Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Tengeneza tatizo Kisha omba likizo yamda kidogo atatambua thamani ya uwepo wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akirudi, nafasi inakuwa na mtu mwingineTengeneza tatizo Kisha omba likizo yamda kidogo atatambua thamani ya uwepo wako
Nilimfanyia hivyo yule Mjinga Muhindi wa pale USARIVER mpaka akataka anipeleke mahakamani.Me pia Boss wangu ni kama freemason, ananikosesha Amani daily. Anapenda sana dharau. Wiki iliyopita alinifokea bila sababu ya msingi nikamuambia akiendelea nitamuua. Hatusalimiana tangu alhamis
Mwambie bosi wako ale papuchi ya mkewe kabla ya kuja kazini, tatizo litakuwa kama mwanamme hapewi papuchi na mkewe kama mwanamke hapati kukojozwa na mume au mchepuko wake.Je nifanyaje kwenye Hali Kama hii?
Ni private au Gavoo?1. Bosi wangu ananifokea Sana kwamba sijui kazi ilihali ni kitu nilichosomea na najitahidi kuonesha juhudi
2. Bosi wangu ananifokea Sana hata kwa makosa ambayo kayafanya yeye mwenyewe kwa uzembe
3. Natumia kila njia ili niwe mfanyakazi mzuri na kumfurahisha bosi wangu lakini Bado anakuwa mkali kwangu
NB: Leo boss wangu kanifokea ilikuwa kidogo tuu niombe kuacha kazi na ilikuwa mbele za watu hadharani.
Ni taasisi binafsi
Je nifanyaje kwenye Hali Kama hii?
Point yako yako mwisho siiungi mkono.
Kwa kuwa upo sekta binafsi, ni sawa na jina lako kuandikwa kwa penseli, muda wowote linaweza kufutwa. Kama huna taasisi nyingine ya kufanya kazi, nakushauri vumilia kwanza na chukulia malalamiko yake kama fursa ya kukujenga. Mfanye awe rafiki yako,muombe akuelekeze kazi ata kama unajua zaidi. Pia usiwe siriazi sana kazini, jitahidi uwe ni mtu wa kuwafanya wengine wawe na furaha pale wakuonapo.
Point yako yako mwisho siiungi mkono.
Giza haliwezi kuondoa gizaSio umpige iwe fundisho
Sawa Dr.Giza haliwezi kuondoa giza
Hamjachukuliana demu?Mi ni jinsia ya kiume (ME) na boss wangu ni jinsia ya kiume ( Me)
washenzi sana hawa viumbe sio kwamba nawatukana bali wanasifia.Boss alikihisi upo smart zaidi yake atakusumbua sana,ila mtu wa iringa au songea akiwa bosi wako utapata tabu sana
Ni wakike?nishajaribu kumuuliza kuwa Kuna shida gani mpka inakuwa hivi,sema anaishia kunichekea na kusema hamna shida,,,awamu hii ntaongea naye kwa kina
Pole sanaa mkuu kwa changamoto, ni hali ya kawaida kukutana na hali hiyo ukiwa mwajiriwa, pia hata kwenye mahusiano n.k1. Bosi wangu ananifokea Sana kwamba sijui kazi ilihali ni kitu nilichosomea na najitahidi kuonesha juhudi
2. Bosi wangu ananifokea Sana hata kwa makosa ambayo kayafanya yeye mwenyewe kwa uzembe
3. Natumia kila njia ili niwe mfanyakazi mzuri na kumfurahisha bosi wangu lakini Bado anakuwa mkali kwangu
NB: Leo boss wangu kanifokea ilikuwa kidogo tuu niombe kuacha kazi na ilikuwa mbele za watu hadharani.
Ni taasisi binafsi
Je nifanyaje kwenye Hali Kama hii?
Kuishigani kwa akili, hali kwamba unateseka, huna amani, unanyanyaswa bila sababu. Soma sababu nilizopost labda utaokota kitu.Dunia ya sasa ukiwa mjuaji, utalala njaa; ndio maana kuna watu na elimu zao wamegeuka kuwa chawa.
Kwa sasa kazi ni chache, na wanaohitaji kazi ni wengi; muhimu kuishi kwa akili huku ukifanikisha ndoto zako.