilizopo Ili Unielewe Zaidi..

kwanza Haki na Wajibu ni Pande Mbili za Sarafu Moja..

Wengi sana Tunaongea Kuhusu Liberalism ila Hatuielewi kabisa

Nitamnukuu John Stuart Mill, katika kitabu chake On Liberty, anasema:

"The liberty of the individual must be thus far limited; he must not make himself a nuisance to other people."

Yaani "uhuru wa mtu binafsi lazima uwe na mipaka; hawezi kuwa kero kwa wengine."

Sasa Nikitoka Kuelezea Hoja Hiyo nitaenda Kukujibu swali lako uliloniuliza Mwanzoni Kuwa Nani kaweza Mipaka Hiyo..

So kama Nilivyosema Awali haki haipo peke yake bila wajibu. Kwa mfano, mtu ana haki ya kuishi anavyotaka, lakini wajibu wake ni kuhakikisha kuwa maisha yake hayavunji utulivu wa jamii (Ikiwemo Misingi ya Jamii na Tamaduni Iliyojiwekea na wala havunji haki za wengine)

Kwa hiyo, unaposema haki ya kuishi mtu anavyotaka haina mipaka, unakosea kwa sababu kila haki lazima iwe na uwiano wa wajibu ili kuwe na mshikamano wa kijamii.

Turudi Lilipokuja swa zima La wewe Kuleta Utata niliposema Mwanamke ana wajibu wa Kumtii Mumewe..

Kwanza Nadharia ya kijamii inatufundisha kuwa katika taasisi yoyote, iwe Ni Ya Kisiasa Kijamii kama ndoa, kuna mgawanyo wa majukumu ili kuwepo na utulivu.

nitamnukuu Mwanazuoni wa Socialogy na Anthropology anaitwa David Émile Durkheim anasema:

"Society is not a mere sum of individuals. Rather, the system formed by their association represents a specific reality that has its own characteristics."

(Jamii si mkusanyiko wa watu binafsi tu, bali ni mfumo wenye kanuni zake maalum.)

Sasa Kuolewa Sio Lazima Kama Ulivyosema Ila Kanuni za Kijamii Ambazo ndo msingi wa Haki zinaweka Misingi Ya Umuhimu Wa Mtu kuolewa Unless Usiwe Part ya Jamii hiyo so Kwa sasa Ndoa Imewkwa Kama Moja Ya Haki Na Jamii zetu..

So Katika ndoa, ili iweze kufanya kazi ipasavyo, kuna mgawanyo wa majukumu. Mwanamke na mwanaume wote wana haki na wajibu, na mojawapo ya wajibu wa mke ni kuheshimu mamlaka ya mumewe kama kiongozi wa familia, hasa pale ambapo majukumu yamegawanywa kwa makubaliano.

Aristotle, katika Politics, alisema:

"The rule of a household is a monarchy, for every house is under one head."

(Yaani, uongozi wa familia ni wa kifalme, kwa maana kuwa kila familia ina kiongozi mmoja.)

Hii haimaanishi kuwa Badi mume Kwa Kuwa Ni monarchy awe Dictecta No, bali kwamba kuna mfumo wa uongozi wa asili unaohakikisha usawa wa majukumu. Na Ndivyo jamii zetu hasa Watanzania katika mifumo yetu ya ndoa ambapo heshima na wajibu wa kila mmoja ni muhimu.

Uliposema mwanamke hana wajibu wa kuolewa, ni kweli. Hakuna mtu anayelazimishwa kuingia kwenye ndoa,

ila Swala Linakuja Ukishaamua Kuingia Kwenyr Ndoa au kwenye Mahusiano anakuwa ameingia katika mfumo wenye haki na wajibu. (hawezi kujiamulia Kitu kwakuwa eti kuna Liberty)

Sijui kama Unanielewa???

Katika Social Contract Theory ya Jean-Jacques Rousseau, anasema:

"Man is born free, and everywhere he is in chains."

(Yaani, binadamu huzaliwa huru, lakini kila mahali yuko katika minyororo ya jamii.)

Sasa Kiranga Unajua Hiyo Inamaanisha ninir kuwa tunapochagua kuishi ndani ya jamii au taasisi fulani (kama ndoa), tunakubali kufuata kanuni zake na Si vinginevyo..

Mwanamke akiamua kuolewa, anakuwa ameingia kwenye mkataba wa ndoa ambao unajumuisha haki na wajibu, ikiwa ni pamoja na kutii na kuheshimu mume wake kama sehemu ya mgawanyo wa majukumu.

Najua unaweza Ukasema naleta Ushamba and all staffs of Logical blah blah blah....
Namalizia Kwa Kumnukuu Hayati Edward Said, katika Orientalism, anaeleza kuwa:

"A society that ignores its foundational structures in pursuit of unchecked individualism risks self-destruction."

(Jamii inayopuuzia misingi yake katika harakati za kuendekeza uhuru wa mtu binafsi isiyo na mipaka inajihatarisha yenyewe.)

Kila Jamii ina Misingi yake na Kila Misingi ina Miiko yake Jamii yoyote Inayopuuza Misingi Hiyo Inahatari ys Kupotea na Kufata Misingi ya Jamii zinginr..

Extiction sio Lazima Iwe ni Upotevu wa Species tu hata Kupotea kwa Tabia, tamaduni na Miiko ya Jamii fulani Inayotambulisha Jamii Hiyo huitwa Societal extinction..


Asante!
CC:- Manyanza
 
Asante DR Mambo Jambo hilo nimeona leo Mkuu Kiranga akishindwa kujenga hoja yenye kueleweka ikielezea uhalisia wa hali halisi kutokana na hili andiko. Hoja yake imejikita katika kusema kila mtu ana haki na haitakiwi kumpangia. Imenifikirisha sana sijui kwanini Kiranga kaandika hivyo?

AU lengo lake ilikuwa ni kuufukunyua mjadala uwe mpana zaidi?
 
Asante DR Mambo Jambo hilo nimeona leo Mkuu Kiranga akishindwa kujenga hoja yenye kueleweka ikielezea uhalisia wa hali halisi kutokana na hili andiko. Hoja yake imejikita katika kusema kila mtu ana haki na haitakiwi kumpangia. Imenifikirisha sana sijui kwanini Kiranga kaandika hivyo?

AU lengo lake ilikuwa ni kuufukunyua mjadala uwe mpana zaidi?
Inawezekana Maana Hoja Nyingi anazotoa za Liberalism ni dhaifu sana
 
Mwanamke ASIEPENDEKA huwa anaweza kukaa hata miaka 36 bila mwanaume yoyote wa kueleweka.Hii inatokea kwa sababu muda mrefu anakuwa anatumia kuchagua mwanaume wa ndoto zake yaani kila siku anasema huyu mwanaume sio wa HADHI yake mpaka umri unakuwa mkubwa sana anaweza kuzalishwa na waume za watu au player boy au bad boy ambao wanampa ujauzito na kumtelekeza bila huduma zozote.

lakini akiwa na ujauzito au watoto hapo ataenda kwa mwanaume mstaarabu sana kwa ajili ya kupata faraja ya huzuni, majonzi, simanzi na upweke pamoja na mahitaji ya kifedha ili kumtunza mtoto au ujauzito ambao ametelekezwa nao.
Kweli, wanakuwa selective sana.
Kuna mmoja alichagua sana, hatimaye Aliangukia sehemu ambayo ni mbaya zaidi, hata alipoolewa hakurudi tena kwao Kwa aibu.
 
Kiranga hoja zako Kwa Upande Huu wa Leo zina udhaifu mkubwa katika kuelewa msingi wa haki na wajibu.

Nitafafanua kwa kutumia nadharia za kifalsafa, kijamii, na hata kisheria ili kukudhihirishia kasoro Zilizopo Ili Unielewe Zaidi..

kwanza Haki na Wajibu ni Pande Mbili za Sarafu Moja..

Wengi sana Tunaongea Kuhusu Liberalism ila Hatuielewi kabisa

Nitamnukuu John Stuart Mill, katika kitabu chake On Liberty, anasema:

"The liberty of the individual must be thus far limited; he must not make himself a nuisance to other people."

Yaani "uhuru wa mtu binafsi lazima uwe na mipaka; hawezi kuwa kero kwa wengine."

Sasa Nikitoka Kuelezea Hoja Hiyo nitaenda Kukujibu swali lako uliloniuliza Mwanzoni Kuwa Nani kaweza Mipaka Hiyo..

So kama Nilivyosema Awali haki haipo peke yake bila wajibu. Kwa mfano, mtu ana haki ya kuishi anavyotaka, lakini wajibu wake ni kuhakikisha kuwa maisha yake hayavunji utulivu wa jamii (Ikiwemo Misingi ya Jamii na Tamaduni Iliyojiwekea na wala havunji haki za wengine)

Kwa hiyo, unaposema haki ya kuishi mtu anavyotaka haina mipaka, unakosea kwa sababu kila haki lazima iwe na uwiano wa wajibu ili kuwe na mshikamano wa kijamii.

Turudi Lilipokuja swa zima La wewe Kuleta Utata niliposema Mwanamke ana wajibu wa Kumtii Mumewe..

Kwanza Nadharia ya kijamii inatufundisha kuwa katika taasisi yoyote, iwe Ni Ya Kisiasa Kijamii kama ndoa, kuna mgawanyo wa majukumu ili kuwepo na utulivu.

nitamnukuu Mwanazuoni wa Socialogy na Anthropology anaitwa David Émile Durkheim anasema:

"Society is not a mere sum of individuals. Rather, the system formed by their association represents a specific reality that has its own characteristics."

(Jamii si mkusanyiko wa watu binafsi tu, bali ni mfumo wenye kanuni zake maalum.)

Sasa Kuolewa Sio Lazima Kama Ulivyosema Ila Kanuni za Kijamii Ambazo ndo msingi wa Haki zinaweka Misingi Ya Umuhimu Wa Mtu kuolewa Unless Usiwe Part ya Jamii hiyo so Kwa sasa Ndoa Imewkwa Kama Moja Ya Haki Na Jamii zetu..

So Katika ndoa, ili iweze kufanya kazi ipasavyo, kuna mgawanyo wa majukumu. Mwanamke na mwanaume wote wana haki na wajibu, na mojawapo ya wajibu wa mke ni kuheshimu mamlaka ya mumewe kama kiongozi wa familia, hasa pale ambapo majukumu yamegawanywa kwa makubaliano.

Aristotle, katika Politics, alisema:

"The rule of a household is a monarchy, for every house is under one head."

(Yaani, uongozi wa familia ni wa kifalme, kwa maana kuwa kila familia ina kiongozi mmoja.)

Hii haimaanishi kuwa Badi mume Kwa Kuwa Ni monarchy awe Dictecta No, bali kwamba kuna mfumo wa uongozi wa asili unaohakikisha usawa wa majukumu. Na Ndivyo jamii zetu hasa Watanzania katika mifumo yetu ya ndoa ambapo heshima na wajibu wa kila mmoja ni muhimu.

Uliposema mwanamke hana wajibu wa kuolewa, ni kweli. Hakuna mtu anayelazimishwa kuingia kwenye ndoa,

ila Swala Linakuja Ukishaamua Kuingia Kwenyr Ndoa au kwenye Mahusiano anakuwa ameingia katika mfumo wenye haki na wajibu. (hawezi kujiamulia Kitu kwakuwa eti kuna Liberty)

Sijui kama Unanielewa???

Katika Social Contract Theory ya Jean-Jacques Rousseau, anasema:

"Man is born free, and everywhere he is in chains."

(Yaani, binadamu huzaliwa huru, lakini kila mahali yuko katika minyororo ya jamii.)

Sasa Kiranga Unajua Hiyo Inamaanisha ninir kuwa tunapochagua kuishi ndani ya jamii au taasisi fulani (kama ndoa), tunakubali kufuata kanuni zake na Si vinginevyo..

Mwanamke akiamua kuolewa, anakuwa ameingia kwenye mkataba wa ndoa ambao unajumuisha haki na wajibu, ikiwa ni pamoja na kutii na kuheshimu mume wake kama sehemu ya mgawanyo wa majukumu.

Najua unaweza Ukasema naleta Ushamba and all staffs of Logical blah blah blah....
Namalizia Kwa Kumnukuu Hayati Edward Said, katika Orientalism, anaeleza kuwa:

"A society that ignores its foundational structures in pursuit of unchecked individualism risks self-destruction."

(Jamii inayopuuzia misingi yake katika harakati za kuendekeza uhuru wa mtu binafsi isiyo na mipaka inajihatarisha yenyewe.)

Kila Jamii ina Misingi yake na Kila Misingi ina Miiko yake Jamii yoyote Inayopuuza Misingi Hiyo Inahatari ys Kupotea na Kufata Misingi ya Jamii zinginr..

Extiction sio Lazima Iwe ni Upotevu wa Species tu hata Kupotea kwa Tabia, tamaduni na Miiko ya Jamii fulani Inayotambulisha Jamii Hiyo huitwa Societal extinction..


Asante!
CC:- Manyanza
You are boring me with a lobgwinded essay about nothing.

Kitu cha msingi ni kwamba hao wanawake wana haki ya kuishi maisha yao, na wakiishi hivyo hawawaingilii maisha yenu.

Nyie mmezoea mfumodume wa kuwapangia wanawake maisha na dunia hiyo inakwisha mnatapatapa.

Waachieni waamue wanaolewa na nani, au hata waamue hawaolewi.

Ni haki yao.

Waachieni waende kwa manabii katika age yoyote, ni haki yao.

Nyie mnawashwa nini?

Kwani nyie ndio mnaoolewa?

Where is the beef here?

Mimi mbona hao wanawake hawanisumbui, nipo na mwanamke wangu?

Nyie hamna wanawake? Is that the problem?
 
Mfano wako ni mbovu.

Huo wajibu wa mwanamke kumtii mumewe unautoa wapi?

Mwanamke hana hata wajibu wa kuolewa. Unamuwekea vipi wajibu wa kumtii mumewe?

That is overly presumptuous of you.

The best comment!
 
You are boring me with a lobgwinded essay about nothing.

Kitu cha msingi ni kwamba hao wanawake wana haki ya kuishi maisha yao, na wakiishi hivyo hawawaingilii maisha yenu.

Nyie mmezoea mfumodume wa kuwapangia wanawake maisha na dunia hiyo inakwisha mnatapatapa.

Waachieni waamue wanaolewa na nani, au hata waamue hawaolewi.

Ni haki yao.

Waachieni waende kwa manabii katika age yoyote, ni haki yao.

Nyie mnawashwa nini?

Kwani nyie ndio mnaoolewa?

Where is the beef here?

Mimi mbona hao wanawake hawanisumbui, nipo na mwanamke wangu?

Nyie hamna wanawake? Is that the problem?

📌📌🙌
 
Kiranga hoja zako Kwa Upande Huu wa Leo zina udhaifu mkubwa katika kuelewa msingi wa haki na wajibu.

Nitafafanua kwa kutumia nadharia za kifalsafa, kijamii, na hata kisheria ili kukudhihirishia kasoro Zilizopo Ili Unielewe Zaidi..

kwanza Haki na Wajibu ni Pande Mbili za Sarafu Moja..

Wengi sana Tunaongea Kuhusu Liberalism ila Hatuielewi kabisa

Nitamnukuu John Stuart Mill, katika kitabu chake On Liberty, anasema:

"The liberty of the individual must be thus far limited; he must not make himself a nuisance to other people."

Yaani "uhuru wa mtu binafsi lazima uwe na mipaka; hawezi kuwa kero kwa wengine."

Sasa Nikitoka Kuelezea Hoja Hiyo nitaenda Kukujibu swali lako uliloniuliza Mwanzoni Kuwa Nani kaweza Mipaka Hiyo..

So kama Nilivyosema Awali haki haipo peke yake bila wajibu. Kwa mfano, mtu ana haki ya kuishi anavyotaka, lakini wajibu wake ni kuhakikisha kuwa maisha yake hayavunji utulivu wa jamii (Ikiwemo Misingi ya Jamii na Tamaduni Iliyojiwekea na wala havunji haki za wengine)

Kwa hiyo, unaposema haki ya kuishi mtu anavyotaka haina mipaka, unakosea kwa sababu kila haki lazima iwe na uwiano wa wajibu ili kuwe na mshikamano wa kijamii.

Turudi Lilipokuja swa zima La wewe Kuleta Utata niliposema Mwanamke ana wajibu wa Kumtii Mumewe..

Kwanza Nadharia ya kijamii inatufundisha kuwa katika taasisi yoyote, iwe Ni Ya Kisiasa Kijamii kama ndoa, kuna mgawanyo wa majukumu ili kuwepo na utulivu.

nitamnukuu Mwanazuoni wa Socialogy na Anthropology anaitwa David Émile Durkheim anasema:

"Society is not a mere sum of individuals. Rather, the system formed by their association represents a specific reality that has its own characteristics."

(Jamii si mkusanyiko wa watu binafsi tu, bali ni mfumo wenye kanuni zake maalum.)

Sasa Kuolewa Sio Lazima Kama Ulivyosema Ila Kanuni za Kijamii Ambazo ndo msingi wa Haki zinaweka Misingi Ya Umuhimu Wa Mtu kuolewa Unless Usiwe Part ya Jamii hiyo so Kwa sasa Ndoa Imewkwa Kama Moja Ya Haki Na Jamii zetu..

So Katika ndoa, ili iweze kufanya kazi ipasavyo, kuna mgawanyo wa majukumu. Mwanamke na mwanaume wote wana haki na wajibu, na mojawapo ya wajibu wa mke ni kuheshimu mamlaka ya mumewe kama kiongozi wa familia, hasa pale ambapo majukumu yamegawanywa kwa makubaliano.

Aristotle, katika Politics, alisema:

"The rule of a household is a monarchy, for every house is under one head."

(Yaani, uongozi wa familia ni wa kifalme, kwa maana kuwa kila familia ina kiongozi mmoja.)

Hii haimaanishi kuwa Badi mume Kwa Kuwa Ni monarchy awe Dictecta No, bali kwamba kuna mfumo wa uongozi wa asili unaohakikisha usawa wa majukumu. Na Ndivyo jamii zetu hasa Watanzania katika mifumo yetu ya ndoa ambapo heshima na wajibu wa kila mmoja ni muhimu.

Uliposema mwanamke hana wajibu wa kuolewa, ni kweli. Hakuna mtu anayelazimishwa kuingia kwenye ndoa,

ila Swala Linakuja Ukishaamua Kuingia Kwenyr Ndoa au kwenye Mahusiano anakuwa ameingia katika mfumo wenye haki na wajibu. (hawezi kujiamulia Kitu kwakuwa eti kuna Liberty)

Sijui kama Unanielewa???

Katika Social Contract Theory ya Jean-Jacques Rousseau, anasema:

"Man is born free, and everywhere he is in chains."

(Yaani, binadamu huzaliwa huru, lakini kila mahali yuko katika minyororo ya jamii.)

Sasa Kiranga Unajua Hiyo Inamaanisha ninir kuwa tunapochagua kuishi ndani ya jamii au taasisi fulani (kama ndoa), tunakubali kufuata kanuni zake na Si vinginevyo..

Mwanamke akiamua kuolewa, anakuwa ameingia kwenye mkataba wa ndoa ambao unajumuisha haki na wajibu, ikiwa ni pamoja na kutii na kuheshimu mume wake kama sehemu ya mgawanyo wa majukumu.

Najua unaweza Ukasema naleta Ushamba and all staffs of Logical blah blah blah....
Namalizia Kwa Kumnukuu Hayati Edward Said, katika Orientalism, anaeleza kuwa:

"A society that ignores its foundational structures in pursuit of unchecked individualism risks self-destruction."

(Jamii inayopuuzia misingi yake katika harakati za kuendekeza uhuru wa mtu binafsi isiyo na mipaka inajihatarisha yenyewe.)

Kila Jamii ina Misingi yake na Kila Misingi ina Miiko yake Jamii yoyote Inayopuuza Misingi Hiyo Inahatari ys Kupotea na Kufata Misingi ya Jamii zinginr..

Extiction sio Lazima Iwe ni Upotevu wa Species tu hata Kupotea kwa Tabia, tamaduni na Miiko ya Jamii fulani Inayotambulisha Jamii Hiyo huitwa Societal extinction..


Asante!
CC:- Manyanza
You must not make yourself nuisance to other people this means usijiweke nuisance to older women who are unmarried, single mothers etc simply mind your business you have no right to interfere with these women just because they are not up to your standards of living or how you perceive life should be. Incase hujaielewa hio sentence!
 
You are boring me with a lobgwinded essay about nothing.

Kitu cha msingi ni kwamba hao wanawake wana haki ya kuishi maisha yao, na wakiishi hivyo hawawaingilii maisha yenu.

Nyie mmezoea mfumodume wa kuwapangia wanawake maisha na dunia hiyo inakwisha mnatapatapa.

Waachieni waamue wanaolewa na nani, au hata waamue hawaolewi.

Ni haki yao.

Waachieni waende kwa manabii katika age yoyote, ni haki yao.

Nyie mnawashwa nini?

Kwani nyie ndio mnaoolewa?

Where is the beef here?

Mimi mbona hao wanawake hawanisumbui, nipo na mwanamke wangu?

Nyie hamna wanawake? Is that the problem?
Hahaha 😀😀
Kiranga Sasa red herring na strawman arguments za Nini?
Mambo ya kutuuliza sisi ndo tunaolewa Yametoka wapi au Tunawashwa 😀😀

Rudi kwenyr Hoja Nilizowasilisha na Uzijibu acha Kukwepa Hoja kwa Kufanya Motive attaking 😀😀..

Mjadala Huu Sio Personal why Unahisi Ni personal?

Jean-François Revel, katika The Flight from Truth, anasema:

"When an argument is weak, the easiest escape is to attack the motives of your opponent rather than their reasoning."

Nimekupa Sababu za Kijamii Kwanini Ni wajibu wanawake Kuolewa na Kwanini Ni wajibu wanawake Kutii Waume zao..

Unakuja Na Argumentive Facts weak kabisa kama Wanawake wana haki ya Kuishi maisha yao..Yes wanayo na Ndio maana Nikakuambia Kila Haki ina wajibu wake..
Na wana wajibu wa Kuishi maisha hayo Kulingana na Utaratibu wa Jamii husika..

Unaposema 'Waachieni waishi watakavyo" unashindwa kuelewa kuwa jamii ina mifumo ya kusimamia mwenendo wa watu wake ili kudumisha utulivu na maadili. Na Hiyo siyo 'mfumo dume' bali ni uhalisia wa kijamiï uliopo katika mifumo yote ya kisheria na kimaadili. Na Imekuwa Hivyo Miaka yote.

Tafuta Theory ya Social Constructivism ya Peter Berger na Thomas Luckmann, inayostate kuwa.. "jamii huunda uhalisia
wa kijamii unaofanya kazi kwa minajili ya manufaa ya wote. Hakuna haki isiyozingatia muktadha huo,Yaani Hakuna Haki Isiyozingatia Maadili"..


Hata John Rawls na Robert Nozick Katika falsafa ya haki za binadamu, John Rawls (1971) anasema katika A Theory of Justice kuwa haki siyo tu uhuru wa mtu binafsi, bali zinapaswa kuangaliwa kwa misingi ya uwiano wa jamii.

Robert Nozick (1974)
, katika Anarchy, State, and Utopia, anakubaliana kuwa uhuru upo, lakini lazima kuwe na mipaka inayoweka uwiano wa kijamii.

Kwa hiyo, haki siyo tu "nafanya ninachotaka," bali ni lazima kuwe na mipaka ili jamii iweze kudumu kwa usawa.

Hakuna aliyesema mwanamke analazimishwa kuolewa, lakini akishaingia kwenye ndoa au kwenye Mahusiano kuna mfumo wa kijamii unaosimamia uwiano wa haki na wajibu.

Unaposema, "waachieni waamue wanaolewa na nani," hakuna anayepinga hilo. Lakini swali linakuja, baada ya ndoa au Mahusiano kuna wajibu gani ndani yake?
 
Hahaha 😀😀
Kiranga Sasa red herring na strawman arguments za Nini?
Mambo ya kutuuliza sisi ndo tunaolewa Yametoka wapi au Tunawashwa 😀😀

Rudi kwenyr Hoja Nilizowasilisha na Uzijibu acha Kukwepa Hoja kwa Kufanya Motive attaking 😀😀..

Mjadala Huu Sio Personal why Unahisi Ni personal?

Jean-François Revel, katika The Flight from Truth, anasema:

"When an argument is weak, the easiest escape is to attack the motives of your opponent rather than their reasoning."

Nimekupa Sababu za Kijamii Kwanini Ni wajibu wanawake Kuolewa na Kwanini Ni wajibu wanawake Kutii Waume zao..

Unakuja Na Argumentive Facts weak kabisa kama Wanawake wana haki ya Kuishi maisha yao..Yes wanayo na Ndio maana Nikakuambia Kila Haki ina wajibu wake..
Na wana wajibu wa Kuishi maisha hayo Kulingana na Utaratibu wa Jamii husika..

Unaposema 'Waachieni waishi watakavyo" unashindwa kuelewa kuwa jamii ina mifumo ya kusimamia mwenendo wa watu wake ili kudumisha utulivu na maadili. Na Hiyo siyo 'mfumo dume' bali ni uhalisia wa kijamiï uliopo katika mifumo yote ya kisheria na kimaadili. Na Imekuwa Hivyo Miaka yote.

Tafuta Theory ya Social Constructivism ya Peter Berger na Thomas Luckmann, inayostate kuwa.. "jamii huunda uhalisia
wa kijamii unaofanya kazi kwa minajili ya manufaa ya wote. Hakuna haki isiyozingatia muktadha huo,Yaani Hakuna Haki Isiyozingatia Maadili"..


Hata John Rawls na Robert Nozick Katika falsafa ya haki za binadamu, John Rawls (1971) anasema katika A Theory of Justice kuwa haki siyo tu uhuru wa mtu binafsi, bali zinapaswa kuangaliwa kwa misingi ya uwiano wa jamii.

Robert Nozick (1974)
, katika Anarchy, State, and Utopia, anakubaliana kuwa uhuru upo, lakini lazima kuwe na mipaka inayoweka uwiano wa kijamii.

Kwa hiyo, haki siyo tu "nafanya ninachotaka," bali ni lazima kuwe na mipaka ili jamii iweze kudumu kwa usawa.

Hakuna aliyesema mwanamke analazimishwa kuolewa, lakini akishaingia kwenye ndoa au kwenye Mahusiano kuna mfumo wa kijamii unaosimamia uwiano wa haki na wajibu.

Unaposema, "waachieni waamue wanaolewa na nani," hakuna anayepinga hilo. Lakini swali linakuja, baada ya ndoa au Mahusiano kuna wajibu gani ndani yake?
Inaonekana tuna tofauti kubwa sana za kifalsafa.

Mimi nina falsafa kwamba mtu ana sovereignty kwenye kuamua mambo yake, ili mradi hamvunjii uhuru mtu mwingine.

Akiamua aolewe sawa. Akiamua asiolewe sawa. Akiamua kwenda kwa manabii sawa. Akiamua kwenda kwa waganga wa kienyeji sawa. In favt hata sioni tofauti ya manabii na waganga wa kienyeji. Naona wote sawa tu kimsingi. Ilimradi hakuingilii wewe kwenye maisha yako, ana uhuru wa kuishi atakavyo.

Sasa hapo akiamua aolewe, akiamua asiolewe, akiamua aende kwa manabii, akiamua asiende, anakuvunjia wewe uhuru gani?

Hii ni hoja ya msingi inayojisimamia yenyewe ambayo haihitaji kumnukuu mtu yeyote.

Wewe unanukuu mambo mengi lakini kimsingi unaipinga hiyo personal sovereignty.

Hatuwezi kuelewana. Huelewi hata hoja kwamba wanawake hao hawaingikii uhuru wako. Unasema uhuru wao una mipaka.

Mtu kakaa nyumbani kwake, kwenye mipaka ya nyumba yake, wewe unasema hana nyumba isiyo na mioaka. Sawa, nyumba yake ina mipaka, lakini yupo kwenye mipaka ya nyumba yake, wewe tatizo lako nini?

Hujaweza kueleza tatizo lako nini moaka sasa. Unaweka nukuu ambazo hazioneshi wanawake hawa wanakuvunjiaje wewe uhuru wako.

Mwanamke akiamua kutoolewa kakuvunjia wewe uhuru gani? Mwanamke akiamua kwenda kwa manabii kakuvunjia wewe uhuru gani?

Fikra zako ni za kizamani sana, kijima sana, zinapinga uhuru wa mtu binafsi sana na sioni jinsi tunavyoweza kuelewana.

You are just boring me. I do not find your points interesting. In fact I find them quite archaic.

Ukiendelea kuni bore hivi nitakupeleka ignote list tu nisione unachoandika.

Because I will find nothing in common with you to use as a starting point for a constructive conversation.

You will be like one of the semi literate country bumpkins I regularly put on my ignore list here.
 
Back
Top Bottom