Njia gani ni bora kwa mtumishi kuhama kutoka halmashauri (local government) kwenda Taasisi zingine?

Njia gani ni bora kwa mtumishi kuhama kutoka halmashauri (local government) kwenda Taasisi zingine?

Issue Yako Iko kama Mimi. Kusema ukweli tamisemi hapana jamani. Yaani huku tunapauka mpaka basi. Mm nilisoma course ambayo nililetwa huku lakn ikaonekana kazi za kufanya hamna. Tuliomaliza kipindi Cha kikwete ilikuwa unaweza pelekwa sehemu utajua mwenyewe huko huko. Nina degree nilirud kusoma certificate ili nifit kwenye mfumo but sikufanikiwa kumaliza. Hapa ni kwamba nilianza biashara na kunogewa na kujikuta muda wa kurud kazini umeisha. Mwaka huu nimeomba kwenda kusoma masters nimepambana mpaka ruhusa nimepata.
 
Mkuu kuwa Makini na utoaji wa taarifa zako humu,Kikubwa nakushauri eleza mambo Kwa ufupi ufupi...
Lakini kingine nakushauri tafuta Taasisi yoyote ile yenye nafasi halafu omba kuhamia....
Lakini kama ikiwa ngumu nenda kasome masters kwanza Huku ukifuatilia mipango yako
SAwa mkuu nimekuelewa, Lakini kuhama Taasisi ni kosa? Kwamba mtu mwingine anaweza Kuona ni nongwa?
 
Kama watu wakihama wote unadhani jamii ita hudumiwa na nani kikubwa kumshukuru mungu hapo ulipo na tengeneza mazingira kuwa fursa mm nilikuwa na mawazo kama Yako ila saiv nalima na mshukuru mungu fursa ya kilimo imenifanya niondokane na mawazo ya mshahara mkubwa sijui sehemu nzuri hata ulipwe milioni 10 kma huna nidhamu na fedha bado utaona ndogo na utataman ten kuhamia taasisi nyingine
 
au tuseme mechanical engineering. Kwamba hata nikirudi halmashauri wanifanyie recategorization then niombe kwenda Taasisi nyingine huku nikiwa nimeshafanyiwa?
Mkuu samahani kwa kukuweka kidogo kuhusu hizi hoja zako. Sasa tuanze na hii.

Incase ukasomea mechanical engineering, ukimaliza pale halmadhauri watakubadilishia cheo cha muundo (recategorisation) kutoka divisheni ya elimu sekondari kwenda divisheni ya miundombinu na maendeleo ya mitaa/vijiji. (Zamani hizi divisheni zilikuwa zinaitwa idara, na ndilo neno lililozoeleka kwa wengi). Kumbuka mpaka uruhusiwe kwenda kusoma kada tofauti kubadilishwa muundo sio issue tena.

Sasa kwenye hii divisheni ya miundombinu na maendeleo mitaa/vijijini kuna vitengo/sekta tatu; yaani;
1. Sekta ya majengo
2. Sekta ya barabara
3. Sekta ya mitambo na umeme.

Sasa wewe kama mechanical engineer utakuwa hii sekta ya mitambo, ukihusika na kukagua na kusimamia matengenezo yote ya magari ya halmashauri. Wadau wako watakuwa ni TEMESA kwani ndio taasisi ya serikali yenye wajibu wa kutengeneza magari yote ya serikali. Na huko ndio utajenga link ya kuhamia TEMESA au taasisi nyingine moja kwa moja kutoka LGA



mfano Nikisoma mambo ya meteorology ndani ya halmashauri Kuna ofisi zinazoshugulikia hayo mambo ya Hali ya hewa?...
So far, masuala ya hali ya hewa hayana uzito huo kwenye LGAs, mara nyingi yanaratibiwa na TMA wenyewe. Japo kwa baadhi ya maeneo TMA huwa wanaweka partnership na LGAs especially masuala ya kuchukua takwimu kwenye mitambo yao wanayoweka wanakohitaji.

Sasa, kutokuwepo na divisheni mahsusi kwenye halmashauri hakukuzuii kusomea hilo suala. Kumbuka huu ni mchongo unafanya, HR akiwa upande wako anakuruhusu ukasome. Ukitoka masomoni unapeleka vyeti, yeye anakuongezea ujuzi kwenye database.

Sasa profile yako ikishakuwa updated, unatafuta chance huko TMA ukipata utaandika barua kigezo kuwa hapa kwenye halmashauri uko underutilized, maana taaluma yako mpya haitumiki. Simple but inahitaji kujitoa kimwili, kiroho na kiuchumi.

Mfumo wa malipo wa Lawson upoje? Nimeambiwa kwamba mfano nikienda kusoma hata nikiajiriwa sehemu nyingine utazingua kwenye malipo kwa sababu Mimi tayari ni muajiriwa sehemu nyingine, au Ndio tunarudi kule kwa Afsa utumishi kunifanyia re-categorization?.
Kwa kifupi ni kwamba, hakuna double employment kwenye mamlaka za umma. Nikisema mamlaka za umma namaanisha ile mihimi mitatu ya nchi, Yaani Serikali, Bunge na mahakama. Sababu ni moja tu, fedha zote zinatoka hazina kuuu. Kwa hiyo haiwezekani kwa mfano mtu aajiriwe serikalini af aache aombe mahakama au bunge. Mfumo utamkataa maana taarifa zote hizi zina link kwa mfumo huo wa lawson. Yaani ukishapewa cheque number huwezi kupewa nyingine, wakiingiza credentials zako zinagoma kabisa.

Na nikisema serikali ujue inajumuisha serikali kuu, serikali za mitaa, taasisi zote za umma, mashirika yote ya umma, na asasi zote za kiserikali.

Sasa kinachofanyika hapa sio kuomba ajira upya kutoka sehemu moja kwenda nyingine, bali ni kuomba kuhamia sehemu unayotaka yenye sifa ulizonazo. Halafu kule unakokwenda wanakulipa mshahara kutokana na viwango vyao vya mishahara.

Ndio maana ukiona ajira za umma kwa waombaji wapya age limit huwa ni 45 years, lakini wale wanaohama sehemu moja kwenda nyingine huwa hakuna age limit, maana wewe huajiriwi ila unahamia.

Kwa hiyo wewe mkuu usijaribu kuomba ajira upya, (labda uombe private), omba kuhamia.

Kila la kheri mkuu
 
Kama ningekua kwenye manispaa au halmashauri zilizochangamka ningesoma na Kuona impact yake moja kwa moja shida Niko porini sana.
Hii kitu niliwahi kuisema hapa, kuajiriwa ndanindani ni kuuliwa kujiendeleza kitaaluma, ungekua jiji au manispaa ungepiga evening class veta, chuo nk ujiendeleze, ila huko Tanganyika lima na kufuga tuu
 
Hii kitu niliwahi kuisema hapa, kuajiriwa ndanindani ni kuuliwa kujiendeleza kitaaluma, ungekua jiji au manispaa ungepiga evening class veta, chuo nk ujiendeleze, ila huko Tanganyika lima na kufuga tuu

Nashauri hapo akusanye pesa za kutosha na kupata info za kutosha siku akianza harakati za kuhama pesa imtengenezee njia.
 
Mkuu samahani kwa kukuweka kidogo kuhusu hizi hoja zako. Sasa tuanze na hii.

Incase ukasomea mechanical engineering, ukimaliza pale halmadhauri watakubadilishia cheo cha muundo (recategorisation) kutoka divisheni ya elimu sekondari kwenda divisheni ya miundombinu na maendeleo ya mitaa/vijiji. (Zamani hizi divisheni zilikuwa zinaitwa idara, na ndilo neno lililozoeleka kwa wengi). Kumbuka mpaka uruhusiwe kwenda kusoma kada tofauti kubadilishwa muundo sio issue tena.

Sasa kwenye hii divisheni ya miundombinu na maendeleo mitaa/vijijini kuna vitengo/sekta tatu; yaani;
1. Sekta ya majengo
2. Sekta ya barabara
3. Sekta ya mitambo na umeme.

Sasa wewe kama mechanical engineer utakuwa hii sekta ya mitambo, ukihusika na kukagua na kusimamia matengenezo yote ya magari ya halmashauri. Wadau wako watakuwa ni TEMESA kwani ndio taasisi ya serikali yenye wajibu wa kutengeneza magari yote ya serikali. Na huko ndio utajenga link ya kuhamia TEMESA au taasisi nyingine moja kwa moja kutoka LGA




So far, masuala ya hali ya hewa hayana uzito huo kwenye LGAs, mara nyingi yanaratibiwa na TMA wenyewe. Japo kwa baadhi ya maeneo TMA huwa wanaweka partnership na LGAs especially masuala ya kuchukua takwimu kwenye mitambo yao wanayoweka wanakohitaji.

Sasa, kutokuwepo na divisheni mahsusi kwenye halmashauri hakukuzuii kusomea hilo suala. Kumbuka huu ni mchongo unafanya, HR akiwa upande wako anakuruhusu ukasome. Ukitoka masomoni unapeleka vyeti, yeye anakuongezea ujuzi kwenye database.

Sasa profile yako ikishakuwa updated, unatafuta chance huko TMA ukipata utaandika barua kigezo kuwa hapa kwenye halmashauri uko underutilized, maana taaluma yako mpya haitumiki. Simple but inahitaji kujitoa kimwili, kiroho na kiuchumi.


Kwa kifupi ni kwamba, hakuna double employment kwenye mamlaka za umma. Nikisema mamlaka za umma namaanisha ile mihimi mitatu ya nchi, Yaani Serikali, Bunge na mahakama. Sababu ni moja tu, fedha zote zinatoka hazina kuuu. Kwa hiyo haiwezekani kwa mfano mtu aajiriwe serikalini af aache aombe mahakama au bunge. Mfumo utamkataa maana taarifa zote hizi zina link kwa mfumo huo wa lawson. Yaani ukishapewa cheque number huwezi kupewa nyingine, wakiingiza credentials zako zinagoma kabisa.

Na nikisema serikali ujue inajumuisha serikali kuu, serikali za mitaa, taasisi zote za umma, mashirika yote ya umma, na asasi zote za kiserikali.

Sasa kinachofanyika hapa sio kuomba ajira upya kutoka sehemu moja kwenda nyingine, bali ni kuomba kuhamia sehemu unayotaka yenye sifa ulizonazo. Halafu kule unakokwenda wanakulipa mshahara kutokana na viwango vyao vya mishahara.

Ndio maana ukiona ajira za umma kwa waombaji wapya age limit huwa ni 45 years, lakini wale wanaohama sehemu moja kwenda nyingine huwa hakuna age limit, maana wewe huajiriwi ila unahamia.

Kwa hiyo wewe mkuu usijaribu kuomba ajira upya, (labda uombe private), omba kuhamia.

Kila la kheri mkuu

Well said natumai mleta mada amepata muongozo.
 
SAwa mkuu nimekuelewa, Lakini kuhama Taasisi ni kosa? Kwamba mtu mwingine anaweza Kuona ni nongwa?
Mkuu kwanza mimi nakutahadharisha kwamba unachokitafuta ni UTAJIRI WA PESA kitu ambacho kwenye UTUMISHI WA UMMA hutokuja kukipata kamwe. Unachokitafuta wewe ni siku moja kuja kuwa mwizi au fisadi.
Uko kikazi Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi halafu unalalamika???????
Mwili wangu umesisimka ujue kwa mfano uko Sibwesa, Karema, Mishamo nk popote ulipo umezungukwa na Utajiri mdogo wangu.
Fuga Ng'ombe anza na mtaji wa Mil 2 nenda mnada wa Sibwesa nunua ng'ombe wako 5 wa laki 4@ baada ya miaka 3 utaanza kula matunda.
Lima Mpunga pale Sibwesa kodi shamba tandika ekari zako 5 mwisho wa msimu una gunia zako 180 na sasa guni ni 120k@.
Nunua Ng'ombe zako 2 na jembe lake anza kukodisha hii kwa siku hukosi 50k umekosa sana.
Lima Pamba ambalo ni zao jipya hapo Tanganyika na kiwanda kipya kimefunguliwa pia na ardhi inakubali kinyama.
Nunua Mpunga wakati wa Mavuno hifadhi uza wakati wa njaa Januari.
Naongea haya yote nimeyapitia na kuyaishi. Usidanganye watu jwamba Tanganyika ni pabaya, mimi nipo ndaaaaani huku Kijijini MWESE nafanya maisha yangu na BATA LANGU nikiamua kwasababu Mpunga ninao nakamata zangu pipa nazama Dar nafanya UNYAMA MWINGI. Ukitaka ushauri njoo inbox acha kupaparika na kukimbilia mjini au Taasisi. Askari wa kweli hakimbiii Uwanja wa VITA.
Yaaani uko Tanganyika halafu unalia huna maisha???? Maajabu.
tukuyu 08 uko Sumbawanga unalia lia.
Ukitaka Utajiri usikubali kuajiriwa.
Unapoajiriwa tambua kwamba umrjisajili kwenye mnyororo wa Umaskini.
Tambua kwenye orodha ya Mabilionea Ilimwenguni kote halipo jina la Mfanyakazi aliyeajiriwa. So kama unatafuta utajiri acha kazi📌
 
Mkuu kwanza mimi nakutahadharisha kwamba unachokitafuta ni UTAJIRI WA PESA kitu ambacho kwenye UTUMISHI WA UMMA hutokuja kukipata kamwe. Unachokitafuta wewe ni siku moja kuja kuwa mwizi au fisadi.
Uko kikazi Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi halafu unalalamika???????
Mwili wangu umesisimka ujue kwa mfano uko Sibwesa, Karema, Mishamo nk popote ulipo umezungukwa na Utajiri mdogo wangu.
Fuga Ng'ombe anza na mtaji wa Mil 2 nenda mnada wa Sibwesa nunua ng'ombe wako 5 wa laki 4@ baada ya miaka 3 utaanza kula matunda.
Lima Mpunga pale Sibwesa kodi shamba tandika ekari zako 5 mwisho wa msimu una gunia zako 180 na sasa guni ni 120k@.
Nunua Ng'ombe zako 2 na jembe lake anza kukodisha hii kwa siku hukosi 50k umekosa sana.
Lima Pamba ambalo ni zao jipya hapo Tanganyika na kiwanda kipya kimefunguliwa pia na ardhi inakubali kinyama.
Nunua Mpunga wakati wa Mavuno hifadhi uza wakati wa njaa Januari.
Naongea haya yote nimeyapitia na kuyaishi. Usidanganye watu jwamba Tanganyika ni pabaya, mimi nipo ndaaaaani huku Kijijini MWESE nafanya maisha yangu na BATA LANGU nikiamua kwasababu Mpunga ninao nakamata zangu pipa nazama Dar nafanya UNYAMA MWINGI. Ukitaka ushauri njoo inbox acha kupaparika na kukimbilia mjini au Taasisi. Askari wa kweli hakimbiii Uwanja wa VITA.
Yaaani uko Tanganyika halafu unalia huna maisha???? Maajabu.
tukuyu 08 uko Sumbawanga unalia lia.
Ukitaka Utajiri usikubali kuajiriwa.
Unapoajiriwa tambua kwamba umrjisajili kwenye mnyororo wa Umaskini.
Tambua kwenye orodha ya Mabilionea Ilimwenguni kote halipo jina la Mfanyakazi aliyeajiriwa. So kama unatafuta utajiri acha kazi[emoji419]

Umewaza vyema ila sidhani kama ni malengo ya mleta mada,yeye hana mpango na kuishi huko Tanganyika wala kufanya kazi halmashauri.
 
Mkuu kwanza mimi nakutahadharisha kwamba unachokitafuta ni UTAJIRI WA PESA kitu ambacho kwenye UTUMISHI WA UMMA hutokuja kukipata kamwe. Unachokitafuta wewe ni siku moja kuja kuwa mwizi au fisadi.
Uko kikazi Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi halafu unalalamika???????
Mwili wangu umesisimka ujue kwa mfano uko Sibwesa, Karema, Mishamo nk popote ulipo umezungukwa na Utajiri mdogo wangu.
Fuga Ng'ombe anza na mtaji wa Mil 2 nenda mnada wa Sibwesa nunua ng'ombe wako 5 wa laki 4@ baada ya miaka 3 utaanza kula matunda.
Lima Mpunga pale Sibwesa kodi shamba tandika ekari zako 5 mwisho wa msimu una gunia zako 180 na sasa guni ni 120k@.
Nunua Ng'ombe zako 2 na jembe lake anza kukodisha hii kwa siku hukosi 50k umekosa sana.
Lima Pamba ambalo ni zao jipya hapo Tanganyika na kiwanda kipya kimefunguliwa pia na ardhi inakubali kinyama.
Nunua Mpunga wakati wa Mavuno hifadhi uza wakati wa njaa Januari.
Naongea haya yote nimeyapitia na kuyaishi. Usidanganye watu jwamba Tanganyika ni pabaya, mimi nipo ndaaaaani huku Kijijini MWESE nafanya maisha yangu na BATA LANGU nikiamua kwasababu Mpunga ninao nakamata zangu pipa nazama Dar nafanya UNYAMA MWINGI. Ukitaka ushauri njoo inbox acha kupaparika na kukimbilia mjini au Taasisi. Askari wa kweli hakimbiii Uwanja wa VITA.
Yaaani uko Tanganyika halafu unalia huna maisha???? Maajabu.
tukuyu 08 uko Sumbawanga unalia lia.
Ukitaka Utajiri usikubali kuajiriwa.
Unapoajiriwa tambua kwamba umrjisajili kwenye mnyororo wa Umaskini.
Tambua kwenye orodha ya Mabilionea Ilimwenguni kote halipo jina la Mfanyakazi aliyeajiriwa. So kama unatafuta utajiri acha kazi📌
Akili kubwa sana hii ....mtoa mada usipomwelewa huyu basi Tena utakuwa sikio la kufa ..
 
Back
Top Bottom